Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
 
Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Screenshot_20240724-234548.png
 
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Sanda ni tusi?

1721856642658.png
 
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Jezi zingeandikwa ubaya ubwela
 
Kwahiyo umeona kabisa is very relevant kulinganisha SANDA ya Tanzania na FILA ya brazil?
Sasa si mnachozingatia ninyi ni neno linalokera, bila kujali kuwa muwekezaji ameweka hela zake hapo ili awalipe na yeye apate kiasi chake? Yaani jina la brand ya mtu ndio linakusimamishia mishipa ya shingo hadi unaanzishia uzi? Unafikiri una uchungu na neno la SANDA kuliko mwenyewe Sanda Omari Yenga anayeipa Simba 4B ? Yaani abadilishe jina alilopewa utotoni kwa sababu tu mla mihogo mmoja halipendi? Kwamba hapendi hela alizotoa zirudi? Acheni ushamba
 
Back
Top Bottom