bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 631
- 1,268
Unafikiri USA ni Tz sio? Au unahisi ni morogoro paleSuala la muda, wakimtaka wanampata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri USA ni Tz sio? Au unahisi ni morogoro paleSuala la muda, wakimtaka wanampata
Kwa hio bimaza anasagana au SIO?.saiv mnakoboana saganeni tupate unga tena bado hamjatukanana vizuri
Bimaza anasagana? NawaulizaIla uongozi ni mgumu sana aisee mimi kwa hulka yangu nina huruma sana ila kamwe sina hurumaa kabisa na mtu anayenidharau kwa kweli hii nchi ni kubwa sana na viongozi wenye uwezo na heshima wapo wengi sana nisinge jiuliza mara mbili.
Jamaa yangu Musibha alizidi sana.Kuna msemo ukimfuga Chatu siku usipompa chakula basi wewe ndio utakuwa chakula..
CCM walifuga chatu wakawanyima chakula matokeo yake?
View attachment 2962313View attachment 2962314
Kabisa. Wale wanaruhusu hadi ushoga na utoaji mimba.Marekani kuna mdada alimnyooshea dole la kati Trump Live na hata hakufanywa kitu. Huko uhuru wao ni level nyingine kabisa
poleSiasa lazima iwe na motive behind. Samia si mshindani wa January labda akina Mwigulu maana mpaka yeye aje kugombea kama ana mpango huo ina maana Samia atakuwa kamaliza awamu zake mbele.
Kwamba bimaza anasagana?Huko Migombani ndio mnaitana Washamba Hapa Mjini Mshamba ni tusi
Ndio Sababu Amos na John wameukana Ushamba
Basi bila shaka umeanza kufuatilia hizi mambo juzi juzi tu au kama Watanzania wengi walivyo una kumbukumbu fupi.... Si ndiye huyu mange aliyesema January anamtumia dadake yeye anaiba pesa serikalini anawekeza wka dadake. Akavujisha picha za familia ya Makamba wanaenda kuzindua nyumba aliyonunua mwamvita dubai. Ndipo ugomvi ukaanzia hapo akaanza washambulia? Huyu huyu mange ameisahmbulia familia ya JK na Rizwan enzi hizo. Una kumbukumbu fupi au haya mambo umeanz ayafuatilia juzi
Pole wewe unayefurahi wampe tuhuma kwa hisia bila ushaidi ati we huelewi siasa.pole
Raia wa Marekani kwa kigezo cha kuzaa watoto na raia wa Marekani kuna kingine?Atakuwa charged kwa kosa/makosa gani na mahakama ipi.
Ni muhimu ufahamu Mange anaishi US kwa status ipi ndio utajua ugumu au wepesi uko wapi.
Unazungumza conspiracies yani vitu visivyokuwa na ushahidi. Kwa hiyo Mange alianza kumtukana January enzi za Kikwete akiwa hata hajajua kama JPM atakuwa rais wala Samia atakuwa rais ili aje amtumie baada ya Samia kuwa rais kumtukana samia na watu wasijue?Hizo ni proxy (kuchanganya watu wenye akili ndogo)
Utakumbuka kuwa ile akaunt ya kigogo anayeimiliki boss wenu huwa anajitukana pia [emoji16]
Ila mnaakili ndogo sana pamoja na kubebwa kote
Ulemavu wa kufikiria mkuu ni mwingi miongoni mwetu.Atakuwa charged kwa kosa/makosa gani na mahakama ipi.
Ni muhimu ufahamu Mange anaishi US kwa status ipi ndio utajua ugumu au wepesi uko wapi.
Mimi sijamnyooshea kidole ila naona upepo wa thread hii unamsema January. Lema huyu huyu aliyesema Ni furaha kwa Mungu Lowassa kupigwa mawe halafu baadaye akasema mwenye ushahidi aende mahakamani au lema yupi mkuu? Sijamsikiliza kumbe kataja majina?
Niondolee ushamba wako,mjini mnaingia na maroli ya mkaa halafu mnaleta ujuaji,Mange wewe umemjulia Instagram,Mange kaanza kutukana watu tangu early 2000 kwenye blog yake ya U-turn,ndio maana nakwambia yule anajitukaniga yeyote saa yeyote........akili ndogo ya nyokoWewe akili yako ndogo
Mange ni ukurasa unaotumiwa na wanasiasa wenye nia mbaya na hii nchi toka kipindi cha magufuli
Nenda kajadili mapenzi uwezo wako mdogo
Unamalezi ya hovyo sana wewe binti.Bimaza anasagana? Nawauliza
Hebu mwambie analeta ujuaji wa kijingajinga hapaUnazungumza conspiracies yani vitu visivyokuwa na ushahidi. Kwa hiyo Mange alianza kumtukana January enzi za Kikwete akiwa hata hajajua kama JPM atakuwa rais wala Samia atakuwa rais ili aje amtumie baada ya Samia kuwa rais kumtukana samia na watu wasijue?
Enzi mange anamtukana January, ilikuwa ni enzi za JK ambapo january alikuwa ni mtu ambaye hajapitia matatizo na ikiaminika kuwa anaweza kuja kuwa rais.
Mnatafuta mtu wa kumuuzia kesi lakini hakuna connection. Bidada amekuwa akitukana toka enzi hizo na hulka na tabia yake. JK na serikali yake hawakuhangaika naye ndio maana haikuwa big deal. Serikali ya JK haikuwa na tabia ya kutolea matamko issue kama hizi za Mange. Wao walikuwa wadeal na akina Slaa ndio maana yalikuwa yanaishia tu huko huko.
Mimi sijamnyooshea kidole ila naona upepo wa thread hii unamsema January. Lema huyu huyu aliyesema Ni furaha kwa Mungu Lowassa kupigwa mawe halafu baadaye akasema mwenye ushahidi aende mahakamani au lema yupi mkuu? Sijamsikiliza kumbe kataja majina?