Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Kama huna nauli niambie nikutumie uende hadi Tarime ukajionee mambo niliyo yafanya!

Nakutumia nauli ya Ndege (Air Tanzania au Precision ) unatua Mwanza then unapanda Zakaria au Kisire hadi Tarime kisha unaelekea Rebu ukajionee nilichofanya!
Kwanin unakwenda kujenga kijijn mkuu kwani usijenge property zako hapo mwnazaa tarime vijini hakna hell hakuna wapangaji hkn mzunguko mkubwa wa pesa
 
Swali la kizushi: Waliosaini mkataba wa DP World, IPTL, OBC, kuhamisha Wamasai kule Ngorongoro n.k ni wazee au vijana?
 
A
And you're suffering from stupidity!
 
Unatoka kumkimbiza Harmonize unaanza kupiga mzimga pesa ya kula! Ha ha ha! Very stupid!
 
Mkuu unaijua Tarime kweli au unaisikia?
Kweli sijawai fika naambiwa sirari ndio habr ya mjini Seema nn Kuna ndugu yangu kaamiaga huko kutoka Arusha Yuko musoma Mara amepata pesa Sana tu

Ila nilifikiri labda umeenda kujenga nyumba kijijni kma umejenga mjini Safi hapo
 
Kweli sijawai fika naambiwa sirari ndio habr ya mjini Seema nn Kuna ndugu yangu kaamiaga huko kutoka Arusha Yuko musoma Mara amepata pesa Sana tu

Ila nilifikiri labda umeenda kujenga nyumba kijijni kma umejenga mjini Safi hapo


Mkuu Tarime ni Ulaya ya Tanzania!

Welcome Europe of Tanzania!
 
Kizazi cha sahvi cha wakata mauno
Hawa m,muda wote wanafikiria kukata mauno tu

Ova
 
Unafuatilia mziki wa USA, ? Au S.Korea .? Hicho kilichofanyika hapo ni kawaida sanaaa, sema tu wivu wenu wazee unawatesa
WIvu? You're not serious! Unatoka kumpokea Harmonize unarudi kuvizia ugali wa huyo Mzee wako ambaye unamkejeli!!
 
Mambo ya vijana kuhoji yalishakweshaga zamani sana,. Kwa sasa Vijana wala hata hawana habari na hayo mambo ya sijui ripoti za nini hakuna hata watu wanafatilia. Wana mambo mengi ya kufatilia kama umbea na udaku mitandaoni
 
Mambo ya vijana kuhoji yalishakweshaga zamani sana,. Kwa sasa Vijana wala hata hawana habari na hayo mambo ya sijui ripoti za nini hakuna hata watu wanafatilia. Wana mambo mengi ya kufatilia kama umbea na udaku mitandaoni

Hii ni hatari sana mkuu
 
Mwanamke wa Kikurya amekuacha mbali sana kiakili,kifiziki na hata kimentaliti!
Haina shida akiniacha
Nawaombea heri vijana wote wanaompambania taifa letu.

Mimi tayari nina vilema,
Siwezi kwenda kuongeza vilema vingine ili hali nilivyonavyo bado havijapona.
 
Kwa hIYO ukikuta baba yako amejenga nyumba na hajaweka mlango unaacha hivyo hivyo na kuendelea kumlaumu? Use your brain properly!
 
wewe umetumia akili kiwango gani, na unajuaje kama una akili?
 
Haina shida akiniacha
Nawaombea heri vijana wote wanaompambania taifa letu.

Mimi tayari nina vilema,
Siwezi kwenda kuongeza vilema vingine ili hali nilivyonavyo bado havijapona.

Pole sana baby!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…