Watu wa usalama wapo kila mahali na wanajua wajibu wao ndio maana unaona tupo salama tunadunda tunatembea kifua mbele,, jaribu kuleta zako za kuleta uone moto utakaokuwakia, This is Tanzania my friend " !!!
Sasa mkuu huyu jamaa awe shushushu wa kuchunguza nini wakati sisi tunatawaliwa na hao jamaa na kila detail zetu tunawapa wenyewe kwa hiyari yetu sababu hatuna Taifa huru na pili huwa hawatumii wazungu Kama ingekuwa ngumu wao kupata habari zetu japo Kiukweli haiko hivyo hutumia wabongo Kama sisi ambao huwa vibaraka hujawah kuona Hadi Rais mstaafu ni kibaraka wa Taifa Fulani sisi tz bado Sana kuwekewa wapepelezi wa Aina ya bongo zozo cos hatuna Siri wa Sera tishio kwa wazungu wanatujua nje ndani na tunajisasambua wenyewe tukienda kuomba vijipesaAnatia shaka. Hata mababu zake walitumia mbinu hizihizi
Maulid kitenge nae anaeshinda US je naye ni shushushu wa Tanzania anayeipeleleza Marekani?Anatia shaka. Hata mababu zake walitumia mbinu hizihizi
Yani sisi kwa swala la usalama ni weupe sana ... narudia tena siamin kama huyu mtu mambo yote haya anafanya bure inamana yeye ni mzalendo kushinda sisi?Ni gharama zake. Bado tu hatujiulizi anazirudishaje? Na muda anaoupoteza je? Yaani anafanyanya kazi bure?
Duh!Watu wanauawa kama nzi halafu unasema mna watu wa usalama!! Usalama wenu unajua kuwakamata wapinzani tu lakini hao wengine hamuwawezi!! Madawa ya kulevya yamerudi mtaani na watu wa usalama wapo tu wamevaa miwani myeusi!!!
Vyombo vyetu kwa miaka hii ni vijinga mkuuTANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Kisha fika eneo gani nyeti?Maulid kitenge nae anaeshinda US je naye ni shushushu wa Tanzania anayeipeleleza Marekani?
Inawezekana, wale jamaa wakitaka kufanya ushushushu watatumia watu walio undercover sio bongo zozo wa kwenye mipira anayeonekana waziwazi !!! Tena ni mzungu !! Labda ushushushu wa sarafu za mjerumani za simba mbili na mnazi !!Yani sisi kwa swala la usalama ni weupe sana ... narudia tena siamin kama huyu mtu mambo yote haya anafanya bure inamana yeye ni mzalendo kushinda sisi?
Wewe umeongea point Sasa bongo zozo kwenda ikulu ndio tatizo?upelelezi gani huo?kweli nimeamini watanzania wengi tunaupeo mdogo wa kufikiri.Inawezekana, wale jamaa wakitaka kufanya ushushushu watatumia watu walio undercover sio bongo zozo wa kwenye mipira anayeonekana waziwazi !!! Tena ni mzungu !! Labda ushushushu wa sarafu za mjerumani za simba mbili na mnazi !!
Bongo zozo ni content creator anaupiga mwingi huko onlineMi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga ni nani anazisimamia?
Duh ! Tuna ile kitu inaitwa " Inferiority complex " hatujiamini !!Watu weusi tuna shida sana,
Sisi tukienda nchi zao tunataka kupenya kwenye fursa ila wao wakija kwetu hamtaki wapenye kwenye fursa!
Mtu mweusi ndio kiumbe mnafiki na mwenye rho mbaya kwenye uso wa dunia
Anatukebehi na kutusanifuYani sisi kwa swala la usalama ni weupe sana ... narudia tena siamin kama huyu mtu mambo yote haya anafanya bure inamana yeye ni mzalendo kushinda sisi?
Ajira sensitive mnaingizana kwa vimemoTatizo wamewekwa makada wa CCM tupu
As long anasifia sisiemu hawaini shida Sasa atokee mwamba mwengine iwe kinyume utaijua kila idara ya jamuhuri ya stanzaAu na yeye Ni mtanzania mzalendo kwenye asili ya kizungu? Mi naona Kuna Jambo kubwa nyuma ya huyu mtu.
Good question.Vipi kuhusu sanaojenga shule na kusaidia watoto yatima wao pesa zao zinarudije?
Maeneo mengi tu ya huko amefika kwenye museum na maeneo kibao. Ila yote kwa yote bongo zozo ni sawa tu na wazungu Koko wengine japo hofu yako, ni sahihi tu. Hata sisi tungejifunza ujasusi wa hivyo tungekuwa mbali, Leo kununu gari zambia bei rahisi wakati yanapita bandari na Boda za kwetu. Kuna mahali tumekwamaKisha fika eneo gani nyeti?