Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Mimi sina maslahi yoyote, ila naheshimu hela ya mtu. Unafikiri kuipa klabu 4B kwa miaka miwili ni kitu kidogo?
Nakubaliana na wewe, ila hilo neno SANDA litatia kasoro kwenye mauzo nakuambia. Na wakifungwa hapo tarehe 8, hizi SANDA ndo watazikwa nazo. Ishu siyo kuweka tu hela, bali na ubunifu. Angetafuta namna nyingine ya kuweka jina lake lakini siyo SANDA. Au hata SaLa = Sanda Land..!! AU SL
 
Yaani wewe ambae huna hata genge uje umfundishe marketing strategy bwana Sandaland au unafikiri hiyo SANDA hapo imewekwa kwa bahati mbaya? au hawakujua kama italeta mijadala kama hii uliyoianzisha?

Na hiyo sasa ndio tofauti ya mfanyabiashara aliyefanikiwa kama Sandaland na mbugila mbugila kama wewe uliyeleta mada
 
Kila mmoja na tafsiri yake
 

Attachments

  • IMG_2963.jpeg
    IMG_2963.jpeg
    86.6 KB · Views: 5
Tunaoziona ndinga zake kila mara zenye special numbe SANDA pale Kariakoo, wala hicho kitu hakipo kichwani. Mnataka kusema na magari yake ya 350M plus nayo ni sanda ya maiti?
 
Tunaoziona ndinga zake kila mara zenye special numbe SANDA pale Kariakoo, wala hicho kitu hakipo kichwani. Mnataka kusema na magari yake ya 350M plus nayo ni sanda ya maiti?
Atajua mwenyewe na Ufreemason wake. Hizo jezi atavaa mwenyewe mjinga yule.
 
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Jamaa hana shida keshakula pesa yake na huo ni mkakati wa jirani.
Anacheza faulo mbaya sana msomali
 
NGoja utaiona wiki ya Simba sijui Simba Day
Wamevaa maelfu ndo utajua bongo nguvu ya soda
 
Tayari nina nyuzi zangu mbili za mnyama moja NYEUPE naenda kuiandika DEBORA nyingine bluu AHOUA..
#NGUVUMOJA
 
Sema haka kauli mbiu ka UBAYA UBWELA kanabamba sana. Japo mimi Uto ila nakakakubali.

Hapa Sanda kufanyaje sijui wangeweka ubaya ubwela wangeuza sana.
Hiyo kauli ya ubaya ubwela inawarudia wenyepe.
Toka waitoe limewakauta haya
1.ya lawi
2.ya awesu
3.kibu
4.sanda
5. Ongezea hapo
 
Back
Top Bottom