Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
Hizo gharama anazozitumia na muda wake kwa taifa stars, hugharamiwa na nani?Tatizo huna exposure,huna ufahamu dunia unavyoendeshwa
Hapo ni ikulu sehemu ya Rais kupokea wageni
Huyo mzungu pori hakujipeleka,ameitwa
Dr Mwinyi ameona huyo jamaa kwa uchale wake atasaidia kuitangaza zanzibar kwa watalii wa huko kwao UK na duniani
Halafu nyie wenye EKSPODJA, mlifundishwa na nani? Kiwango chako cha exposure ni kipi?