Mtu anatakiwa apate councelling,awe na utayari chanya wakupokea majibu mazuri au mabaya.Kama kuachana waachane kwa amani.Sasa mtu hajaandaliwa kisaikolojia kaenda pharmacy kakinunua,kapitia Bar kashtua kidogo kaenda home kapima kakuta toto nne zote sio zake undhani nini itatokea mkuu?Kwanini mkuu?
HAKIKAMtu anatakiwa apate councelling,awe na utayari chanya wakupokea majibu mazuri au mabaya.Kama kuachana waachane kwa amani.Sasa mtu hajaandaliwa kisaikolojia kaenda pharmacy kakinunua,kapitia Bar kashtua kidogo kaenda home kapima kakuta toto nne zote sio zake undhani nini itatokea mkuu?
Kingine wachina wanaweza kutuletea feki familia zikasambaratika kwa majibu ya uongo.
Tatizo vikiruhusiwa kupatikana kiholela mnaweza kuua hata wasio na hatia aidha kwa kutojua kuvitumia vizuri au kwa wachina kuleta feki vinavyosema uongo.Bora zilete mauaji ili watu wajue athari za udanganyifu na ndivyo nidhamu inavyojengwa.
Sheria za Tz haziruhusu kujifanyia DNA Nyumbani.Habari ya uzima ni njema kabisa. Mkuu hiyo bidhaa umekutana nayo maeneo gani? Kuna kiumbe nahitaji kum DNA test
Hongera kwa aliyetunga hiyo sheriaSheria za Tz haziruhusu kujifanyia DNA Nyumbani.
Nakushauri achana na mpango huo.Habari ya uzima ni njema kabisa. Mkuu hiyo bidhaa umekutana nayo maeneo gani? Kuna kiumbe nahitaji kum DNA test
Kuna mtu umemsh’kisha nini?Hongera kwa aliyetunga hiyo sheria
Hapana mkuuKuna mtu umemsh’kisha nini?
Ukifanya hivi nyakati hizi ukimwi haukuachi..Wazee wetu walikuwa wanazalisha sana nje, hata wao walikuwa wanalea watoto wa nje! Mfano katika watoto 7 mmoja au wawili siyo wake, kwakuwa hata yeye ana watoto nje ilikuwa inaisha hivyo
Hata usipofanya hivyo ukimwi unaweza kukunasa vizuri tu!Ukifanya hivi nyakati hizi ukimwi haukuachi..
Ngoja nifuatilie hii inaweza nipa hii😂😂😂nakua nauza Kimya Kimya kama bangi nsije onekana chanzo Cha tatizoKama hii ni kweli tutashuhudia mengi
Kipimo hiki kitakuwa cha awali! Confirmation ni kwa Mkemia MkuuMtu anatakiwa apate councelling,awe na utayari chanya wakupokea majibu mazuri au mabaya.Kama kuachana waachane kwa amani.Sasa mtu hajaandaliwa kisaikolojia kaenda pharmacy kakinunua,kapitia Bar kashtua kidogo kaenda home kapima kakuta toto nne zote sio zake undhani nini itatokea mkuu?
Kingine wachina wanaweza kutuletea feki familia zikasambaratika kwa majibu ya uongo.
Chukua mzigo huo mkuu unaweza kupa faida njaanuary hiiNgoja nifuatilie hii inaweza nipa hii😂😂😂nakua nauza Kimya Kimya kama bangi nsije onekana chanzo Cha tatizo
Naanzia humu humu kuuzaChukua mzigo huo mkuu unaweza kupa faida njaanuary hii
Umeshawaona wateja wa humu?Naanzia humu humu kuuza
Habari za uzima wakuu?
Nikiwa naelekea katika harakati jumatatu njema kabisa, nikakutana na hii kitu hapa.
Hii ni HOME DNA TESTS KIT, kama ambavyo wanawake wanaweza kujipima mimba na wanaume wameletewa hii.
Kwani Nchini Tanzania zimefika hizi au Ndio kupima kwa kila mtu mmoja mmoja na gharama yake ili kuendelea kuficha na kupunguza migogoro ya ndoa kuvunjika?
Tupe maoni yako.
View attachment 2865155View attachment 2865156