Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hivi watu kwanini mnakumbu kumbu fupi?

Mumesahau aliyeanzisha kazi ya matusi ni JPM kupitia Musiba. Mbona hatukuwasikia mkimkemea Musiba leo mnamkemea yule Dada! kwa lipi.

Unapanda Bangi ukitegemea utavuna Alizeti!

JokaKuu Pascal Mayalla

Mkuu unafikiri tunaopinga hili wote ni wana CCM? unafikiri na Musiba hatukumpinga? Utu wa mtu ni kitu chenye thmani sana, kama musiba tulimpinga kwanini huyu tufurahie? au kwa kua ni mwana CCM?
 
Hivi naomba niulize, wakati ule Musiba anaandika na kusema matusi Viongozi na watu wengine mitandaoni na mpaka kwenye magazeti yake matusi na udhalilishaji huku akipita mitaa ya hapa hapa Tanzania hamkumuona?
Mbona sio viongozi wala hawa wapiga filimbi tuliwasikia wakikemea au kuchukua hatua?
Alimfedhehesha hadi Marehemu Maalim na Zitto kuwa wanamdenya yule kijana wao afisa habari ambaye sasa yuko CCM na wote mlikuwa mnacheka ila leo ndio mmeona ni jambo baya?
Huyo huyo Bashite alikuwa na project yake ya vijana kuwachafua kwa mitandao viongozi wa upinzani kisha mnachekelea!
Mmeyaanzisha ona sasa yanavyotuharibia nchi yetu hadi bi mkubwa na serikali yetu inafedheheshwa!


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Unauhakika kama wote tulikua tunacheka?
 
We jamaa unaweza kubishana aisee! Mwanzo nilidhani bahati mbaya kumbe umedhamiria kabisa, unaijua U-turn? Humo Januari alichafuliwa sana, kitu kilichofanya Mwamvita (Nduguye yake January) kutumia influence yake Vodacom wakamsitishia Mange sponsorship.

Elewa tena, Hii haifanyi Januari ashindwe kwasasa kumtumia Mange against yeyote, ndio maana kwa wenye akili na wanaojali hautakiwi kuwa na ushirika na mtu kama Mange kwasababu once “common interests” zikiisha basi anaweza turn against you either.
Huyo wa 2005 sidhani hata kama anakuelewa
 
1.Rais ni political figure.
2.Rais kutukanwa kimsingi ni political speech.
3.Wananchi wanatakiwa kuwa na haki ya kikatiba kufanya political speech
4. Wananchi wanatakiwa kuwa na haki ya kikatiba kumtukana rais.
We jamaaa 😂😂😂
 
Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Naunga mkono hoja,
niliwahi kuuliza Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani? kisha nikatoa wito huu

View: https://youtu.be/-sr2_3bIHSo?si=yQeDzJ1GEvB3Hb-4
Bado naendelea kusisitiza, Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!
Hili la rais wetu kudhalilishwa, halivumiliki!.
P
 
Lilikuwa kosa kubwa sana kwa Rais Samia hata kumsogelea huyo chizi Mange ! Uwezi kujenga ukaribu na chizi ukafikiri uko salama!
Ni kweli.

Ila ukiangalia tena hilo tukio mpaka Rais Samia anafika hapo nje na kupeana mikono na Mange, vyote ni pre planned.

Ni Kama Rais Samia nae aligeuzwa/amekua Kete Kama kete nyingine na ule ni mtego ambao ulipangwa mahususi kutumika kwa ajili ya yanayoendelea sasa.

Ni Kama sio bahati mbaya kabisa.
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Hahaha ule umoja wa kumuondoa kikwazo wao walifanikiwa sasa nchi wanayo ila ndiyo hivyo kila kitu wameshindwa hahah ana Mifupa ya Dkt Magufuli bado inawasumbua ile balaa. Nenda kijijini hebu taja jina la eti …sam utapigwa mawe mpaka kufa. Halafu sasa wanamtengenezea zengwe kama la mhisbu, na eti wanang’aka uchaguzi 2025 hakuna kubebana eti kura ni haki bin haki kumbe wanamuandaa kisaikolojia, watameguka na chama chao, kura zitapigwa na atarudi kizimkazi na jela itamhusu hahaha ila siasa za bongo unahitaji akili za ziada. Pona yake ni katiba na kuachia madaraka akalee wajukuu.
 
Huelewi lolote kuhusu siasa wewe, unajua kipindi cha JPM Mange alikuwa analipwa na nani!?,unajua akaunti ya KIGOGO ilikuwa inamilikiwa na nani!?

Mama Samia katukanwa matusi ya nguoni, umeona waziri wa mambo ya nje akichukua hatua yoyote!?,watu hawana shida ya uwaziri, wana shida ya Uraisi, waweza kuita tamaa au vyovyote vile ndo binadamu tupo tofauti.

Mange ana backup kubwa sana ndo maana anajiamini. Vilevile Makonda ana backup kubwa sana ndo maana kaongea vile Jana. Vita ni kubwa kuliko tunavyodhani.
huyu kaka mkubwa nilianza kumuangalia kwa jicho pevu alivyowadindia kina gsm kule mikocheni na kumpa shit nyingi sana injinia while hayupo madarakani....kifupi ni jeshi la mtu mmoja alafu seems wazee wanamzingatia sana huyu braza tofauti na sisi mayanki tunavyomuona.

let saga continue.
 
Back
Top Bottom