Ukweli ni kwamba machinga hufuata wateja,njia pekee ya kukabiliana na machinga ni kujenga miundombinu ambayo ita accommodate biashara zao na hapa lazima watu wa mipango miji na wajenzi wa Barabara lazima waanze kufanya hili..
Swala la kuwapeleka sijui wapi wakati wao wanafuata wateja ni uongo.
Wewe na sisi tunawaona wamerudi, lakini ukimuuliza mkuu wa mkoa wa Dar atakuambia wamefanikiwa kuwaondoa na hawatarudi.Ni muda kidogo sasa tangu kutekelezwa kwa agizo la kuwaondoa Wamachinga maeneo ya katikati mwa majiji na miji mikubwa kama Dar es Salaam, Mwanza na Arusha kwa lengo la kuwapanga vizuri lakini pia kuyaweka maeneo hayo katika hali ya usafi.
Habari mbaya ni kwamba katika maeneo mengi wafanyabiashara hao wamesharejea na wanafanya biashara kama zamani tu. Maeneo ya stendi, chini ya mti, Kilombero n.k jijini Arusha, Dar maeneo karibu yote kuanzia Mwenge hadi Kariakoo, Mwanza nako maeneo ya katikati ya Jiji hali ni kama zamani tu.
Maeneo yote haya yana viongozi lakini kama kawaidia wanafanya kazi kwa mazoea, wanasubiri kufanya kazi kwa zimamoto, wanasubiri ziara ya Rais ikaribie ndipo wafanye majukumu yao.
Hawa ni viongozi mzigo, wanaopaswa kujitafakari na kujipimaView attachment 2337449
Hilo haliwezekani, uchumi wa Nchi gani hauna machinga?Njia pekee ni kuufanya uchumi wetu usizalishe wamchinga, bodaboda na mama ntilie wanaouza vyakula kwenye ndoo kwa mwendokasi.
Yote unayoyasema siyapingi na hayo ndio matokeo chanya ya ukuaji wa miji na mipango ya maendeleo, kuna watu au kundi la watu wataumia tu, haikwepeki.mtoa mada unaweza ukaongea kwa nafsi yako ni sawa, lakini kiuhalisia hali ya machinga nje ya maeneo yao waliyoyaanzisha wenyewe ni ngumu sawa na watu wamekata mitaji balaa, ndoa zimevunjika na mambo mengine mengi. ila kwa sababu tunatofautiana utafutaji unaweza walaumu machinga na kuona ni uchafu mjini... lakini nakuhakikishia, ingawa wanaonekana kpata shida ni machinga ila hata watu wenye uwezo mdogo wa manunuzi nao wamepata shoida sana ni kwa vile hakua umoja wa wateja wa wamachinga ndio ungesikia shida wanazopata waniunuzi pia.
unaweza ukawa unajua iala natka nikukumbushe, biashara ni location na sio kila sehemu au location ni rafiki kwa kil biashara, machinga wengi kwenye yale maeneo walikuwa wamepatia location ndio maana ulikuwa ukiwaona wanatoboa na kushusha marobota kila siku.. sasa hivi niambie ni nani anashusha robota kama zamani.
kwa wale wanaoishi kisesa mwanza ndio wanajua... toka watu waondolewe pale jiwe la mkapa na kupelekwa kona ya kayenze watu wamekata mitaji na kule kona biashara mwisho saa tatu asubuhu kama hadi mda huo haujauza mzunguko unakata we tafuta sehemu ukalale tu. ndio maana wanalazimisha kuja stand ya magu huku juu.
VIATU VIKUBWA SANA KWAKEAmos Makala kesho utamuona na miwani zake zile nyeusi. Jamaa huwa anapiga miwani ya jua hata akiwa kwenye mwanga hafifu. Kifupi Jiji limemzidi uwezo kabaki kuwa propagandist hata usafi tuu umemshinda. Nimepita juzi juzi mitaa ya mabibo sokoni. Hopeless
Hapa ndo PA kutibiwa. Yani tatizo mikakati inakata matawi na shina. Mzizi sehem hizo, ambaz hazipokei mabadiliko. Ndo mambo yanastawi upyamachinga wanaongezeka kila uchwao hilo ni swala mtambuka,siku hii nchi pakiwa na mazingira mazuri kwenye ajira,kilimo na ufugaji,viwanda vikubwa na vidogo,kupunguza utitiri wa kodi n.k itachochea kupunguza utitiri wa machinga.
Mkuu, tatizo huu mikakati pia una eksikyuzi. Usiku wanaruhusiwa, hawa wa usiku wanaanzaga jioni saa 10.siku nyingine wanawahi wanakuja saa 9,mara nane, Mara 5 ndo wanarudi hivyoNa sisi tuache kununua vitu vyao, tununue kwenye maeneo rasmi yaliyotemgwa na mamlaka ya miji.
Hapa ndipo serikali inapofeli sana kukusanya kodi, inapoteza mabilion kila mwaka kuwachekea hao machinga,Ni muda kidogo sasa tangu kutekelezwa kwa agizo la kuwaondoa Wamachinga maeneo ya katikati mwa majiji na miji mikubwa kama Dar es Salaam, Mwanza na Arusha kwa lengo la kuwapanga vizuri lakini pia kuyaweka maeneo hayo katika hali ya usafi.
Habari mbaya ni kwamba katika maeneo mengi wafanyabiashara hao wamesharejea na wanafanya biashara kama zamani tu. Maeneo ya stendi, chini ya mti, Kilombero n.k jijini Arusha, Dar maeneo karibu yote kuanzia Mwenge hadi Kariakoo, Mwanza nako maeneo ya katikati ya Jiji hali ni kama zamani tu.
Maeneo yote haya yana viongozi lakini kama kawaidia wanafanya kazi kwa mazoea, wanasubiri kufanya kazi kwa zimamoto, wanasubiri ziara ya Rais ikaribie ndipo wafanye majukumu yao.
Hawa ni viongozi mzigo, wanaopaswa kujitafakari na kujipimaView attachment 2337449
Warudi walikotoka kabla ya maguHuwezi kuwaondoa Wamachinga bila kuwapa alternative.
Unataka wakale wapi?
Sawa kabla ruksa ya magu mlikua wapi?mtoa mada unaweza ukaongea kwa nafsi yako ni sawa, lakini kiuhalisia hali ya machinga nje ya maeneo yao waliyoyaanzisha wenyewe ni ngumu sawa na watu wamekata mitaji balaa, ndoa zimevunjika na mambo mengine mengi. ila kwa sababu tunatofautiana utafutaji unaweza walaumu machinga na kuona ni uchafu mjini... lakini nakuhakikishia, ingawa wanaonekana kpata shida ni machinga ila hata watu wenye uwezo mdogo wa manunuzi nao wamepata shoida sana ni kwa vile hakua umoja wa wateja wa wamachinga ndio ungesikia shida wanazopata waniunuzi pia.
unaweza ukawa unajua iala natka nikukumbushe, biashara ni location na sio kila sehemu au location ni rafiki kwa kil biashara, machinga wengi kwenye yale maeneo walikuwa wamepatia location ndio maana ulikuwa ukiwaona wanatoboa na kushusha marobota kila siku.. sasa hivi niambie ni nani anashusha robota kama zamani.
kwa wale wanaoishi kisesa mwanza ndio wanajua... toka watu waondolewe pale jiwe la mkapa na kupelekwa kona ya kayenze watu wamekata mitaji na kule kona biashara mwisho saa tatu asubuhu kama hadi mda huo haujauza mzunguko unakata we tafuta sehemu ukalale tu. ndio maana wanalazimisha kuja stand ya magu huku juu.