Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Ndo wanasiasa walivyo.
 
Ila hata kama siyo President ni mke wa mtu na ni mama .

Hii siyo sawa.

Hivi huo usalama wa taifa huwa wao hawana Instagram ?
Nami dadangu naliangalia hili kwa upande wa pili, yaani mama, mke, bibi, mkwe.

Serikali ichukue hatua dhidi ya utukanaji kwa mwananchi yeyote,siyo mpaka awe kiongozi.

Lugha ya kuudhi na uzalilishaji ni makosa, ni nani anayetakiwa kushitaki!!??
 
Ccm inakwenda na maji ,Mungu alisha ifuta kimamlaka katika utawala , tumesema mara nyingi hamsikii ,sasa hizi ni rasharasha tu, na kama uchaguzi ukifanyika 2025 ccm mkaiba shauri yenu
 
Mtu akikufatilia kwa muda mrefu post zako thread hii, inawezekana ukawa proxy ya January kweli, kuna kitu unalazimisha sana na kukitetea sana. Kwanini unalazimisha kwa nguvu zote kwamba 2025 lolote haliwezi kutokea!?,tumekuuliza hapa unaijua siasa vizuri!?,hujajibu.. ila watu wakikwambia ugomvi huu ni wa Uraisi 2025 unakuja juu sana kusema hawana ushahidi, waweza kuhisi upo mbele ya wengine kumbe katikati ya mistari yako unasomeka kirahisi sana.
 
Kama wenye Serikali wanaona matusi ndio uhuru Wacha watukanwe.

Hata Mimi napenda uhuru wenye mipaka
 
Mjinga ni wewe ambaye unadhani kuna mjinga yeyote ambaye ni mteule wa Samia anaweza kudhubutu kuchukua fomu kumchallenge wakati akijua fika lazima Samia amalize vipindi viwili. Hizo ni fikra zako mwenyewe na fomu washasema inatoka moja.
Mkuu hiyo ya lazima Samia amalize vipindi viwili umeisoma wapi!?,kwanini unakomaa watu wakariri hivyo!?,unaficha nini nyuma ya pazia?,wewe ni Mungu?,una guarantee gani ya maisha kwa kiongozi yeyote!?,michango yako sio ya wachangiaji wa kawaida JF, una ajenda za siri nyuma yako, mwanzoni sikugundua hilo, kuna vitu unakomalia sana hadi umeshtukiwa.
 
Yani kinyago walichokichonga wenyewe kimeanza kuwatisha
 
Hakuna atakaye compete naye mpaka awamu yake ya pili iishe fullstop. Na washasema inatoka fomu moja tu. Hizo zilizobaki ni hisia zako wewe na ni haki yako kuwaza unachowaza.
 
Sasa wewe unayemponda tuseme basi na wewe umelipwa kwa mtu hafanyi lolote pasipo kulipwa basi na wewe utakuwa umelipwa. Eh ushahidi ni jambo la msingi unapokuwa unampa mtu tuhuma. Mfano wewe mtu atoke huko kwa hisia zake tu kisa alikuona una pesa hajui unazitoa wapi aanze kukutangaza kuwa ni jambazi, utapenda? Bila ushaidi huo akutangaze utapenda?
 
Baba yake ndo aliliwa tigo na kundi la wanaume na kurekodiwa juu baada ya kufumaniwa na mke wa mtu huko kigoma ile aibu akaamua ajinyonge ndo maana huyo kimavi akili zimefyatuka
Kumbe ndio yalikua hayo? Baba yake Mzee Jumanne Ramadhan Kimambi aliliwa kiboga na Mob alafu wakamrekod na Clip wakaiweka ukumbusho inamaana hadi Mange aliona video hio Baba yake akiwa anauugulia kwa hio mtoto imemu-affect kisaikolojia masikini Mange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…