Mimi nyapu napenda lkn siwachukii wanaojitambua, ndio maana hakuna alienipa nyapu yake humu wala silalamiki au kuanzisha nyuzi japo inauma kwa kweli.Nipo sawa tatizo wanaume wa humu wanapenda nyapu wakiona mtu kajitambua eti hajielewi
Wengi wanafanya hivyo ili kitapeli hela za wanaume wanaokuja inboxHapo thatha...π, ila how come mwanaume ufikie hatua hiyo to pretend be woman and mind consumed with that wacky thinking
Inauma nini?Mimi nyapu napenda lkn siwachukii wanaojitambua, ndio maana hakuna alienipa nyapu yake humu wala silalamiki au kuanzisha nyuzi japo inauma kwa kweli.
Hawana hela humu bora manara unachezea helaWengi wanafanya hivyo ili kitapeli hela za wanaume wanaokuja inbox
Sio kumekucha kunawaka juaMmmh, unakumbuka shuka tayari kumekucha!
Halafu wadada wengi humu wanafiki , wana ID hamsini , badala ya kusupport vitu vya kujenga wana support wanaume mwisho wa siku haileti picha nzuri ni mbaya nakusikitishaLabda na mimi nina bipolar maana mimi naona nyuzi zake za kawaida tu, nadhani humu ndani kuna watu maalum wanajifanya wana akili sana na kuwafanya wengine wajinga, kuna yule kid kidukulile alikuwa anajimwambafai humu basi akipost kitu chochote walikuwa wanamuambia dishi limeyumba, kuna masuala ya unyanyasaji wa mitandaoni huu ni mmoja wapo, tuacheni mambo ya kijinga inawezekana kuna wana wawili watatu waliwahi kujisevia kwa da mauwa kwa hiyo wanajikuta wajanja wakati ni mambo ya kawaida tu, ache acheni ushamba uliopitiliza, tena kuna mademu utakuta wanaunga mkono mambo kama haya ujinga mtupu, kabla hujamuona mwenzako dishi limeyumba, una uhakika na wewe hatukuoni hivyo hivyo sema tu tumeamua kukustiri?
Bikra zenyewe siku hizi ni za kutafuta kwa tochi..!! labda la pili B hukoo..!!Dah! Kuna wengine wakijua huna wanajenga madharau
ππππUmeona nini?? Leo nimechoka kusamaraizi wifi ππππ
Hongera mkuu,mbona unahikatia tamaa? wengine sie tumeachwa na watoto lakini hatujikatii tamaa
Pole sana mkuu,Halafu wadada wengi humu wanafiki , wana ID hamsini , badala ya kusupport vitu vya kujenga wana support wanaume mwisho wa siku haileti picha nzuri ni mbaya nakusikitisha
Haswaaa.Swadakta
Ndo kazi yako kuu hapa JF [emoji23][emoji23][emoji23]Udugu nimechoka toka juzi niko kusamaraizi mtaniua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How!!Usiwe negativity kuwa positive
Tulia niongee nayeAtupe online class tutalipia
Melo aanze kunilipa namsaidia kuwapa maelezo kwa kina member wa forum yake ππππNdo kazi yako kuu hapa JF [emoji23][emoji23][emoji23]