BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Wivu uuu,.. Ama???Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
Mwanamke akimchua bwana wa mwenzie ndio anaona ni ushindi mkubwa Duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake akili zao moja [emoji23][emoji23][emoji23]
Zari alimwibia Wema
Sasa naye kaibiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] niliona kule kwa thecelebchron duuuh!Hilo bentley lenyewe Zari sio lake ni la shoga yake Zodwa...aliwadanganya mashabiki wake akaja umbuliwa hana cha bentley wala bubu....apambane na hali tuu
[emoji23][emoji23]Kwani mange kasemaje
Tumeumbwa kwa kukinai. Ukiwa na mtoto mzuri unapata tamaa ya kula wabaya.Ila kweli kweny miti mingi hakuna wajenzi mi ningepata uyu manzi zari akiamungooo angenijua,... Ata kura rahaa mpaka akinai,
Angekuwa msitarabu tusingeona uchafu wake xvideo au niuposti apa.wewehamisa na mange wote akili zenu sawa....akili na mtazamo wenu ni za msingi papuchi...siku ukipigwa superglue kweye hyo papuchi inayokuweka mjini you will be as good as dead...katija maisha yenu yote ya hapa duniani na hata motoni baada ya kufa hamtafikia even nusu ya ustaarabu and elegance ya zarinah khassan..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ghafla tuuu paaap Bentley!kaumizwa huyo hana lolote gari na moyo wapi na wapi?
Vipo kul YouTube mbona huleti mrejesho siku izi mkuu?Mwanamke akimchua bwana wa mwenzie ndio anaona ni ushindi mkubwa Duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake akili zao moja [emoji23][emoji23][emoji23]
Zari alimwibia Wema
Sasa naye kaibiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
post pilau iloAngekuwa msitarabu tusingeona uchafu wake xvideo au niuposti apa
Kwani kuna kulipia mkuuUnaweza kuta hapew hata mia ππππ
At least ana access ya kupiga nalo picha.Hilo bentley lenyewe Zari sio lake ni la shoga yake Zodwa...aliwadanganya mashabiki wake akaja umbuliwa hana cha bentley wala bubu....apambane na hali tuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] unataka nile ban eeehpost pilau ilo
Na anaitafuna kwelimwacheni dada wa watu ale mirathi kwa raha zake
post pilau ilo
Yani hakuna mjanja wote ni mazuzu tu wangeweka mambo yao private wala ss tucngevjua shida wako wanashindana... Ss tunabak watazamajiKati ya Hamisa na Zari mjanja Nani?? Kwa hili
Sio kali tu ni among the expensive cars in the world owned by rich celebrities.Bentley ni ndinga moja kali sana.
daah!! ahsante sana mkuu...subiri nikaangalie pilau kidogo