Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Lipi ni jepesi kufanyika?

1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania

2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu

Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
Vingozi wanaapa kuulinda Muungano sidhani kama kuna Raisi anaweza Vunja Muungano suluhu ni kuwa na 3 Gvmnt.
 
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar
Mkuu kuna kile kitabu cha sungura alikuwa anakula share mbili
  1. cha wageni
  2. cha wote
Kama ulisoma hicho kitabu basi ukweli wake ndiyo huo pichani
 
Lipi ni jepesi kufanyika?

1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania

2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu

Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
Kote ni shida tu kwasababu
  1. Patachimbika hapatakalika
  2. Kumlipa rais asiyesikilizwa upande mmoja na hasa huko Kiembembuzi ni hasara
  3. Watakufa na njaa watarudi kulialia huku
 
Kote ni shida tu kwasababu
  1. Patachimbika hapatakalika
  2. Kumlipa rais asiyesikilizwa upande mmoja na hasa huko Kiembembuzi ni hasara
  3. Watakufa na njaa watarudi kulialia huku
Hujajibu swali,

ila kwanini hakuna mtanganyika anaekubali zanzibar iwe kivyake?
Kama watakufa njaa, wataomba, watalia, watanuna nk nk si ni wao?
Kwannni watanganyika hili hatulitaki?
 
Hujajibu swali,

ila kwanini hakuna mtanganyika anaekubali zanzibar iwe kivyake?
Kama watakufa njaa, wataomba, watalia, watanuna nk nk si ni wao?
Kwannni watanganyika hili hatulitaki?
Tulishakubali siku nyingi ila wao hawataki kwasababu ndiyo loosers wamewekeza sana bara, na kwao hakuna ardhi
 
Mkuu kuna kile kitabu cha sungura alikuwa anakula share mbili
  1. cha wageni
  2. cha wote
Kama ulisoma hicho kitabu basi ukweli wake ndiyo huo pichani
Halafu anayekula share mbili tumbo lake dogo
 
Laahaula...ccm tena?
 
Tulishakubali siku nyingi ila wao hawataki kwasababu ndiyo loosers wamewekeza sana bara, na kwao hakuna ardhi
Sio kweli, watanganyika waliopo bara na wale wengine waliopandikizwa kule zenji ndio wanaoulinda muungano kwa nguvu zote,

Ila wazanzibari kama wazanzibari original hawautaki, na wakifurukuta kidogo wanatulizwa kilazima,
Unakumbuka uamsho? Uliona kilichotokea?
Walitolewa zenjiiiii wakashikilwa bara huku
Famchezo nini
 
Lipi ni jepesi kufanyika?

1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania

2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu

Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
KILA MMOJA ABAKI KWAKE TANGANYIKA KIVYAKE NA ZANZIBAR KIVYAKE maswala ya serikali 3 n kuyapa nafas tu maviongoz majiz kuneemeka kwa kodi zetu tu. kila mtu apambane na hali yake
 
Wamenikera walivoweka kibao cha Tanzania ilhali TANGANYIKA ipo haijafa.
 
Are these the facts or are just your feelings and imaginations brother Pascal Mayalla...?

Do you have constitutional justifications on all of these you have said..?
 
Unaota
 
Lipi ni jepesi kufanyika?

1-kuifuta Zanzibar isiwepo na tuwe na serikali moja tu ya Tanzania

2-kuirudisha Tanganyika na tuwe na serikali tatu

Au
3- kila moja abaki kwake kama zamani?
After 60 yrs ndio kila mtu abaki kwake kama zamani!? Ndoto za Alinacha hizi
 
Sis na Zanzibar ni nchi marafiki ieleweke hivyo haijawahi kua nchi moja na haiwezekani zaidi sana tuendelee kuwafadhili tu.
 
Ninyi Vichogo wa Bara (Watanganyika) tulishawaambia siye tuna nchi yetu iliyostaarabika miaka mingi sio ninyi Vichogo nywele ngumu

Tuachieni nchi yetu
 
Naona wamesahau kuweka bendera yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…