Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Hiki walichofanya Sandaland ni marketing failure kubwa sana, waprinti jezi nyingine tu upya

Sasa si mnachozingatia ninyi ni neno linalokera, bila kujali kuwa muwekezaji ameweka hela zake hapo ili awalipe na yeye apate kiasi chake! Yaani jina la brand ya mtu ndio linakusimamishia mishipa ya shingo hadi unaanzishia uzi? Unafikiri una uchungu na neno la SANDA kuliko mwenyewe Sanda Omari Yenga anayeipa Simba 4B ? Kwamba hapendi hela alizotoa zirudi? Acheni ushamba
Usisahau kuwa anaowakera ndo anategemea awauzie hizo SANDA. Nani atanunua sasa?? Soko kubwa la hizo SANDA ni Tanzania, na ndo umewakera..!! Nunua SANDA uchekwe. Na siku ya tarehe nane mkivaa SANDA zenu halafu mfungwe nane ndo utajua maana halisi ya hiki tunachokisema.

SANDA FC oni fulikiiii...!!
 
Hii ndio jezi mbaya kuliko zote ya simba kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni.Hii timu itakua imejichokea kila sekta.
 
Sasa si mnachozingatia ninyi ni neno linalokera, bila kujali kuwa muwekezaji ameweka hela zake hapo ili awalipe na yeye apate kiasi chake! Yaani jina la brand ya mtu ndio linakusimamishia mishipa ya shingo hadi unaanzishia uzi? Unafikiri una uchungu na neno la SANDA kuliko mwenyewe Sanda Omari Yenga anayeipa Simba 4B ? Kwamba hapendi hela alizotoa zirudi? Acheni ushamba
Kama anapenda ela irudi angetengeneza kitu kizuri.Lengo nikuwapa mashabiki kitu kizuri sasa kama kujiita sanda ndo kitu kizuri kwake ngoja tuone muitikio wa mashabiki itakuaje.ila mimi binafsi naona kazingua.
 
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.

Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Mkuu mashart hayo lazima atekeleze
Ukitaka cha uvunguni lazima uiname
 
Mtazoea tu na mtasahau. Tulikuwa tuna mchezaji mmoja anaitwa Sserunkuma, alipokuja hata watu wakawa na ukakasi kutaja jina lake. Lakini baada ya mwezi tu watu wakawa wanatamka kama tunavyoitamka utopolo
 
Back
Top Bottom