Mwakapesa II
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 554
- 915
Vingozi wanaapa kuulinda Muungano sidhani kama kuna Raisi anaweza Vunja Muungano suluhu ni kuwa na 3 Gvmnt.Lipi ni jepesi kufanyika?
1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania
2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu
Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
Mkuu kuna kile kitabu cha sungura alikuwa anakula share mbiliTumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar
Kote ni shida tu kwasababuLipi ni jepesi kufanyika?
1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania
2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu
Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
Hujajibu swali,Kote ni shida tu kwasababu
- Patachimbika hapatakalika
- Kumlipa rais asiyesikilizwa upande mmoja na hasa huko Kiembembuzi ni hasara
- Watakufa na njaa watarudi kulialia huku
Tulishakubali siku nyingi ila wao hawataki kwasababu ndiyo loosers wamewekeza sana bara, na kwao hakuna ardhiHujajibu swali,
ila kwanini hakuna mtanganyika anaekubali zanzibar iwe kivyake?
Kama watakufa njaa, wataomba, watalia, watanuna nk nk si ni wao?
Kwannni watanganyika hili hatulitaki?
Tanganyika ilikufa 1964Basi hakukuwa na haja kuweka bango la tanzania hapo lingewekwa Tanganyika
Halafu anayekula share mbili tumbo lake dogoMkuu kuna kile kitabu cha sungura alikuwa anakula share mbili
Kama ulisoma hicho kitabu basi ukweli wake ndiyo huo pichani
- cha wageni
- cha wote
Laahaula...ccm tena?unaniuliza mimi nchi ya tanganyika iko wp? Yaulize maccm wenzio mbona hushangai zanzibar ipo na ina kila ktu chake kama nchi wakati huohuo tanganyika hata kutajwa tu ni kosa. Nenda katafute katiba ya zanzibar uisome uone yaliyomo ajabu tanganyika haipo hakuna bendera, hakuna katiba, hakuna wimbo wa taifa nk. Ila tanganyka imemezwa na tanzania wkt huohuo zanzibar haikumezwa. Au nikuulize tu kwann zanzibar kuptia katiba yao inasema n nchi wkt tanganyka haisemwi popote. Funguka akili wewe hata mtoto mdogo nikimwelewesha ananielewa we unaleta propaganda za kiccm kwa watu wenye uelewa haya kawaambie vijijin huko.
Sio kweli, watanganyika waliopo bara na wale wengine waliopandikizwa kule zenji ndio wanaoulinda muungano kwa nguvu zote,Tulishakubali siku nyingi ila wao hawataki kwasababu ndiyo loosers wamewekeza sana bara, na kwao hakuna ardhi
KILA MMOJA ABAKI KWAKE TANGANYIKA KIVYAKE NA ZANZIBAR KIVYAKE maswala ya serikali 3 n kuyapa nafas tu maviongoz majiz kuneemeka kwa kodi zetu tu. kila mtu apambane na hali yakeLipi ni jepesi kufanyika?
1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania
2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu
Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
Are these the facts or are just your feelings and imaginations brother Pascal Mayalla...?Hivi ni vitu vidogo, kuna nchi nyingi kabla ya Muungano zilikuwa na ubalozi Tanganyika na ubalozi Zanzibar, baada ya Muungano, nyingi zilifunga balòzi zake za Zanzibar na kubaki za Tanganyika zilizogeuka za Tanzania, miongoni mwa nchi ambazo hazikufunga ubalozi wake Zanzibar ni pamoja na yale mataifa makubwa matano yenye veto UN, Marekani, Urusi, Uingereza, Ufaransa na China, India pia haikufunga, bali walizigeuza balozi hizo kuwa balozi ndogo. Nchi hizi zinai treat Zanzibar with a special treatment of autonomous, hivyo wakitoa mualiko Tanzania inàalikwa kama nchi Tanzania na Zanzibar inaalikwa kama autonomous part of Tanzania hivyo kila mtu na mwaliko wake na kibao chake, bali Tanzania kama nchi ni nchi moja tuu, JMT!.
P
UnaotaMuungano wa ovyo kuwahi kutokea duniani! Binafsi siupendi kabisa kwa sababu Tanganyika inatumika kuineemesha Zanzibar huku Tanganyika ikiwa haifadiki na chochote.
Leo hii Tanganyika tunatawaliwa na Mzanzibari, ardhi yetu imekuwa ya wote lakini ya Zanzibar ni Wazanzibar tu,Wazanzibar huku Tanganyika wanashika cheo chochote, wanaajiriwa kwenye kazi yoyote lakini ni marufuku Mtanganyika kugombea nafasi yoyote ya uongozi Zanzibar wala kuajiriwa, Hata kupiga kura Mtanganyika haruhusiwi labda baada ya kuishi mfululizo kwa muda usiopungua miaka 3.
Huyo Rais anayeitwa wa Muungano hana madaraka yoyote Zanzibar hata DC wa kule anaweza kumvimbia na hana ubavu wa kumtengua labda akamshitaki kwa Rais wao! Uwa nashangaa sana hata sifa wanazopewa wale wanaoitwa waasisi wa Muungano sijui wanasifiwa kwa lipi wakati waliamua kwa makusudi kuisambaratisha nchi yetu tukufu ya Tanganyika!
Uhuru upi!? Wa mtu mweusi kumtawala mweusi mwenzie. We unaona kuna uhuru au kuna chenga!?Waliotupigania uhuru wangekuwa na akili kama zako, sina shaka mpaka leo hii, tungekuwa hatujapata uhuru!
After 60 yrs ndio kila mtu abaki kwake kama zamani!? Ndoto za Alinacha hiziLipi ni jepesi kufanyika?
1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania
2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu
Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
Kama Zanzibar ni nchi Tanzania ni kitu ganiZanzibar ni Nchi usisahau hilo
Naona wamesahau kuweka bendera yao.Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Duh! Yani kwenye kibao chetu wamo maana tunagawana.Stupid...! isee na sisi watanganyika tunataka kibao chetu peke yetu..