Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #501
Tayari chief[HASHTAG]#Thebold[/HASHTAG] sehem ya tano ikija naomba n tag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari chief[HASHTAG]#Thebold[/HASHTAG] sehem ya tano ikija naomba n tag
Pamoja chiefAhsante mkuu kwa madini..
Endelea kuota!Nimeota kagame atakuja kuwa raisi wa afrika mashariki nzima.
Wamehangaika haswaa..Ila Kagame na Museven waache tu wakomae na madaraka wame fight sana kufika hapo walipo...haikua rahisi!
Hahahah utani wa ngumi huu chiefNimeota kagame atakuja kuwa raisi wa afrika mashariki nzima.
Karibu sana chief... pamojaThe bold nakufatilia Mkuu
Kibinaadamu[emoji26]kuna kaukweli fulaniIla Kagame na Museven waache tu wakomae na madaraka wame fight sana kufika hapo walipo...haikua rahisi!
Inshallah chiefinasikitisha sana,
leta na ile ya mifereji ya damu huko urusi chini ya uongozi wa alexander kerensky
Bila shaka chief... nitajitahidiAhsante The Bold, tunaomba usikae Sana kabla ya kuleta sehemu inayofuatia