Hizo sheria wakoloni walitumia kudhalilisha watu weusi bado tumekumbatia hata bado hatujielewiAsee tena inabidi ukohoe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa anachek process nzima ya unyumbulikaji wa marinda,,, jamaa anamulika tu,,, hizo kazi nyingine vigezo balaa
Hao wakoloni hata huko kwao hawafanyagi huu upuuzi wa kukaguana kinyesiHizo sheria wakoloni walitumia kudhalilisha watu weusi bado tumekumbatia hata bado hatujielewi
Kwani mwanajeshi ni mashine si binadamu kama wewe hizo ni tabia za mtu kwendana na alivyo chagua kwani hakuna raia wenye hizo tabia?Mimi nawajua wanajeshi kama sita wanaoingiliwa!
Kuna wawili wako Tabora!
Mkubwa una uhakika?Kumbe inamaana wana jeshi wetu wote hawa wamepigwa ndole?! 😂😂😂
Inawezekana chanzo chanushoga wao ni kuingizwa vidole wakati wa kupimwa jeshini 😂Kwani mwanajeshi ni mashine si binadamu kama wewe hizo ni tabia za mtu kwendana na alivyo chagua kwani hakuna raia wenye hizo tabia?
Ebu kuwa na hoja za maana siyo kuchafua majukumu ya watu.
Vizuri, umegusa moja ya mifano mizuri kuna zaidi ya hayo ambayo lazima physically uwe vizuri. Tatizo humu watu wanaandika kwa kudhihaki majukumu ya watu. Lakini ni vyema kukumbuka lazima watu wagawane majukumu ili Taifa lisogee sasa wote tukiwa wahasibu, walimu, wahandisi n.k hatutakuwa na usalama wa kutimiza hayo majukumu ndiyo maana lazima wengine wajiunge huko kwa jukumu la kuleta utulivu na amani unazani hata nyumba za ibada watu wangeenda? Huwa tunakosea sana.Utani mwingine bwana.
Ile kazi inahitajika kuwa imara haswa.
Kuna siku nimewakuta wenyewe zile lori zao imezimwa wanasukuma kwenye muinuko kidogo.
Sasa kama huko vizuri utajikuta unaporomosha tu vitu huko bila kujizuia.
Inasaidia nini?Ni Kawaida Tu Unashindwa Kuinama Kwa Wema, Haiguswi Lakini Inatazamwa Uimara Wake
Hicho kipimo tu mbona hosp wanakuingiza kule pia ni hosp za jeshi ndio wanapimaIla kuingiziana vidole sio ndio useng wenyewe huo au?
Jilaumu kwa uelewa wako mdogo. Hata ukifanyiwa uchunguzi wa mwili mzima ni vivyo hivyo.Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.
Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama.
Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndo hivyo basi.
Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizamaaaaaaa..... Nasema Hiii... Natikisa kichwa.
Anayekupima ni mwanamke, sasa unaogopa nini?Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.
Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama.
Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndo hivyo basi.
Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizamaaaaaaa..... Nasema Hiii... Natikisa kichwa.
You made my day [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo hapa hapa so nawapa angalizo mapema msije mkaja mmejaa upepo.
Nliambiwa jeshini lazima wapime ukubwa wa kipenyo au Radius. Nikauliza je kuna kitu kama x ray au ultra sound inatumika au anything kitaalam ukiacha njia hiyo maana sisi wengine migongo yetu imekakamaa hatuwezi inama.
Nikaambiwa hapana. Unainama kuna mtu anakucheck. Nikasema la hasha. Maisha yangu yote nikiwa nimepata akili hakuna aliyewahi nicheki eneo hilo hata kuliona tu haiwezekani. Kama ndo hivyo basi.
Sasa kila nikimwona mwanajeshi na askari namtizamaaaaaaa..... Nasema Hiii... Natikisa kichwa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Haha, umenikumbusha tukiwa mjibu, nilishindwa kuinama jamaa akanitandika kofi la mgongoni, nilipoinama akanambia kohoa huku anamlika tochi kali, ilikuwa kasheshe sana.
[emoji2][emoji2][emoji2]waonea raia kweli kumbe waliinamishwa kupigwa tochiHalafu wajeda wenyewe mitaani wanajiona miamba kumbe vitobo vyao vimechunguliwa