CHAWA wasio na dogo watakuja kuharisha humuTumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Maza ni mtu wa wapi?Kwenye hili umeenda mbali mno. Wamekuibia nini?
KabisaMtikila alimaliza yote hapa.
Nakuunga mkonoTanganyika yetu tunaitaka
Kivipi? Labda nikujulishet tu: Kama Tanganyika iliibwa, basi mwizi alikuwa Nyerere - Mtanganyika. Huenda utauliza aliiba vipi? Ni hivi: Kwenye ule muungano - 1964 -Tanganyika, chini ya uongozi wake, ndiyo iliyotayarisha mkataba wa muungano. Sasa kama mwizi ni huyo. Usiwadanganye watu. Sisi wengine tunajua.Tanganyika
1. Maza ni mtu wa Zanzibar.Maza ni mtu wa wapi?
jamaa unaandka maelezo meng sn halafu yote n pumba tu. Hata umeshndwa ku google kujua kwmb zanzibar wana katiba yao na inasema zanzibar n nchi miongon mwa nchi znazounda tz. Haya kama hujui nakujuza wana mpk wimbo wa taifa, bendera, rais, mashirika yao, taasisi zao nk.NCHI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ni muunganiko wa nchi mbili(Tanganyika na zanzibar)
so,unataka kusema kuna katiba ya zanzibar na katiba ya bara?
ninachojua katiba iliundwa 1967 kwenye azimio la arusha,badae ikarekebishwa 1977 ndio tunatumia hadi leo
hii katiba ya 1977 ni ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania(katika hii katiba hakuna sehemu inayorefer katiba nyingne ya bara au visiwani)
so kiujumla kwa ninavyojua mimi kikatiba zanzibar ni tanzania visiwani
tofaut ni kwamba wana serikali yao.....
hii ni tofaut na USA
kule wote wapo ndani ya USA ila nevada na washington kila mtu ana katiba yake
Hizo hela anazonunua magoli ya Yanga zipo kwenye budget ipi? fedha anazompa Abdul kuwahonga wanasiasa zinatoka kwenye budget ipi? kama ni uongo kwaninni Abdul hajaenda kumshitaki Lisu mahakamani kwa kumchafua? wizi unaofanyika serikalini una baraka za nani?1. Maza ni mtu wa Zanzibar.
2. Maza kaiibia Tanganyika?
3. Ukisema kaiba, kaiba nini?
4. Itokee kaiba. Kuiba kwake kunawafanya Wazanzibari kuwa wezi?
5. Mimi nikisema wewe Benjamin Netanyahu - Mtanganyika - huna akili, huna heshima itakuwa Watanganyika hawana akili, hawana heshima?
6. Tujifunze kuzungumza. Kiburi, ujeuri, majivuno na aina yoyote ya matendo maovu hayasaidii na wala si sifa kufanya hivyo.
Mmechelewa kibweni kwa kuitaka mtoni 😃Stupid...! isee na sisi watanganyika tunataka kibao chetu peke yetu..
Tutaelewa baadae walioalikwa kwenye mkutano huo wote wazanzabar.Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
basi itabidi urudie kugoogle uelewe maana ya muungano,halafu uje uniambie kama kuna nchi ya zanzibar, nchi ya tanganyika iko wapi?jamaa unaandka maelezo meng sn halafu yote n pumba tu. Hata umeshndwa ku google kujua kwmb zanzibar wana katiba yao na inasema zanzibar n nchi miongon mwa nchi znazounda tz. Haya kama hujui nakujuza wana mpk wimbo wa taifa, bendera, rais, mashirika yao, taasisi zao nk.
Umeelewa nilichoandika? Hayo maswali niliyokuuliza imeyaona? Unajua nilipoandika nilikuwa najibu "comment" gani?Hizo hela anazonunua magoli ya Yanga zipo kwenye budget ipi? fedha anazompa Abdul kuwahonga wanasiasa zinatoka kwenye budget ipi? kama ni uongo kwaninni Abdul hajaenda kumshitaki Lisu mahakamani kwa kumchafua? wizi unaofanyika serikalini una baraka za nani?
Siyo kazi yangu kuelewaUmeelewa nilichoandika? Hayo maswali niliyokuuliza imeyaona? Unajua nilipoandika nilikuwa najibu "comment" gani?
SAWA. Na Tanzania je?!Zanzibar ni Nchi usisahau hilo