Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
Mzaha mzaha hutumbua usahangoja wavune wanachopanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzaha mzaha hutumbua usahangoja wavune wanachopanda
Kina Kingai?TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Nimekwambia rudi shuleSawa.
Ila hata wewe acha kuwa nyumbu la siasa.
Wamebakia kutumwa na wasiasa kama majini kash kash na maimuna!Hahah hahah hahahah kama tu hawana majibu ya maswali mepesi tutawezaje kuwaamini kwenye mambo magumu?
Hili jambo nimelihoji kitambo sana !Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Kweli kabisa !!Nchi za kijamaa mna shida,kila kitu ni negative
Salama sana tu ! Wala hatuna wasiwasi !
Hili ni janga jipya la nchi yetu kuwa na ujuaji wa hovyo daraja la kwanza. Unafikili vyombo vya usalama havisomi motive za watu ambao wanatishia usalama wa nchi yetu ndio maana tuko salama mpaka sasa.
Na ndio jamaa pia ananufaika hivyo ma Connection,jamaa kuvaa vazi hilo lenue bendera ni Tangazo tosha....Jamaa anatutangaza pia kimasuala ya Utalii.Tatizo huna exposure,huna ufahamu dunia unavyoendeshwa
Hapo ni ikulu sehemu ya Rais kupokea wageni
Huyo mzungu pori hakujipeleka,ameitwa
Dr Mwinyi ameona huyo jamaa kwa uchale wake atasaidia kuitangaza zanzibar kwa watalii wa huko kwao UK na duniani
Hakuna mzungu atachoma pesa bure pasipo kunufaika mahali, kuna kitu kina tia shaka kwa huyu mzungu wa fujo isiyo umiza
Vyombo hivi vya usalama vilivopo ilhali wazungu wanachukua madini kwa mgao wa 97% kwa 3%,vyombo hivi vya usalama vilivoshindwa kuwakamata wauaji wa Tundu Lissu,vyombo hivi vya usalama vilivyosimamia uchaguzi mkuu wa 2020?TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Safi sana...Muda mwingine middle class wa kitanzania mna push Ile line ya uwezo wa kawaida wa kufikiri, tupo more concern na mambo ya ajabu huku yanayotuathiri zaidi tunayakwepa au kuogopa vivuli vyetu.
Nchi hii Ina more pressing issues kuliko huyu mzalendo tuliyetofautiana rangi tu, maadui wetu bado ni ujinga, umasikini na maradhi SIO woga kuhusu usalama wa politicians wetu, budgets zao za kiusalama watanzania wengi hatuzijui and we can't ask them.
Hebu tueleze huyo ni nani, mimi ndio namsikia leoHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177