Hili linaweza kuwa suluhisho la kulea watoto wa kubambikiziwa?

Acha woga wew au ushambambikia mwanetu hapo unaogopa atakuuaπŸ˜€πŸ˜€
 


Mstari wa mwisho kabisa uko sahihi sana.


Huko mwanzo ni suala la kuheshimu viapo vya ndoa, adhabu ni muhimu.
 
Hicho ni kipimo cha awali, unatakiwa ufanye kipimo kikubwa zaidi kuthibitisha. Kwangu hakina maana yoyote maana kinakupa majibu ambayo hayana uhakika wa asilimia mia.
 
Kama hapa ndani hakuna, acha niangize kupitia alibaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…