Hili suala la Bongo Zozo kujipenyeza kila mahali hadi chumbani kwa baba limekaaje?

Hili suala la Bongo Zozo kujipenyeza kila mahali hadi chumbani kwa baba limekaaje?

Watu wa usalama wapo kila mahali na wanajua wajibu wao ndio maana unaona tupo salama tunadunda tunatembea kifua mbele,, jaribu kuleta zako za kuleta uone moto utakaokuwakia, This is Tanzania my friend " !!!

Watu wanauawa/ wanapotea kama nzi halafu unasema mna watu wa usalama!! Usalama wenu unajua kuwakamata wapinzani tu lakini hao wengine hamuwawezi!! Madawa ya kulevya yamerudi mtaani na watu wa usalama wapo tu wamevaa miwani myeusi!!!
 
Anatia shaka. Hata mababu zake walitumia mbinu hizihizi
Sasa mkuu huyu jamaa awe shushushu wa kuchunguza nini wakati sisi tunatawaliwa na hao jamaa na kila detail zetu tunawapa wenyewe kwa hiyari yetu sababu hatuna Taifa huru na pili huwa hawatumii wazungu Kama ingekuwa ngumu wao kupata habari zetu japo Kiukweli haiko hivyo hutumia wabongo Kama sisi ambao huwa vibaraka hujawah kuona Hadi Rais mstaafu ni kibaraka wa Taifa Fulani sisi tz bado Sana kuwekewa wapepelezi wa Aina ya bongo zozo cos hatuna Siri wa Sera tishio kwa wazungu wanatujua nje ndani na tunajisasambua wenyewe tukienda kuomba vijipesa
 
Very possible, na waingereza wana historia ya kufanya ashushu wa aina hii. Kuna bwana mmoja shushushu wa kingereza aliitwa T.E Lawrence, maarufu kama Lawrence of Arabia. Alijipenyeza kwa waarabu na kusababisha athari kubwa ndani ya Saudi Arabia ambayo ambayo inaendelea ndani ya nchi hiyo. Lakini pia inaweza kuwa ni mapenzi tuu, kazi ya vyombo vya kiintelijensia sasa hiyo na pengine wameshajiridhisha kuwa hana madhara.
 
Watu wanauawa kama nzi halafu unasema mna watu wa usalama!! Usalama wenu unajua kuwakamata wapinzani tu lakini hao wengine hamuwawezi!! Madawa ya kulevya yamerudi mtaani na watu wa usalama wapo tu wamevaa miwani myeusi!!!
Duh!
 
Yani sisi kwa swala la usalama ni weupe sana ... narudia tena siamin kama huyu mtu mambo yote haya anafanya bure inamana yeye ni mzalendo kushinda sisi?
Inawezekana, wale jamaa wakitaka kufanya ushushushu watatumia watu walio undercover sio bongo zozo wa kwenye mipira anayeonekana waziwazi !!! Tena ni mzungu !! Labda ushushushu wa sarafu za mjerumani za simba mbili na mnazi !!
 
Ushamba ukizidi ni upumbavu, kila mwenye rangi nyeupe ni mpelelezi, anatishia usalama!!! Ila weusi wanapochaguliwa huko au kuishi mabara mengine ni sawa!!! Kwetu weupe ni watalii na wenye viwanda, mabalozi au waje kutukopesha ombaomba, hii ni dunia yetu sote.
 
Inawezekana, wale jamaa wakitaka kufanya ushushushu watatumia watu walio undercover sio bongo zozo wa kwenye mipira anayeonekana waziwazi !!! Tena ni mzungu !! Labda ushushushu wa sarafu za mjerumani za simba mbili na mnazi !!
Wewe umeongea point Sasa bongo zozo kwenda ikulu ndio tatizo?upelelezi gani huo?kweli nimeamini watanzania wengi tunaupeo mdogo wa kufikiri.
Bongo zozo ni mtumia fursa na inchi yetu hii no rahisi kuwa maarufu kwa kujichetua na kujitoa FAHAMU na yeye ndio ametembelea upepo huo na amefanikiwa ni Kama piere tu.
 
Watu weusi tuna shida sana,

Sisi tukienda nchi zao tunataka kupenya kwenye fursa ila wao wakija kwetu hamtaki wapenye kwenye fursa!


Mtu mweusi ndio kiumbe mnafiki na mwenye rho mbaya kwenye uso wa dunia
 
Watu weusi tuna shida sana,

Sisi tukienda nchi zao tunataka kupenya kwenye fursa ila wao wakija kwetu hamtaki wapenye kwenye fursa!


Mtu mweusi ndio kiumbe mnafiki na mwenye rho mbaya kwenye uso wa dunia
Duh ! Tuna ile kitu inaitwa " Inferiority complex " hatujiamini !!
 
Au na yeye Ni mtanzania mzalendo kwenye asili ya kizungu? Mi naona Kuna Jambo kubwa nyuma ya huyu mtu.
As long anasifia sisiemu hawaini shida Sasa atokee mwamba mwengine iwe kinyume utaijua kila idara ya jamuhuri ya stanza
 
Kisha fika eneo gani nyeti?
Maeneo mengi tu ya huko amefika kwenye museum na maeneo kibao. Ila yote kwa yote bongo zozo ni sawa tu na wazungu Koko wengine japo hofu yako, ni sahihi tu. Hata sisi tungejifunza ujasusi wa hivyo tungekuwa mbali, Leo kununu gari zambia bei rahisi wakati yanapita bandari na Boda za kwetu. Kuna mahali tumekwama
 
Back
Top Bottom