Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

inategemea na aina ya kiongozi.
anyway, hata huo mfano ulioutoa, aliyeona si Farao, bali Yusufu ambaye aliletwa mbele ya Farao toka gerezani alikokuwa anatumikia kifungo.
 
Wao, wametudhalilisha kwa, kutufanya maskini kwa, kuibq pesa zetu, kwanini tusiwatukane?
 

..Magufuli naye alikuwa na genge lake la watukanaji.

..Nakumbuka Maalim Seif aliitwa shoga na gazeti moja, na Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa akatetea matusi hayo.

..Nashauri Rais avumilie tu matusi na kuonyesha ukomavu.

..Wapinzani wametukanwa matusi makubwa makubwa na hakuna aliyekufa kwa kutukanwa.
 
Mbona unakuwa mkali?

Ukiua kwa upanga nawe utauwawa kwa upanga

Mlitukana magufuli kila aina ya maneno hamkujua maana ya karma

Huu ni mwanzo mtalipa dhuluma zote
 
Mbona unakuwa mkali?

Ukiua kwa upanga nawe utauwawa kwa upanga

Mlitukana magufuli kila aina ya maneno hamkujua maana ya karma

Huu ni mwanzo mtalipa dhuluma zote
Mkali kwa lipi? Soma mtililiko wangu. Nimesema huyu mtu wanayesema katumwa na January ameanza kutukana toka enzi za JK, tena alimtukana sana huyo January, ikaja enzi za JPM alianza anamsifu baadaye akaanza mtukana, same to Samia. Sasa kwanini wasema anatumwa na January...
 
ni ww ndiye usieona sababu na siasa haingoji sababu kuwa karibu na familia sio kigezo cha kukubalika......
 
Wewe akili yako ndogo

Mange ni ukurasa unaotumiwa na wanasiasa wenye nia mbaya na hii nchi toka kipindi cha magufuli

Nenda kajadili mapenzi uwezo wako mdogo
Hakuna anayemtuma... wewe ndiye hufuatilii yule hajaanza kutukana serikali enzi za magufuli ni vile JK enzi zake kulikuwa hakuna machawa wa kufuatilia na kutoa matamko kama haya. Mange kaanza kutukana toka enzi za JK. Sema tofauti za enzi za JK na sasa hakukuwa na uchawa wa kila mtu kutoa tamko kama zama za JPM na za Mama Samia. Mfano issue ya kumtukana JK ze utam ingetokea zama hizi basi kelele zingekuwa hivi hivi.
 
Kipindi cha kikwete mange alikuwa yupo karibu sana na serkali

Mange alichukua hadi fomu ya kugombea ubunge wa wanawake
 
ni ww ndiye usieona sababu na siasa haingoji sababu kuwa karibu na familia sio kigezo cha kukubalika......
Lete sababu maana January Samia sio mshindani wake maana ni dhahiri lazima Samia amalize awamu zake unless labda angekuwa anatukanwa Mwigulu au mtu ambaye inasemekana anautaka urais baada ya Samia ungesema January kaanza kumchafua. Sasa amtukane samia kwa lipi wakati hata fomu ya kugombea 2025 hatoichukua...
Lete connection kwanini unahisi afanye hivyo.
 
Kipindi cha kikwete mange alikuwa yupo karibu sana na serkali

Mange alichukua hadi fomu ya kugombea ubunge wa wanawake
Alikuwa karibu wapi na serikali bwana wakati alikuwa anamtukana JK, na Rizwani na huyo January Makamba. Fomu ya kugombea alichukua lakini wakamkatilia mbali. Enzi za JK alikuwa hadeal na watu kwa nguvu kubwa kama hivi la sivyo alipotua tz angeipata pata. By the way bado pia aliondoka TZ faster hata yeye anakili alianza kuogopa juu ya uhai wake. Huyu mtu zama zote anatukana sema serikali ya Kikwete ilikuwa haifuatilii sana yaliyokuwa yanaendelea kwenye mtandao wala hakukwua na mawaziri wala wakuu wa mikoa machawa wa kusema atakaye msema JK tutakufa naye kama sasa na enzi za JPM
 
Ogopa sana

Usimtende

mabaya mtu asiye kuwa na hatia


Kina February walitumia ukurasa wa mange kumdhalilisha mzee wa watu Magufuli

Lkn

Karma is real...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…