Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

Hiki kisa kimenivunja mbavu zangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hizi story ndo zinaendelea kufanya jamii za waafrika kuendelea kua wajinga wa fikra na maskini wakati mataifa mengine yanapiga hatua,
By the way huu uzi unatakiwa upelekwe jokes
kuna mwamba mmoja alikuwa kama wewe, haamini uchawi. unashindwaje kuamini uchawi upo kama unaamini shetani yupo na Mungu yupo? kilichotokea, kuna siku zile za popo bawa wamesafiri kwenda zenji, aliamka suruali kwa nyuma ina kitu kama utelezi wa yai. alivurugwa akili si mchezo.
 
πŸ˜‚ ungefunga breki kesho ugeuke sad story vijiweni
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wakipiga hatua,alie kaa juu ya jeneza anafanyeje?🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Popo bawa hupenda kuwashughulikia watu wa aina ya huyo anaebisha πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚
 
πŸ˜‚ ungefunga breki kesho ugeuke sad story vijiweni
Alikuwa peke yake, lakini angefunga break angeshangaa gari imetokea kwa nyuma yake na kumgonga ghafla. Asubuhi tungesikia jamaa amekutwa amefariki njiani.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wakipiga hatua,alie kaa juu ya jeneza anafanyeje?🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Nasikia puu puu puu nikaona isiwe shida acha niokoe nafsi kwanza
 
Alikuwa peke yake, lakini angefunga break angeshangaa gari imetokea kwa nyuma yake na kumgonga ghafla. Asubuhi tungesikia jamaa amekutwa amefariki njiani.
Hizi mambo zipo sana nakumbuka kama wiki mbili zimepita nilikuwa mkoani, muda ni saa 8 usiku sijalala nipo jf napitia nyuzi ghafla nikasikia mlio wa kitu kimedondoka kutoka juu, nikashtuka nikaangaza ni nini sikuona na kwa mazingira yale hakukuwa na chochote kile zaidi ya kitanda na kochi. Nikaangalia pc ipo kwenye kochi nikabaki najiuliza bila majibu ni nini kimedondoka na kutoa kishindo ili hali pale hakukuwa na chochote kinachoweza kutodondoka kutoka juu? Sikuogopa nikasema mi nalindwa na Mungu jichanganyeni nikaendelea na jf then nikalala.
 
Hapo ulipokuwepo wazee wa kazi walikuwa wanataka kupatumia kwa mambo yao. Sasa inasemekana kuwa wanga huwa hawafanyi mambo yao sehemu yenye mwanga wa taa. Ndomaana wanapoona mtu amekaa usiku anaangalia tv au kuchat na sim, kama na yeye akiwa na kinga ya Mungu, watachofanya ni kumvanyia vitimbi kama hivyo ili wamtie hofu azime tv au sim.

Na akishazima tv au sim hata kama ana hofu haitochukua dakika 5 singizi zito litampitia ghafla, akija kushtuka kumekucha tayari na wazee wa kazi tayari wameshafanya mambo yao na kuondoka. Mshana Jr
 
Sikuruhusu hilo maana nilichelewa sana kulala na taa ilikuwa on muda wote kabla ya kulala.
 
Enzi zangu nilivyokua napenda ujinga ujinga siku moja Nilikua dodoma Area A nikawa naenda kupanda daladala kwaajili ya kuelekea Fourways njiani kuna sehem moja kuna makaburi ilikua ni jion giza limeanza kuingia, wakati nakatiza pale makaburini nyuma yangu nikaona wadada wawili wanatembea haraka kuniwahi ili tuvuke wote

Walivyofika wakawa wanatembea nyuma yangu tukasalimiana wakaniambia bora hata wameniona maana walikua wanaogopa kuvuka makaburini peke yao mi nikawajibu msijali hata mimi nilivyokua hai kama nyie nilikua naogopa sana kupita makaburini

Walikimbia hadi mimi mwenyewe nikaogopa nikaanza kukimbia pia
 
Sikuruhusu hilo maana nilichelewa sana kulala na taa ilikuwa on muda wote kabla ya kulala.
Kwa vile hukupata hofu ya kuzima taa, basi walibadili mpango wao. Wakaenda sehemu nyingine yenye giza kuendelea na kikao chao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…