Hili la Bandari, lawama hii iende kwa hayati Magufuli

Naona mjadala kuhusu madudu yaliyotolewa katika ripoti ya CAG umekuwa " canibalized" na sakata hili la mjadala kuhusu mkataba wa DPW. Bunge halipaswi kuwa "derailed" katika ripoti hii, kitu ambacho liliahidi kukifanya katika vikao vya mkutano ujao.

Wananchi ni lazima tuwe makini katika kushughulikia kila "specific issue" ili kuliponya taifa. Kila tatizo litibiwe kutokana na "antidotes" zake. Madudu yaliyoorodheshwa katika ripoti iliyopita ya CAG ni lazima yatolewe majibu ya kina ili "audit queries" zijibiwe na kutolewa mashaka yote yaliyopo nyuma yake.

Natoa rai kwa wanaharakati, vyama vya upinzani, na watu wote wenye nia njema na mustakabali mwema wa taifa letu, waanze pia kuizunngumzia ajenda hii kwa nguvu zote ambayo bado ipo "pending" ili iwe sambamba na mijadala kuhusu sakata la mkataba wa DPW.
 
Hiyo kauli aliizumza akiwa wapi?
 
Utakazwa sasa we kazia kila kitu tu
Unawashwa ntakukuna makalio hadi unye umbwa ulikuja duniani kwa bahati mbaya mama yako kapata hasara kwa kuzaa mtoto shoga ambae kichwani na makalio vipo wazi
 
Safi. Suala la DP World lime fade mjadala wa Madudu ya Ripoti ya CAG.

Shida ni kuwa, base ya Wanaharakati ni ndogo ukilinganisha na ukubwa wa Siasa zetu. Mijadala kama hii inakosa tones nyingi.
 
RIP Magufuli daima tutamkumbuka kwa mengi mazuri.
 
Makenge hawatisha nchi hii..wapitishe wengine alaumiwe mwingine..ujenzi wa Bandari ya Bagomoyo Magufuli alihusika pia?
Msoga family acheni kuhamisha ukuta
 
Huwa ninakuelewa, ila hapa ni big No. pointi kuu ya mleta mada ni jinsi Magufuli alili paralyse bunge kwa kuuiba uchaguzi. ishu za chama kushika hatamu zimeathiri nchi pakubwa. ma ccm ni majinga, tunayajua, sasa madhara yake mtayaona.

binafsi unaona tuna Bunge?. Yule mzee alikuwa ni dikteta uchwara! Rais wa ajabu!
 
huyu mwamba nimemshangaa sana, Magu aliharibu sana hili Taifa. alikuwa Rais wa hovyo!
 
Hakuna kitu sikipendi kama kumuona mtu anamsema vibaya Magufuli

Yaani natamani nim-meze mzima mzima nikamnye Burundi
Tukiwasema watu bogus humu ndani hakika wewe unatakiwa uondolewe kwa sababu umevuka kuwa bogus sasa sijui utaitwaje wewe. Hata Adolf Hitler wapo wanaomsifia hadi leo.
 
Tukiwasema watu bogus humu ndani hakika wewe unatakiwa uondolewe kwa sababu umevuka kuwa bogus sasa sijui utaitwaje wewe. Hata Adolf Hitler wapo wanaomsifia hadi leo.
Kazi ipo hapo.
 
Wakati hao wapinzani wako wengi bungeni waliwahi kuzuia hoja gani isipitishwe na ccm!
 
Jjiwe alikuwa shhetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…