Historia imeandikwa. Yanga imekuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki na Kati kutinga hatua ya Nusu Fainali CAF

Historia imeandikwa. Yanga imekuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki na Kati kutinga hatua ya Nusu Fainali CAF

Uongo, huu ni Uongo bwana, kombe la shirikisho limeanzishwa 2004.. kombe alilocheza Simba ni CAF Cup ambayo ikaunganishwa na African cup, winners cup ndo ikapatikana CAF confederation cup mwaka 2004, siyo hajawahi kucheza semi ya confederation
Hapo kilicho badilishwa ni mfumo na jina tu ila mashindano ni yale yale.
 
[emoji837]CAF walikuwa na mashindano matatu CAF CUP,CAFCL na CAF CUP WINNERS[emoji3578]

[emoji837]CAFCL - iliwahusisha mabingwa wa ligi katika nchi husika[emoji3578]

1974 SIMBA SC alifika nusu fainal ya CAFCL /LIGI YA MABINGWA kwa sasa,mwanzoni iliitwa KLABU BINGWA AFRIKA [emoji3578]

[emoji837]CAF CUP - ilihusisha timu zote zilizoshika nafasi ya pili katika ligi za nchi husika.

1993 SIMBA SC ilifika fainali ya CAF CUP[emoji3578]

[emoji837]CAF CUP Winner's - ilihusisha timu zote zilizokuwa washindi wa kombe la FA la nchi husika.[emoji3578]

[emoji837]Kombe la shirikisho lilianzishwa baada ya kuvunjwa kwa makombe haya mawili CAF CUP na CAF winners na kuundwa muundo mpya unaotumika sasa.[emoji3578]


[emoji117]TUKUBALI TU KUWA SIMBA IMECHEZA HATUA ZA JUU ZAIDI YA MASHINDANO HAYA YA CAF KULIKO YANGA,USHABIKI USITUFUMBE MACHO NA KUTUTOA AKILI,TUWE HALISI.

HATUPO KWENYE KUBISHANA BALI KUELEWESHANA ILI TUSIPOTOSHE HISTORIA KWA VIZAZI VIJAVYO.[emoji3578]


NB: KAMA UMEAMUA KUKAZA FUVU HIZO NI SHIDA ZAKO,MIMI NISHAKUPA ELIMU KISTAARABU ITAKAYOKUSAIDIA WEWE NA WANAOKUFUATA[emoji3578]
Roborobo baada ya mwananchi kupiga hatua mnaanza kutafuta vijirekodi, mtatafuta hadi makocha na wafungaji miaka hiyo.

Yanga imewafanya mjue historia yenu vyema, safi sana.
 
[emoji837]CAF walikuwa na mashindano matatu CAF CUP,CAFCL na CAF CUP WINNERS[emoji3578]

[emoji837]CAFCL - iliwahusisha mabingwa wa ligi katika nchi husika[emoji3578]

1974 SIMBA SC alifika nusu fainal ya CAFCL /LIGI YA MABINGWA kwa sasa,mwanzoni iliitwa KLABU BINGWA AFRIKA [emoji3578]

[emoji837]CAF CUP - ilihusisha timu zote zilizoshika nafasi ya pili katika ligi za nchi husika.

1993 SIMBA SC ilifika fainali ya CAF CUP[emoji3578]

[emoji837]CAF CUP Winner's - ilihusisha timu zote zilizokuwa washindi wa kombe la FA la nchi husika.[emoji3578]

[emoji837]Kombe la shirikisho lilianzishwa baada ya kuvunjwa kwa makombe haya mawili CAF CUP na CAF winners na kuundwa muundo mpya unaotumika sasa.[emoji3578]


[emoji117]TUKUBALI TU KUWA SIMBA IMECHEZA HATUA ZA JUU ZAIDI YA MASHINDANO HAYA YA CAF KULIKO YANGA,USHABIKI USITUFUMBE MACHO NA KUTUTOA AKILI,TUWE HALISI.

HATUPO KWENYE KUBISHANA BALI KUELEWESHANA ILI TUSIPOTOSHE HISTORIA KWA VIZAZI VIJAVYO.[emoji3578]


NB: KAMA UMEAMUA KUKAZA FUVU HIZO NI SHIDA ZAKO,MIMI NISHAKUPA ELIMU KISTAARABU ITAKAYOKUSAIDIA WEWE NA WANAOKUFUATA[emoji3578]
Swali ni kwamba kwa kipindi hiko kombe la shirikisho lilikuwa ni lipi kati ya CAF cup na Africa cup winner's cup. Ndio kwenye swali la msingi
 
Logic ni ndogo tu kama 1993 kombe la shirikisho lilichukuliwa na Stella kwanini kwenye CAF super cup hakucheza Stella vs Zamalek? Badala yake caf super cup ilichezwa baina ya Al Ahly (bingwa wa Africa cup winner's cup) VS Zamalek ( bingwa wa Africa cup of champions club)
Mpaka hapa washaelewa, ngoja watafute kajihistoria kengine ka kuzugia.
 
Kwani kipindi hicho ili ushiriki mashindano ambayo simba alifika fainal ulitakiwa uwe na sifa gani? Tuanzie hapo kwanza.
Shughulisha halmashauri ya kichwa chako kwanza ndio urudi... Mlianza Winner's Cup finalists...mmeelekezwa mkagoma, nimekuta mashindano yote na mabingwa wao ..unasema ni mashindano yaleyale... Kajisomee Tena ndio uje ..
 
Hapa tupo kwenye mashindano ya kombe la CAF confederation cup ambapo Yanga ndio timu pekee toka Africa Mashariki kufika nusu fainali. Wewe kama hukuwahi kufika nusu fainali kwenye michuano hii usiangaike. Hatuzungumzii nusu fainali ili mradi nusu fainali hapa. Tunaangalia record ya hii michuano anayoshiriki Yanga
Ubarikiwe sana aise....
 
Kwa mara ya kwanza tangu soka lianze kuchezwa nchini Tanzania, Club yenye makazi yake Jangwani, Dar es salaam imefikia hatua ya nusi fainali katika michuano mikubwa barani Afrika.Hii ni baada ya kuifurumisha miamba ya soka kutoka nchini Nigeria kwa magoli 2.

Ikumbukwe kuwa hakuna timu yoyote imeshawahi kufuzu hatua hii katika michuano hii nchini na Afrika mashariki kiujumla.Hakika hii ni hatua kubwa.

Hongera kwa Young Africans SC
Hongera kwa viongozi wa soka Tanzania
Hongera watanzania wote kwa ujumla.
Simba ilitinga nusu 1974 klabu bingwa.

Kwan kombe likibadilishwa Jina historia na rekodi zinafutwa?

Al Ahly amechukua klabu bingwa Mara 10 hii Ni pamoja na makombe yote ya nyuma miaka ya sabini.

Tuache ushamba!
 
Swali ni kwamba kwa kipindi hiko kombe la shirikisho lilikuwa ni lipi kati ya CAF cup na Africa cup winner's cup. Ndio kwenye swali la msingi
Mbona vichwa vyenu ni vigumu, kombe la shirikiaho limeanzishwa 2004 baada ya kuunganisha hayo mashindano mawili.
Kwa mashindano ya kipindi hicho na tukilinganisha na sasa, kombe la shirikisho lilikua hilo African cup winners cup na sio hilo la Abiola.
 
 
Mbona vichwa vyenu ni vigumu, kombe la shirikiaho limeanzishwa 2004 baada ya kuunganisha hayo mashindano mawili.
Kwa mashindano ya kipindi hicho na tukilinganisha na sasa, kombe la shirikisho lilikua hilo African cup winners cup na sio hilo la Abiola.
Mkuu ungeanza kwanza kwa kufuatilia mazungumzo yangu tokea juu kabla ya kuingilia katikati.
 
Ghafla, makolo wameanza kupenda historia. Na wanaieleza kwa hasira kweli kweli.
 
Hilo Kombe zamani lilijulikana kama Kombe la washindi barani Africa. Simba alicheza fainali na Stella Abdjan pale uwanja wa uhuru na huko Abdjan mwaka 2003. Hivyo hakuna jipya.
Mwezi mmoja nyuma au mwaka mmoja kusema hivo mlikua wapi?
Watoto wako wakiiga hizi akili wamepotea
 
SIMBA TUNACHEZA SUPER CUP KOMBE LA VILABU 8 VIKUBWA.
MFUKONI TUSHAPEWA BILIONI4.
KUFIKA ROBO BILIONI 1 NA MILIONI MIA TANO..500

Yanga hapo Ina Milioni mia nane

SIMBA IMECHEZA NUSU FAINALI CAFCL 1974.

SIMBA IMECHEZA FAINALI KOMBE LA WASHINDI 1993.

HIVYO BASI MSILISHWE MATANGO POLI NA HAJI MANARA

Ndio maana anasema wenye akili ni 2.
Simba walicheza fainali kombe la Caf mwaka 1993 na wala sio kombe la washindi hivyo acha upotoshaji tafadhali.
 
Swali ni kwamba kwa kipindi hiko kombe la shirikisho lilikuwa ni lipi kati ya CAF cup na Africa cup winner's cup. Ndio kwenye swali la msingi
Hili swali halina maana,maana umeahaambiwa yamevunjwa makombe haya na kuasisiwa kombe la shirikisho wewe unakaza misuli ya kichwa
 
Hapa tupo kwenye mashindano ya kombe la CAF confederation cup ambapo Yanga ndio timu pekee toka Africa Mashariki kufika nusu fainali. Wewe kama hukuwahi kufika nusu fainali kwenye michuano hii usiangaike. Hatuzungumzii nusu fainali ili mradi nusu fainali hapa. Tunaangalia record ya hii michuano anayoshiriki Yanga
Sasa aliyefika nusu fainali ya CAFCL na CAFCC yupi yupo juu boss????
 
Back
Top Bottom