Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Anajiita Mnyalu 😂😂😂Mi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga Ni Nani anazisimamia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajiita Mnyalu 😂😂😂Mi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga Ni Nani anazisimamia?
Tatizp si ujunga, jibu hoja kwmb ye ananufaikaje na izo pesa za kuzunguka anazitoa wapi alafu ndo turudiii kweny ni wajinga au si wajinga maana ata gobachev wa urysi alipenda adi white house sa sijui white house walikuwa wajinga?????TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Umeongea kwa uchungu sana mkuu!Muda mwingine middle class wa kitanzania mna push Ile line ya uwezo wa kawaida wa kufikiri, tupo more concern na mambo ya ajabu huku yanayotuathiri zaidi tunayakwepa au kuogopa vivuli vyetu, nchi hii Ina more pressing issues kuliko huyu mzalendo tuliyetofautiana rangi tu, maadui wetu bado ni ujinga, umasikini na maradhi SIO woga kuhusu usalama wa politicians wetu, budgets zao za kiusalama watanzania wengi hatuzijui and we can't ask them.
bahati mbaya mi si msemaji wake....... mpaka kafika pale wanajua kila kituTatizp si ujunga, jibu hoja kwmb ye ananufaikaje na izo pesa za kuzunguka anazitoa wapi alafu ndo turudiii kweny ni wajinga au si wajinga maana ata gobachev wa urysi alipenda adi white house sa sijui white house walikuwa wajinga?????
tatizo tiss wamejazwa mazazwa ya uvccm hajui chochote kuhusu intelligence wanaendekeza ukada tu eagle houseTANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Vipi kuhusu sanaojenga shule na kusaidia watoto yatima wao pesa zao zinarudije?Hakuna mzungu atachoma pesa bure pasipo kunufaika mahali, kuna kitu kina tia shaka kwa huyu mzungu wa fujo isiyo umiza
Tupo wengi kumbeKati ya watu nisiowaamini kiusalama ni huyu mshangiliaji asiye na faida.
Mbona Watu wanaiba BOT refer EPA au ile sio kazi UsalamaTANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Hivi kicheko na mashamsham aliyonayo mbona haya Wiyani na alivyo. Yaani kuna vitu usoni havina ushirikianoTunajua kila anachofanya,tunampima mpaka ishara,mavazi,chakula,tabasamu na vitendo vyake vyote.
Mkuu upo sahihi,Hivi msela kama mimi nianze tu kuwa shabiki wa Stars,kesho naweza kukutanishwa na Rais? au kwa sababu huyu ni mzungu?
Tatizo huna exposure,huna ufahamu dunia unavyoendeshwaHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Utundu na ubunifu wake ndio unaomtofautisha na mimi na wewe.Hivi msela kama mimi nianze tu kuwa shabiki wa Stars,kesho naweza kukutanishwa na Rais? au kwa sababu huyu ni mzungu?
Waliishia wapi baada ya kuiba?.Mbona Watu wanaiba BOT refer EPA au ile sio kazi Usalama
Hakuna ushushushu hapo huyo anapenda publicity tu na kutalii, hizo pesa anazotumia huku third world ndio tunaziona nyingi, huko kwao ni pesa ndogo sana,Kati ya watu nisiowaamini kiusalama ni huyu mshangiliaji asiye na faida.
Nchi za kijamaa mna shida,kila kitu ni negativeHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Ndio ujamaa ulivyoNchi za kijamaa mna shida,kila kitu ni negative