Mwamba alipowaambia walipe 20,000 wapewe vitambulisho mkamuona hamnazo, wakaja wenye nazo, wakasema watoke wanachafua miji, mkasema ni kweli, ila hamkuishia hapo, mkaamua na kutukana yaliyofanyika nyuma kuwa vitambulisho sijui nini!
Yamewashinda sasa, mtuambie nini kinachofuata; hamkawii kutuambia mama ana huruma, kawaachia kwa kuwa vita imetikisa chumi zote za dunia