Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Mission ikifeli mnasingizia wasaidizi wa Rais lakini mission iki-tick mnaanza kusema mama anaupiga mwingi, kimsingi itoshe kusema kwamba wasaidizi wa Rais wana utu na wanatamani machinga waondoke lakini watawapeleka wapi kwa mara moja.
Na Rais ametoa agizo huku kura zao anazitamani maana wasaidizi wake (watendaji wa serikali) wakitekeleza agizo kwa kuweka mgambo na kuwaondoa, anarudi tena muwaondoe kwa staha bila kuwabudhi (how kwa kundi kubwa limekaa sehemu uliondoe bila bughudha)
Wameona watulie tu maana hali ya machinga ni tete maana huwezi kuwaondoa mara moja na kuwapeleka eneo lingine
Na Rais ametoa agizo huku kura zao anazitamani maana wasaidizi wake (watendaji wa serikali) wakitekeleza agizo kwa kuweka mgambo na kuwaondoa, anarudi tena muwaondoe kwa staha bila kuwabudhi (how kwa kundi kubwa limekaa sehemu uliondoe bila bughudha)
Wameona watulie tu maana hali ya machinga ni tete maana huwezi kuwaondoa mara moja na kuwapeleka eneo lingine