Hili la Bandari, lawama hii iende kwa hayati Magufuli

Hili la Bandari, lawama hii iende kwa hayati Magufuli

Lakini amezungumzia hadi suala la kutumia mabavu kuhakikisha chama chake ndo kinakuwa na uwakilishi bungeni kitu ambacho kimepelekea kukosekana kwa wapinzani ambao wangepaza sauti bungeni kupinga mambo kama haya.

Ukiwa unatoa maoni yako ondoa hulka ya mahaba niue ndo utaiweka akili iwe huru ku argue mambo.
Nina uhakika ame comment bila kusoma. Save your energy bro.
 
Wewe utakuwa taahira siyo bure. Hebu mwache Rais wetu mpendwa Magufuli apumzike kwa amani na endelee kuwaongoza Malaika huko mbinguni kwa amani.
Yes, mimi ni taahira. Nasikitika umekasirishwa ma taahira.
 
Upumbavu mtupu JPM kumweka kwenye huo upuuzi wenu!


Magufuli kasaini lini mkataba wa DPWORD?

Pumbavu kabisa!
Nina uhakika kabisa hujasoma. Ikiwa umeshindwa kusoma hapo, utaweza mkataba unaosimamia maslahi ya nchi yako?
 
Mkuu endelea kulalamika lakini DP World ipo tayari mlangoni mwako. Hutaki, HAMIA Burundi!
Kibur chenu nyie makuwadi ya warabu dpworld kitawaisha ni mda mchacje umebaki narudia tena ni mda mchache umebaki kama huamin wewe kuwadi la warabu subiria utaona na huyo mamayenu mwambien arudishe hela alizohongwa na warabu kwa hiari tofaut na hapo zitamtokea kwenye kila tundu la mwili wake.
 
Mwamba Yuko kaburini miaka miwili bado wanapambana naye Kwa kila hila
Unajua KIWANGO cha Ujinga kilichopo leo hii kwenye nchi yetu ni kwa sababu za kihistoria?
 
Kumlaumu marehemu aliyeondoka bila kuacha tatizo, halafu unamuacha aliyetengeneza tatizo na bado analilinda, unatafuta laana.
Wapumbavu kama hawa ndio mtaji wa madalali wanaouza rasilimali zetu.
 
kibur chenu nyie makuwadi ya warabu dpworld kitawaisha ni mda mchacje umebaki narudia tena ni mda mchache umebaki kama huamin wewe kuwadi la warabu subiria utaona na huyo mamayenu mwambien arudishe hela alizohongwa na warabu kwa hiari tofaut na hapo zitamtokea kwenye kila tundu la mwili wake.
Ahahahahaha! Ningelikuwa mgeni humu JF ningeliogopa kweli kwa huu mkwara! Ahahahahaha!!!
 
Bado sehemu mbalimbali za nchi yetu zinaendelea kujadili kuhusu Uwekezaji wa DP-World. Mbaya zaidi, mitazamo inayotolewa sasa inajadiliwa kwa milengo ya kidini, jambo ambalo si la kawaida katika nchi yetu.

Ni nini mzizi wa haya yote?





Unakumbuka G55, je unakumbuka Rev Kasuyupa? Na wengineo wakati WA chama kimoja na kiongozi ni Julius , ambaye alikuwa anawatenga wanaompinga na kwanyima fursa ya Maisha
 
Back
Top Bottom