Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Darasa limeshamiri madini adimu. Ahsante sana kamkubwa.
 
hiyo kasumba haijafa japo comrade kagame amejitahidi kujenga usawa kiasi japo kwa sasa watutsi ndio wasomi wazuri mno kuliko wahutu na wako kila sehemu.
 
kuanzia rusumo , kirehe, nyakarambi, kigali hadi ruhengeri na nyakarambi tutsi ina shine.
 
inasikitisha sana,
leta na ile ya mifereji ya damu huko urusi chini ya uongozi wa alexander kerensky
 
Back
Top Bottom