Hili la Bandari, lawama hii iende kwa hayati Magufuli

Mkuu, ulifikiri msra mbili kabla ya kuleta hili andiko lako?
 
Nimesoma Comments za wengi humu. Hakika, safari yetu bado. Matumaini yangu ni kuwa, safari inaendelea, na katika kuifikia hatma, tunapaswa kuwa na juhdi.

Mungu yupo nasi.
 
Wakati hao wapinzani wako wengi bungeni waliwahi kuzuia hoja gani isipitishwe na ccm!
Hata mimi nimeshangaa sana. Mleta uzi amenishanga kuja kuhusianisha na hili tukio la sasa na wahusika wakuu akiwaweka kando.
 
Acha unafiki wapinzani wameshaawwhi kuzui nini bungeni ili iwe ni mfano
 
Kwani hayo mabavu ya Magufuli ndio yalipanda ndege kwenda Dubai kuwaleta waarabu wakapewa bandari milele?

Next time usikurupuke kujibu usichokielewa.
 
Wewe mpumbavu acha kupotosha. Rais alitoa hiyo kauli baada ya kukerwa na DC & DED waliokuwa wakichepusha miradi kutoka maeneo yaliyokusudiwa na kuipeleka kwingine ili kuwakomoa wakazi wa hayo maeneo ambao wengi wao ni wanachama wa upinzani. Waliokuwa wanarudisha kadi ni wanaCCM wanaoishi kwenye kata ambazo miradi waliyotegemea ije kuchepushwa. Sasa kama mwenyekiti wa chama unadhani atafurahishwa kuona wanachama wanarudisha kadi? Msipojibiwa mnapotosha sana. Kwa wapumbavu wengine wasiojielewa wataona umeandika point kumbe ushuzi mtupu
 
Upumbavu mtupu JPM kumweka kwenye huo upuuzi wenu!


Magufuli kasaini lini mkataba wa DPWORD?

Pumbavu kabisa!
Yeye si ndio alituletea huyu aliyesinya? Ina maana hakuona mwingine anayefaa zaidi yake?
 
Watu wana chuki. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…