Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mungu sio mjinga Ndugu yangu! Kasome maandiko ya akina Mfalme Naamani aliyekua na ukoma. Kuna very special cases ambazo Mungu yeye mwenyewe hutenda miujiza ya Uponyaji na mengine. Mungu hashurutishwi na Wana siasa, tusimdhihaki Mungu, ametupa akili tuzitumie, tusizitumie kwenye kuibia kura tuMungu yupo na sisi.
Acha ujinga na propaganda za Uccm.Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.
Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.
Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.
Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?
Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.
Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Nani huyo unaemsema? Kwani Mbowe alipohojiwa Aljazeera mwaka jana na kusema Dar wanakufa watu 30 elfu kwa siku hamkujua kuwa kuna vifo vingetokea? Mungu alikuwa pamoja na Tanzania.Ni
Akili zako ni sawa na huyu unayemshabikia. Kwa sababu alishasema ''hilo nalo litapita'' umeamua kukariri. Au pengine ni yeye mwenyewe ameingia kwa ID ya kificho. Likipita wewe huoni litapita kwa kusababisha hasara kubwa ya vifi ambavyo vingeweza kuzuilika?
Hakuna mwanasiasa anayemshurutisha Mungu. Watanzania wanamuomba Mungu.Mungu sio mjinga Ndugu yangu! Kasome maandiko ya akina Mfalme Naamani aliyekua na ukoma. Kuna very special cases ambazo Mungu yeye mwenyewe hutenda miujiza ya Uponyaji na mengine. Mungu hashurutishwi na Wana siasa, tusimdhihaki Mungu, ametupa akili tuzitumie, tusizitumie kwenye kuibia kura tu
Na wewe unayo taarifa yoyote ya kukosekana kwa covid-19 nchini?Wewe una taarifa za kisayansi kuthibitisha maambukizi? Unajuaje kuna maambukizi mapya ya covidi 19?
Wewe ndio mjinga na mpumbavu. Wapi imeandikwa kwa kuwa Tanzania ni mwanachama wa WHO basi tukubaliane na dawa au chanjo hata kama zima madhara? Pumbavu.Acha ujinga na propaganda za Uccm.
Corona is there to stay. Kinachotakiwa ni Magufuli kuacha mkwara mbuzi akubaliane na matakwa ya WHO ambayo Tanzania kama nji imesaini kuridhia mikataba ya Kimataifa kulinda Afya za Watz na Dunia kwa ujumla.
Circumstantial evidence. Maana naona watu wanakusanyika kila kona ya Tanzania.Na wewe unayo taarifa yoyote ya kukosekana kwa covid-19 nchini?
Wewe ni mbishiHakuna mwanasiasa anayemshurutisha Mungu. Watanzania wanamuomba Mungu.
Nani amerelax? Tunasali kumuomba Mungu mchana na usiku. Kumbuka hata mizimu ya mababu tunaiomba pia.Mungu sio wa kuchezea! Tutumie akili hata kama ni ndogo, ni zetu! Tutumie kutatua changamoto zetu huku tukimuomba! Nenda kasome kwenye Bible Kisa cha wale Washkaji waliokua na Ukoma, hawakukaa pale, waliamua kuondoka kwa "imani" hawakubaki pale ili Mungu awatendee muujiza pale, no walichukua hatua!
Kwenye hii Corona, issue ya ku-relax na kujiaminisha kuwa tuko salama, ni kumjaribu Mungu wetu. Mungu hajaribiwi
Haya nieleweshe!Nafikiri hamkuelewa vizuri. Covid 19 inavyosambaa kwa kasi mpaka sasa tungekuwa tuko salama?
Unajichanganya na unamchosha Mungu! Sitaki kubadilisha unachokiamini ila Mungu hadhihakiwiNani amerelax? Tunasali kumuomba Mungu mchana na usiku. Kumbuka hata mizimu ya mababu tunaiomba pia.
Wewe kama Mtanzania siyo Mtanzania ni Mgeni Raia tokea mbali kwani hutaki kuona watanzania wanaanza kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuvaa barakoa kwa bidii kama awali Mbona waziri wa Afya wa Zamani alizuia mpaka salam za kushikana mikono? Huyu waziri wa sasa Hataki hata kuhamasisha tahadhariMimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.
Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.
Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.
Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?
Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.
Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Ni kwamba kuna chanjo ya Covid 19 imesababisha kuwe na maambukizi ya ajabuajabu.Haya nieleweshe!
Nani amekuambia haya?Wewe kama Mtanzania siyo Mtanzania ni Mgeni Raia tokea mbali kwani hutaki kuona watanzania wanaanza kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuvaa barakoa kwa bidii kama awali Mbona waziri wa Afya wa Zamani alizuia mpaka salam za kushikana mikono? Huyu waziri wa sasa Hataki hata kuhamasisha tahadhari
Ulitaka watanzania wasali vipi? Uamini kuwa hawamdhihaki Mungu?Unajichanganya na unamchosha Mungu! Sitaki kubadilisha unachokiamini ila Mungu hadhihakiwi
Hujajibu swali nililokuuliza na swali ulilojibu sijakuuliza.Ndio mamlaka zinazotakiwa kutupa taarifa rasmi
Unajidanganya, chukua tahadhali. Rais awali alikana kwa nguvu zote gonjwa hilo halipo, maombi yameliteketeza. Juzi ulimi uliteleza akakiri ipo, tena ya ajabu na imeletwa na walio enda kuchanjwa nje ya nchi. Amesahau kuwa mipaka ya nchi ya anga na nchi kavu iko wazi na waingiao wanashukuriwa kwa kutovaa barakoa.Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.
Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.
Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.
Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?
Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.
Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Sasa kama uliona hatuna business na huu ugolo wako umeleta humu wa nini? Hakuna group la chama chenu huko ili mjadiliane hotuba za mtukufu wenu? Au unadhani kujibalaguza huna chama kunatosha kutidanganya wewe siyo mwanachama wa Zuzu Party?None of your business.
Haka kakingereza ka kishamba kanukufanya uonekane unasaka uteuzi kishamba shambaStupid and nonsensical reply.