King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.
Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
Jezi zimeuzika snaa na zinaendlea kuuzika.....Hilo neno sanda limeshatolewa ufafanuzi hvo acheni kuweka maana tofauti na aliyosema mzabuni wa jezi.SANDALAND waprinti tu jezi mpya kama wanataka kufupisha jina la kampuni yao waziandike (SaLa), kama walishazalisha jezi nyingi itabidi waingie hasara tu kwana zitakuwa vigumu sana kuuzika.
Hawa Sandaland hawakuweza kujifunza kutokana na mjadala wa kukataliwa balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania mwaka 2016 Bwana Musenge Mukuma?
AaahaaKwani wkt anatafuta brand name hakufanya tafiti? Ni lazima iwe jina lake?