Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?

SANDALAND anataka kufanya kila kitu yeye ,awe anatafuta consultant katika project zake ,yaani hakufikiri kabisa neno SANDA kibiashara litaleta mushkeri?
 
Mbaya zaidi hao wachambaji wajinga wanachamba neno Sanda huku wakiwa wamevaa jezi zilizoandikwa neno Fila , na wamezivaa miaka nenda rudi, tangu utotoni hadi leo wamekuwa wazee(sijui kama wamewahi kufanyiwa kitendo kama hicho)
 
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Jezi zimeuzika snaa na zinaendlea kuuzika.....Hilo neno sanda limeshatolewa ufafanuzi hvo acheni kuweka maana tofauti na aliyosema mzabuni wa jezi.
 
Kwa tuliosoma lugha neno Sanda halitusumbui kabisa.Tunajua process of word formation,pia tunajua homonyms,kwamba maneno yanatamkwa the same lakini yana maana tofauti..Kuna neno kwa mfano *Barabara*Lina mana ya njia pia linamanisha sawa sawa. Hata SANDA Lina maana ya vazi la maiti na pia ni kifupisho Cha SANDALAND ila kwakuwa wenye akili huko ni wawili bàsi Haina shida
 
Back
Top Bottom