Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good point.Pengine yeye ndiye sababu ya kuonekana huo ufisadi, Time will tell
Hii ni Tanzania ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan. Huwa hatuongozwi na wafuCv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Lzm yamkute ya masamakimtoto wa dada na yeye aisaidie takukuru.
Hapa naona Kama vp atatumiwa vizuri, wakaongezewa washauri wa uchumi wazuri,Kama mshauri wa rais atamsaidia Sana,lakini pia wizara ya fedha na mipango ndo uti wa mgongo ili taifa liweze kusonga, so KWA KUA anaijua na mianya ya upigaji anaijua,zikiwemo na account mbali za kufanyia ufisadi atasaidia Kama Kuna nia ya dhati,maana wizara ya fedha kunaupigaji huko sio wa dunia hii ,ni wizara ya connection,vinginevyo tusubili mda mwalim mzuriWewe unajuaje?Huenda Bwana Mpango ndiye aliyemtonya Mama kuhusu hilo sekeseke la ukwapuaji!!
Hakuna Tanzania ya marehemu, waacheni marehemu waende zao, Tanzania ni yetu Sisi watanzania tulio hai. Punguzeni kulazimisha. Kafa mwenda zake.Cv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app