Yaani mkuu kuwaelewa hawa watu ni kazi.Mtoto unampa MACHAGUO? Jesu!
Kabisa. Hawa ndiyo wakiwa viongozi wanaamuru mtu ashushwe kwenye bus na kuuawa.Kuna shule ya ipo karibu yangu hapa madogo wanakula sana mboko, sasa imagine dogo kala mboko skuli, kafika home msosi hakuna, anawahi madrasa huko nako anakutana na bakora 5 za moto.
Huyu akija kua kibaka kukutia bisu hataona kazi dadeki.
Peleka unyama wako huko huko kwa familia yako. Wengine tumebahatika kukulia kwenye familia za kistaabu.Yaani mkuu kuwaelewa hawa watu ni kazi.
Eti mtoto ana machaguo!!!! Waafrika mbona kila kitu sisi Tupo gizani. Tena na Elimu zetu uchwara hizi lakini Bado mambo madogo madogo kama haya tunashindwa kuyadadavua hadi tutumie akili za mabeberu!!!!
πππIli washinde 30,000,000/= pale kwa Nkapa wakishinda sifa zote kwa Hostadh alowafundisha kwa kuwatia mikwaju hio ni moja tu imeenda viral ila ndio kinachoendelea huko Mudrasa
Rudia kusoma nilichokiandika tena.Kwanini usitoe hoja yako bila kashfa.Hakuna sehemu viongozi wa dini hawana kashfa.
Kanisa katoliki linakashfa ngapi za kulawiti watoto.Hizi dini zisiwafanye mkawa mnashindwa kufikiri vyema.
Hata kama unawachukia watu flani ebu jaribu kuficha hisia zako.
Jiandae kutembelewa na Sheria ya mtoto na 21 ya Mwaka 2009 na marekebisho yake, labda tusisikie nakwambiaUnavyosema hakuna njia nyengine unafurahisha sanaππππ
1.Je hao waalimu mmewaanda kuwa walimu???
2.Tunapenda miujiza bila kuandaa process ya kuifikia!!!
Ndomaana ninasema kwa mazingira yetu watoto wachapwe tu,,,,hakuna namna wachapwe!!!! Elimu ya kubembelezana wanaweza wazungu tu ila sisi weusi hatuwezi kwakua hatujajiandaa kufanya hayo.
Sikiliza niwaelimishe, hakuna mtoa huduma yoyote kwa umma ambaye hajasajiliwa na Sheria yoyote. Nyumba zote za Imani yoyote ile zimesajiliwa mambo ya ndani kule. Kuna Sheria na kanuni zake. Ukikosea unatembelewa na sheria, full stopMadam, ningeshauri suala hili waelekezwe Bakwata wadili nalo kwa sababu vinginevyo jamii inaweza kutafsiri kwamba serikali inaingilia masuala ya Imani. Kwa sababu kutoa adhabu kwa watoto walio fanya makosa mbalimbali ya kinidhamu ni sehemu ya mafundisho ya dini.
Ni hayo tuππππππ
Au alikuwa anakataka afanye kama muddy(57) alivyofanya kwa bi.aisha(6) maana ndio umri huo huo.
Hawa wanaobisha ndugu yangu waulize hata kama wanajua hata tafiti moja tu ya madhara ya malezi ya kupiga watoto kwenye zama sasa, majibu hawana. Hizi Sheria zisingekuwepo nadhani tungekuwa sasa tunazika watoto kila siku kisa vipigo. Hivi sasa ninaye mmoja huko Tanga kaumizwa Yuko hospitali, kisa katoa ushahidi wa kweli mahakamani baada ya kufanyiwa ukatili.Aina ya adhabu Vs umri wa watoto bila kujali kosa lao.
Hao ukiwalamba mbilimbili tu za fasta fasta na onyo kali kesho anawahi, sio bakora 5 mpaka dogo anapiga kelele ka anauawa vile.
Kipindi hiki cha utandawazi fimbo sio suluhu kama zamani, unaweza kuchapa kama hivyo ukatengenezewa zengwe ukatupwa lupango, nenda na wakati kijana, haukusubiri.
Watu hawajui mengi ila wanasema mengi. Siku hizi Kila mtu msemaji rasmiAu alikuwa anakataka afanye kama muddy(57) alivyofanya kwa bi.aisha(6) maana ndio umri huo huo.
Asante sana kwa ufafanuzi Mheshimiwa.Sikiliza niwaelimishe, hakuna mtoa huduma yoyote kwa umma ambaye hajasajiliwa na Sheria yoyote. Nyumba zote za Imani yoyote ile zimesajiliwa mambo ya ndani kule. Kuna Sheria na kanuni zake. Ukikosea unatembelewa na sheria, full stop
Yaani, eti mtu anazaa ila kulea, anayo sera ya kupiga. Watoto wengine wagonjwa wa akili, kadri unavyompiga anaugua zaidi.... Ndiyo maana baadhi ya Wazee kumbe bond na watoto hakuna, kumbe vita ya hisia ilianza zamaniYaani dogo wa miaka 10- 11 huwezi kumcontrol, aloo basi acheni kuzaa.
Sasa unazaa vipi wakati kulea huwezi, huwezi kumfanya mwanao akuamini.
Mwalimu wa kwanza wa mtoto ni wewe mzazi. Mzazi ndio wewe unaona mwanao kulambwa mboko 5/6 za moto ni sawa kisa wewe na mwalimu wako mmeshindwa kummudu mtoto wa miaka 11.ππ
Akifika 20 si mtamuamkia shikamoo.
Bila shaka ungekuwepo hapo, ungekamata mikono yao ticha awanyuke kisawasawa ili kesho wasichelewe tena ilhali ungeweza kuweka alarm na kumkumbusha kesho awahi, ama lah kumwambia rafiki yake anaewahi kesho ampitie na mwanao, ama kumpa ashabu ya kumjenga.
Achana na kutumia hizo baby boomers sijui Gen Z nani aliwadanganya zinawahusu ninyi watz.
Shukrani, tuendelee kushirikiana daima, elimu ni bahariAsante sana kwa ufafanuzi Mheshimiwa.
πππππππ
Kwahyo mtoto afanye ujinga na bado awe confident cyo!Wanakuwa installed na FEAR tangu wakiwa wadogo . Ile sehemu yao ya kujiamini inakufa wakiwa wadogo