Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Subir nifungie business accountUmeshawaona wateja wa humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subir nifungie business accountUmeshawaona wateja wa humu?
Acha woga wew au ushambambikia mwanetu hapo unaogopa atakuua😀😀Mtu anatakiwa apate councelling,awe na utayari chanya wakupokea majibu mazuri au mabaya.Kama kuachana waachane kwa amani.Sasa mtu hajaandaliwa kisaikolojia kaenda pharmacy kakinunua,kapitia Bar kashtua kidogo kaenda home kapima kakuta toto nne zote sio zake undhani nini itatokea mkuu?
Kingine wachina wanaweza kutuletea feki familia zikasambaratika kwa majibu ya uongo.
Kila la heri tajiriSubir nifungie business account
Kati ya wanaume 10 watatu ndio wapo sahihi awajabambikiwa.Unataka kusema wanaume wengi wanalea watoto wasio wao?
Sheria haizuii uwepo wa vifaa homeSheria za Tz haziruhusu kujifanyia DNA Nyumbani.
Nani alikupa taarifa ni wachina wanatengeneza?Wachina wanampango wa kuongeza masingle mama mtaani kwa wingi
Tupe tafiti ya haya mambo?Kati ya wanaume 10 watatu ndio wapo sahihi awajabambikiwa.
Ndoa imebakia kwenye vyeti TU.
Kupasha vipolo ndo chanzo Cha haya
Serikali wasiziruhusu zitaleta mauaji mengi
Janga gani mkuu wakati wamekubali kulea watoto hao?Kwa wale ambao wamekubali kulea watoto wa kusingiziwa inaweza ikaleta janga lingine la kuwatelekeza kwa sababu kajua ukweli tu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tuko pamoja
Bora zilete mauaji ili watu wajue athari za udanganyifu na ndivyo nidhamu inavyojengwa.
Mtu anatakiwa apate councelling,awe na utayari chanya wakupokea majibu mazuri au mabaya.Kama kuachana waachane kwa amani.Sasa mtu hajaandaliwa kisaikolojia kaenda pharmacy kakinunua,kapitia Bar kashtua kidogo kaenda home kapima kakuta toto nne zote sio zake undhani nini itatokea mkuu?
Kingine wachina wanaweza kutuletea feki familia zikasambaratika kwa majibu ya uongo.
Mkuu huoni ni hatari sana hiloBora zilete mauaji ili watu wajue athari za udanganyifu na ndivyo nidhamu inavyojengwa.
I understandKipimo hiki kitakuwa cha awali! Confirmation ni kwa Mkemia Mkuu
Sawa mkuu.Mstari wa mwisho kabisa uko sahihi sana.
Huko mwanzo ni suala la kuheshimu viapo vya ndoa, adhabu ni muhimu.
😁😁😁 sawa mkuu ila heshima na uhalisia ktk mahusiano hailetwi na hivyo vidudeNatamani Serikali iziruhusu.
Wakati umefika kuishi kwa uhalisia na kuheshimiana.