Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Mzee Said, ulipoweka mjadala hapa ulitaraji uchambuliwe. Wewe ni mwandishi na unajua kanuni za uandishi ikiwa ni pamoja na kutoa haki kwa pande zote kusikika. Unapoandika jambo hatima yake ni jamii kulizunguzmzia kwa njia zote. Kuna dalili mjadala unakuwa mzito na unatafuta mahali pa kutokea kama ulivyofanya katika kitabu chako cha Nyakati za Abdul Sykes;

1. Unaposema watu wafanye research ili waje na zao unataka kila mtu afaye, hiyo ni vurugu na sio uandishi. Unataka watu wasihoji bali waendelee kukupigia makofi, hiyo tunaita 'intellectual abuse'.

Sisi hatuna tatizo na uliyoandika tunahoji tusipoelewa, tunachangia unapopotosha na tunakemea unapochonganisha.
Mwandishi makini hupenda sana kufafanunua dhana yake kwa wasomaji na si kuwaambia waende kuandika research zao.
Wale mnaoimba wimbo huu wa nendeni mkaandike zenu mjue huo si uandishi makini wala usomaji makini.

2. Unasema umetukanwa inashangaza. Haa!! Mzee said, soma hapa chini kwanza
Nguruvi3;2625663]Ningekuomba Mohamed ukemee lugha zisizo na stara kama za FaizaFox na Topical. Unapowashukuru kwa lugha chafu! mhh
Ukanijibu hivi
Mohamed Said;2637086]Sasa ukileta hoja ya Wapagani mimi nakuonea huruma kwa kuwanapata picha halisi najadiliana na mtu wa uwezo gani nami nakuchukuliahivyo hivyo
Mkuki kwa Nguruwe.......................

Naomba tuweke kumbu kumbu sawa kwasababu kuna watu bado wanaamini Mohamed anaandika historia ya Tanganyika, na tumwache aandike.
Mohame anasema hivi;
Mohamed Said;2628296]Kinachofanyika ni kuwaeleza Waislam dhulma dhidi yao katika nchi yetu.Dhulma kama haijulikani ipo basi huwa dhulma haipo.Watu ukitaka wapiganie haki zao kwanza ni lazima uwaeleweshe hizo haki zao na nani anaewadhulumu.Tunachokifanya sisi ni kwanza kuwaelimisha Waislam kuwa wanadhulumiwana pili kumfahamisha dhalim aache kudhululumu
Bado wapo wanaodhani Mohamed kafanya research, Mohamed kwa maneno yake
Tofauti kubwa kati yangu na wewe ni kuwa mimi nahadithia mambo kutoka ulimi wa wazee wangu
Amekiri kuwa yupo mtu kutoka Cambridge anakwenda kumhoji Mama Maria Nyerere kwa sababu Mohamed amekuwa reference. Sasa mtafiti hapa ni nani yule anayesoma habari na kwenda kwa mhusika au yule aliyesimuliwa.

Mohamed kama amefanya utafiti wa kutosha basi angeufahamisha umma ukweli kuhusu AMNUT, namba za Mitihani n.k. Hakwenda wizara ya elimu wala hakuwahoji viongozi wa AMNUT ambao wengine wapo hai hadi leo.

Mtafiti hawezi kuandika kibao cha Mshume Kiyate hakipo kwa sababu ya uislam, alitakiwa athibitishe kwa mahojiano na wahusika kama ni wilaya, mkoa au jiji na atuwekee majibu na si dhana.

Muhimu zaidi ni kuwa unapokuwa na maandishi yaliyojaa neno 'Inasemekana' hapo kuna utafiti gani?
Hivi kwanini Mohamed na vijana wake watuambie tukafanye research na si kujibu hoja zitokanzo na 'research' yake?

Mnyambala kaweka idadi ya shule mkoa wa Mbeya, mbona Mohamed hajibu. Mag3 kaweka jitihada za akina mama wa Kipare kisiasa kwanini hajibu ikiwa ndiye anaandika historia ya Tanganyika kwa usahihi.

Joka kuu kaweka majina ya akina Kisenge, mbona Mohamed hakanushi? Ngongo kauliza nini role ya AMNUT na kwanini Waislam hawakuiunga mkono, kwanini hajibu? MM anauliza mbona hajawahoji Mama Maria na Mwinyi, mbona hajibu ni taasisi gani inawakilisha waislam, Nguruvi kauliza Mohamed prove kama hakuna au hakukuwepo Wapagan na Athesits Tanganyika, hajibu anatoa matusi n.k n.k.

Haya yote yamo katika vitabu na makala zake, sasa anapotuambia tukaandike historia, ni aina gani ya uandishi isiyojibu hoja zitokanazo! Kinachoshangaza mwandishi Mohamed anatuaminisha
hayaNdiyo maana hadi leo wamekataa hata historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika isisomeshwe mashuleni
Kaandika historia na ku conclude kuwa ni ya kweli halafu anataka tukafanye research! na hataki kujibu yatokananyo na 'ukweli' wake. Paradox!
Mohamed simama ujibu hoja na si kukwepa kwa hoja za 'nendeni mkafanye research'.

Mohamed anafanya vitu vifuatavyo;
1. Haandiki historia wala harekebishi historia, anaandika historia ya Waislam na harakati za ukombozi wa Tanganyika. Ni jambo jema kabisa, lakini maana yake ni kuwaambia waislam kuwa wao ndio wamepigania uhuru wa nchi hii na ni bora zaidi kuliko raia wengine(ushahidi upo).
Katika kufanya hivyo anatumbukiza hoja za kisiasa kama dhulma za elimu na afya, MoU n.k ili kuwajaza watu hasira.

2. Ili kufanikisha lengo hilo anajaribu kupambanisha 'simba na Yanga' na ndio maana amekana uwepo wa Wapagan na Atheist(ushahidi ninao). Lakini hawezi kuzusha tuhuma tu bila kuunganisha dot, na mtu wa kuunganisha ni Nyerere kwa kumhusisha na kifo cha EAMWS kuwatosa wazee wake n.k. na hata mambo yaliyo nje ya hoja anazozisema ameyaingiza ili kukidhi matakwa ya chuki pevu
Mohamed
Said;2617611]"Haiyumkiniki mali ya taifa akapewa mtu hapa nakusudiavielelezo vilivyokuwa katika makumbusho akapewa mtubinafsi.Anapewa yeye kama nani? Kama taasisi au kama nani
Hatujawahi kumsikia Mohamed akikemea ubadhirifu, wizi na ufujaji wa mabilioni ya fedha ambazo zingejenga mohositali kwa wananchi wote.
Hapa ndipo tunajiuliza kulikoni na Nyerere na zawadi kama kinyago au ubao wa tangazo na sio uhalifu unaoendelea sasa?

3. Kwanini dot zinaungwa kwa Nyerere! jibu ni kumhusisha na walengwa.
Mara zote Mohamed hamhusishi Nyerere na Uzanaki akijua fika kuwa nyimbo hiyo ina 'timu za makabila 120' na si rahisi kuchezesha timu za 'simba na yanga'. Hapo ndipo anapohusisha Nyerere na dini yake
Unadhani kuwa jinsi walivyotendewa Wakristo basi na Waislam watatendewa hivyo hivyo kwa uadilifu ule ule.Hofu ya serikali yetu ni kukua kwa Uislam huo ni uoga ulio ndani ya kanisa toka azal.Ndani ya serikali ya Tanzania kuna nguvu "Christian Lobby

4. Ikifika hapo neno kanisa limeshaingia na linalofuata ni mfumo kristo n.k.

5. Ili kupata uhalali ndipo tunapata hoja zake za mitihani,MoU, chuo kikuu cha IOC, idadi ya wabunge, viongozi serikalini n.k.
Hata kama hakuna ukweli inarudiwa mara nyingi na inaonekana ina ukweli kwasababu tayari keshajenga mazingira 1-4 hapo juu.

Mtafiti Mohamed hajaonyesha wapi udhaifu wa jamii yake ulipo, akituaminisha kuwa jamii hiyo ni kamilifu.
Haelezi taasisi lukuki za waislam zinafanya nini na kwa manufaa ya nani, anachokifanya ni kuunganisha BAKWATA, Nyerere, EAMWS, Roman Catholic ili apate jibu analotaraji.
Huo si utafiti labda kama kuna 'new methodology'. Utafiti siku zote hufuata kanuni kaMa hypothesi, analysis, conclusion.

Bahati mbaya tafiti za Mohamed zinaanza na conclusion halafu vitu vingine vinafuata. Ufumbuzi wa matatizo anayoorodhesha Mohamed haupo katika historia, upo katika ukweli kwa kuangalia historia na kujiuliza wapi watu wamejikwaa na sio wapi wameangukia.

Jamii yetu inahitaji maendeleo kila sekta,vikundi mbali mbali , jamii na taifa kwa ujumla. Hatuwezi kufanikiwa kwa kuligawa taifa kwa misingi ya udini au ukabila, ndio maana naomba sote tusimame pamoja na kumwambia Mohamed, NO! Usivuruge taifa.
 
Sijui alikuambia nani hayo madudu? Na itasikitisha kama uliamini hayo bila hata kujiuliza. Aliyechukia wazungu angawaweka kwenye nafasi za u waziri kwenye serikai yake? Hivi hujajiuliza kwanini Wazungu wengi hawakukimbia Tanzania baada ya uhuru kwa kuhofia kubaguliwa na watu weusi walio wengi? Sasa leo unaambiwa Nyerere alichukia Uislamu na Waislamu unakubali tu bila kujiuliza... ?

Nyerere alipokuwa anazungumzia Ubepari alikuwa anazungumzia Wazungu. Alipewa misaada ya chakula na Wazungu kwa ajili ya WTZ alikataa, lakini anashindwa kusema kwa nini yeye alipochukuliwa kama ELITE wa TZ kwenda kusoma kwa nini alikubali?

Nyerere ni MYTH kubwa ya Historia ya TZ.

Sasa hivi kinachotakiwa kufanyika ni kutoa misaada ya mikubwa ili kuwezesha mpango maalum wa TEXT book ambazo zitafundishwa ktk shule nyingi za TZ, tukianzia na shule za Kiislamu kuelezea historia ambayo inafichwa na serikali ya TZ.

Nyinyi mnaondelea kumshabikia Nyerere endeleeni, na sisi tunaendelea na mpango wetu wa kuandika historia ya kweli, inshaAllah.
 
Nyerere alipokuwa anazungumzia Ubepari alikuwa anazungumzia Wazungu. Alipewa misaada ya chakula na Wazungu kwa ajili ya WTZ alikataa, lakini anashindwa kusema kwa nini yeye alipochukuliwa kama ELITE wa TZ kwenda kusoma kwa nini alikubali?

Nyerere ni MYTH kubwa ya Historia ya TZ.

Sasa hivi kinachotakiwa kufanyika ni kutoa misaada ya mikubwa ili kuwezesha mpango maalum wa TEXT book ambazo zitafundishwa ktk shule nyingi za TZ, tukianzia na shule za Kiislamu kuelezea historia ambayo inafichwa na serikali ya TZ.

Nyinyi mnaondelea kumshabikia Nyerere endeleeni, na sisi tunaendelea na mpango wetu wa kuandika historia ya kweli, inshaAllah.

Mkuu kumbe na weweuna kahistoria ka Nyerere kalikofichwa?????? Duh! bongo kweli tambarare!!!!!!
 
Kuhusu Research TZ especially kuhusu historia ya TZ, na Nyerere ni big SCAM.

Chukulia mfano Mwkjj, Nguruvi3, au mwandishi wa hii topic. Data zao zote zimebase kutoka ktk serikali ya TZ. Hii ni moja ya tatizo la Research especially ktk historia ya TZ.
Sasa kama unataka kujua ukweli wa historia kwa nini mnacite source za serikali ya TZ, na maneno ya Nyerere pekee na vibaraka wake pekee?

Vitabu vingi vya historia vimeandikwa na Pro-Nyerere, au CCM.

Mohamed Said anaandika historia ya kweli kwa sababu anacite ktk soucre ambazo ni za kweli kutoka kwa wazee ambao aliwahi kuwahoji.

Chukulia mfano, historia ya Marekani ktk Civil War. Hii historia imeandikwa kwa kubase na source nyingi kutoka kwa watu binafsi na siyo direct kutoka kwa Abraham Lincoln. Na ndiyo maana hukuti North au South kujisifia ktk hivi kwa sababu source walizotumia zimebase ktk pande zote mbili North na South.

Kushindwa kuelewa au kuheshimu mchango wa Waislamu ktk historia ya TZ ni kuonesha UJINGA dhahiri. Kwa sababu, hata ktk dunia ya leo, ni Waislamu wengi ambao ndiyo wanaochallenge power za madictator ambao wengi wao wanasupportiwa na West kuwakandamiza wale wanyonge ktk third world especially Muslims.
 
Kuhusu Research TZ especially kuhusu historia ya TZ, na Nyerere ni big SCAM.
Chukulia mfano Mwkjj, Nguruvi3, au mwandishi wa hii topic. Data zao zote zimebase kutoka ktk serikali ya TZ. Hii ni moja ya tatizo la Research especially ktk historia ya TZ.Sasa kama unataka kujua ukweli wa historia kwa nini mnacite source za serikali ya TZ, na maneno ya Nyerere pekee na vibaraka wake pekee?

Vitabu vingi vya historia vimeandikwa na Pro-Nyerere, au CCM.
Mohamed Said anaandika historia ya kweli kwa sababu anacite ktk soucre ambazo ni za kweli kutoka kwa wazee ambao aliwahi kuwahoji.
Kushindwa kuelewa au kuheshimu mchango wa Waislamu ktk historia ya TZ ni kuonesha UJINGA dhahiri. Kwa sababu, hata ktk dunia ya leo, ni Waislamu wengi ambao ndiyo wanaochallenge power za madictator ambao wengi wao wanasupportiwa na West kuwakandamiza wale wanyonge ktk third world especially Muslims.
Nikuulize Mwandishi wa topic ni Mohamed Said, sijui unahoji data zake!
Kuna vitu viwili unachanganya, 'facts' na research. Ukisema Tanzania ina watu milioni 40 hiyo ni fact inayotokana na sensa kama lilifanyika.
Ukisema kwanini Mbeya, Kilimanjaro na Kagera zimefanikiwa kiasi katika elimu hapo unahoji na jibu lake litatokana na research.

Lakini pia watu hawachukui data kutoka serikalini tu kuna vyanzo vingine.

Hivi pro- Nyerere ni watu wa aina gani? ni sawa na wale pro-TANU naomba ufafanuzi tafadhali, hapo sijaelewa.

Unaposema pro-CCM unashangaza maana miaka 10 iliyopita CCM ilikuwa dhalimu, ghafla hilo hatulisikii. Je, unakana msiammo wa Mohamed na jamii ya kiislam kwa msimamo wao wa leo.

Mohamed Said anaandika historia ya ukweli ipi? Yeye amesema anaandika historia ya uislam Tanganyika kwa maneno yake mwenyewe.
Kama ni hiyo ya ukweli basi ni ukweli wa historia ya kiislam si Tanganyika. Amekana kwanini mnamwekea maneno mdomoni. Sio haki hivyo.

Oh, ndugu yangu kila mtu anaheshimu sana mchango wa Waislam. Kinachojadiliwa hapa ni kuwa ni wao peke yao au walisadiana na jamii ya imani au zisizo na imani nyingine? Ndio maana watu wanakuja na michango yao. Soma post za watu utaelewa kinachoongelewa.
 
Nikuulize Mwandishi wa topic ni Mohamed Said, sijui unahoji data zake!
Kuna vitu viwili unachanganya, 'facts' na research. Ukisema Tanzania ina watu milioni 40 hiyo ni fact inayotokana na sensa kama lilifanyika.
Ukisema kwanini Mbeya, Kilimanjaro na Kagera zimefanikiwa kiasi katika elimu hapo unahoji na jibu lake litatokana na research.

Lakini pia watu hawachukui data kutoka serikalini tu kuna vyanzo vingine.

Hivi pro- Nyerere ni watu wa aina gani? ni sawa na wale pro-TANU naomba ufafanuzi tafadhali, hapo sijaelewa.

Unaposema pro-CCM unashangaza maana miaka 10 iliyopita CCM ilikuwa dhalimu, ghafla hilo hatulisikii. Je, unakana msiammo wa Mohamed na jamii ya kiislam kwa msimamo wao wa leo.

Mohamed Said anaandika historia ya ukweli ipi? Yeye amesema anaandika historia ya uislam Tanganyika kwa maneno yake mwenyewe.
Kama ni hiyo ya ukweli basi ni ukweli wa historia ya kiislam si Tanganyika. Amekana kwanini mnamwekea maneno mdomoni. Sio haki hivyo.

Oh, ndugu yangu kila mtu anaheshimu sana mchango wa Waislam. Kianchojadiliwa hapa ni kuwa ni wao peke yao au walisadiana na jamii ya imani au zisizo na imani nyingine? Ndio maana watu wanakuja na micango yao. Soma post za watu utaelewa kinachoongelewa.

Nooo. Mwandishi wa topic hii ni Mag3. C'mon, let's be honest
 
Nikuulize Mwandishi wa topic ni Mohamed Said, sijui unahoji data zake!
Kuna vitu viwili unachanganya,'facts' na research. Ukisema Tanzania ina watu milioni 40 hiyo ni fact inayotokana na sensa kama lilifanyika.
Ukisema kwanini Mbeya, Kilimanjaro na Kagera zimefanikiwa kiasi katika elimu hapo unahoji na jibu lake litatokana na research.

Lakini pia watu hawachukui data kutoka serikalini tu kuna vyanzo vingine.

Hivi pro- Nyerere ni watu wa aina gani? ni sawa na wale pro-TANU naomba ufafanuzi tafadhali, hapo sijaelewa.

Unaposema pro-CCM unashangaza maana miaka 10 iliyopita CCM ilikuwa dhalimu, ghafla hilo hatulisikii. Je, unakana msiammo wa Mohamed na jamii ya kiislam kwa msimamo wao wa leo.

Mohamed Said anaandika historia ya ukweli ipi? Yeye amesema anaandika historia ya uislam Tanganyika kwa maneno yake mwenyewe.
Kama ni hiyo ya ukweli basi ni ukweli wa historia ya kiislam si Tanganyika. Amekana kwanini mnamwekea maneno mdomoni. Sio haki hivyo.

Oh, ndugu yangu kila mtu anaheshimu sana mchango wa Waislam. Kianchojadiliwa hapa ni kuwa ni wao peke yao au walisadiana na jamii ya imani au zisizo na imani nyingine? Ndio maana watu wanakuja na micango yao. Soma post za watu utaelewa kinachoongelewa.

Duuuh!! Facts na research!!

Kwanza sensa siyo fact, ni estimate inayobase na raw data. TZ hatuna fact; kwa sababu hatuna true information kwa sababu hatuna IT. Facts unahitaji kuwa na IT in order kuwa na true information. Unaposema TZ kuna watu Million 40 ni estimate na SIYO facts. Population haina facts bali ina estimate.

Research ina base na credible sources ambazo walengwa wanazitumia kwa ajili ya kusatisfy their arguments. Wewe na wenzako, pamoja na Mwkjj mnatumia sources ambazo zina pro-Nyerere kusatisfy argument mnazoziweka.

Kama mngekuwa mnatumia sources ambazo hazina base ya upande mmoja, basi msingekuwa na ubishi na hoja ambazo MS anajaribu kuelezea. Sources za MS zipo credible zaidi kwa sababu anatumia information direct kutoka kwa wale walioshiriki ktk Uhuru.

Sources zenu, zipo upande mmoja kwa sababu mnatumia data kutoka serikalini, au Pro-Nyerere ambazo tayari zipo FILTER ktk kuelezea ukweli.
 
Ushasema Askari. Nyerere alikuwa askari alivyotoka Butiama?

sasa kumbe kuvaa kaptula haikuwa tatizo enzi hizo? Au kuvaa kaptula ilikuwa ni jambo la fedhedha? Je unajua hao wazee wengine wanaotajwa nao walikuwa wanavaa kaptula hizo hizo, watumishi wa umma wengine walivaa kaptula na watu walikuwa wanashinda na kaptula iliyopigwa pasi vizuri tu? Au unaamini kabisa kuwa Nyerere halikuwa hajui kuvaa suruali hadi alipooneshwa na "wazee wa Dar" kana kwamba alipokuwa anasoma huko Ulaya alikuwa anavaa kaptula!
 

Hicho ulichonibandikia, huyo ni Mag3? nilichoulizia ni credibility ya Mag3 na atueleze hapa yeye ni nani hao wazee wake anawanukuu ni kina nani? walifanya nini katika harakati za kudai madaraka / nyadhifa za kijamii / siasa wakati huo? Yeye kishaandika au hajaandika kitabu chochote? kama kaandika ni kitabu kipi? au "paper" zipi za usomi kishaandika? vyuo alivyohudhuria, makongamano au kualikwa kuongea, kutetea maandiko yake?

Kwa ufupi ni nani?

Naona mpaka sasa bado anatafuta "data" zake kwa haya maswali.

Msomi yoyote mwema, hujitambulisha au hutambulishwa na amma usomi wake, amma kazi zake, amma utu wake (kwa wamjuao). sasa msomi Mag3 sijayaona yote hayo. Mnaweza mkamsaidia mumjuwae.
 
sasa kumbe kuvaa kaptula haikuwa tatizo enzi hizo? Au kuvaa kaptula ilikuwa ni jambo la fedhedha? Je unajua hao wazee wengine wanaotajwa nao walikuwa wanavaa kaptula hizo hizo, watumishi wa umma wengine walivaa kaptula na watu walikuwa wanashinda na kaptula iliyopigwa pasi vizuri tu? Au unaamini kabisa kuwa Nyerere halikuwa hajui kuvaa suruali hadi alipooneshwa na "wazee wa Dar" kana kwamba alipokuwa anasoma huko Ulaya alikuwa anavaa kaptula!

Wanaukumbi,

Huu ukumbi una sifa ya kuwa ni wa watu wenye fikra pevu.

Mbona sasa tunaachia mioyo yetu inakamata fikra zetu t
unaingia katika kashfa?

Baba yangu alikuwa akivaa kaptula na shati jeupe na stocking
anakwenda kazini.

Hili mimi nimeshuhudia kwa jicho langu. Hicho ndicho kilikuwa
kivazi cha wasomi wakati ule.

Abdulwahid Sykes pale ofisini kwake Kariakoo Market unifrom
yake ilikuwa shati jeupe kaptula na stokings.

Tuache mambo yasiyo na tija na tujielekeze katika kuichambua
historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hii ni nafasi adhimu.

Tusiichezee.

Mohamed
 

Wanaukumbi,

Huu ukumbi una sifa ya kuwa ni wa watu wenye fikra pevu.

Mbona sasa tunaachia mioyo yetu inakamata fikra zetu t
unaingia katika kashfa?

Baba yangu alikuwa akivaa kaptula na shati jeupe na stocking
anakwenda kazini.

Hili mimi nimeshuhudia kwa jicho langu. Hicho ndicho kilikuwa
kivazi cha wasomi wakati ule.

Abdulwahid Sykes pale ofisini kwake Kariakoo Market unifrom
yake ilikuwa shati jeupe kaptula na stokings
.

Tuache mambo yasiyo na tija na tujielekeze katika kuichambua
historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hii ni nafasi adhimu.

Tusiichezee.

Mohamed

Naam Shekhe! Maana tunaambiwa mara nyingi tu kuwa Nyerere alikuwa "anavaa kaptula" na kuwa ati wakati wa Dar ndio walimfundisha "kuvaa suruali". Sasa hawa wanaosema sijui wanazungumzia Dar ya wapi maana kaptula enzi hizo haikuwa jambo la fedheha kwa watu wasomi na hata kwenye ajira mbalimbali (ninazo picha za madaktari wakiwa wamevaa kaptula). Maana kama Nyerere kuvaa kaptula ilikuwa ni aibu na fedheha na hao wazee wetu wengine kwao ilikuwa nini?

Nashukuru kwa kuweka hili suala maana hoja hii imefika wakati ife.
 
Mzee Said, ulipoweka mjadala hapa ulitaraji uchambuliwe. Wewe ni mwandishi na unajua kanuni za uandishi ikiwa ni pamoja na kutoa haki kwa pande zote kusikika. Unapoandika jambo hatima yake ni jamii kulizunguzmzia kwa njia zote. Kuna dalili mjadala unakuwa mzito na unatafuta mahali pa kutokea kama ulivyofanya katika kitabu chako cha Nyakati za Abdul Sykes;

1. Unaposema watu wafanye research ili waje na zao unataka kila mtu afaye, hiyo ni vurugu na sio uandishi. Unataka watu wasihoji bali waendelee kukupigia makofi, hiyo tunaita 'intellectual abuse'.

Sisi hatuna tatizo na uliyoandika tunahoji tusipoelewa, tunachangia unapopotosha na tunakemea unapochonganisha.
Mwandishi makini hupenda sana kufafanunua dhana yake kwa wasomaji na si kuwaambia waende kuandika research zao.
Wale mnaoimba wimbo huu wa nendeni mkaandike zenu mjue huo si uandishi makini wala usomaji makini.

2. Unasema umetukanwa inashangaza. Haa!! Mzee said, soma hapa chini kwanza Ukanijibu hivi Mkuki kwa Nguruwe.......................

Naomba tuweke kumbu kumbu sawa kwasababu kuna watu bado wanaamini Mohamed anaandika historia ya Tanganyika, na tumwache aandike.
Mohame anasema hivi; Bado wapo wanaodhani Mohamed kafanya research, Mohamed kwa maneno yake Amekiri kuwa yupo mtu kutoka Cambridge anakwenda kumhoji Mama Maria Nyerere kwa sababu Mohamed amekuwa reference. Sasa mtafiti hapa ni nani yule anayesoma habari na kwenda kwa mhusika au yule aliyesimuliwa.

Mohamed kama amefanya utafiti wa kutosha basi angeufahamisha umma ukweli kuhusu AMNUT, namba za Mitihani n.k. Hakwenda wizara ya elimu wala hakuwahoji viongozi wa AMNUT ambao wengine wapo hai hadi leo.

Mtafiti hawezi kuandika kibao cha Mshume Kiyate hakipo kwa sababu ya uislam, alitakiwa athibitishe kwa mahojiano na wahusika kama ni wilaya, mkoa au jiji na atuwekee majibu na si dhana.

Muhimu zaidi ni kuwa unapokuwa na maandishi yaliyojaa neno 'Inasemekana' hapo kuna utafiti gani?
Hivi kwanini Mohamed na vijana wake watuambie tukafanye research na si kujibu hoja zitokanzo na 'research' yake?

Mnyambala kaweka idadi ya shule mkoa wa Mbeya, mbona Mohamed hajibu. Mag3 kaweka jitihada za akina mama wa Kipare kisiasa kwanini hajibu ikiwa ndiye anaandika historia ya Tanganyika kwa usahihi.

Joka kuu kaweka majina ya akina Kisenge, mbona Mohamed hakanushi? Ngongo kauliza nini role ya AMNUT na kwanini Waislam hawakuiunga mkono, kwanini hajibu? MM anauliza mbona hajawahoji Mama Maria na Mwinyi, mbona hajibu ni taasisi gani inawakilisha waislam, Nguruvi kauliza Mohamed prove kama hakuna au hakukuwepo Wapagan na Athesits Tanganyika, hajibu anatoa matusi n.k n.k.

Haya yote yamo katika vitabu na makala zake, sasa anapotuambia tukaandike historia, ni aina gani ya uandishi isiyojibu hoja zitokanazo! Kinachoshangaza mwandishi Mohamed anatuaminisha Kaandika historia na ku conclude kuwa ni ya kweli halafu anataka tukafanye research! na hataki kujibu yatokananyo na 'ukweli' wake. Paradox!
Mohamed simama ujibu hoja na si kukwepa kwa hoja za 'nendeni mkafanye research'.

Mohamed anafanya vitu vifuatavyo;
1. Haandiki historia wala harekebishi historia, anaandika historia ya Waislam na harakati za ukombozi wa Tanganyika. Ni jambo jema kabisa, lakini maana yake ni kuwaambia waislam kuwa wao ndio wamepigania uhuru wa nchi hii na ni bora zaidi kuliko raia wengine(ushahidi upo).
Katika kufanya hivyo anatumbukiza hoja za kisiasa kama dhulma za elimu na afya, MoU n.k ili kuwajaza watu hasira.

2. Ili kufanikisha lengo hilo anajaribu kupambanisha 'simba na Yanga' na ndio maana amekana uwepo wa Wapagan na Atheist(ushahidi ninao). Lakini hawezi kuzusha tuhuma tu bila kuunganisha dot, na mtu wa kuunganisha ni Nyerere kwa kumhusisha na kifo cha EAMWS kuwatosa wazee wake n.k. na hata mambo yaliyo nje ya hoja anazozisema ameyaingiza ili kukidhi matakwa ya chuki pevu Hatujawahi kumsikia Mohamed akikemea ubadhirifu, wizi na ufujaji wa mabilioni ya fedha ambazo zingejenga mohositali kwa wananchi wote.
Hapa ndipo tunajiuliza kulikoni na Nyerere na zawadi kama kinyago au ubao wa tangazo na sio uhalifu unaoendelea sasa?

3. Kwanini dot zinaungwa kwa Nyerere! jibu ni kumhusisha na walengwa.
Mara zote Mohamed hamhusishi Nyerere na Uzanaki akijua fika kuwa nyimbo hiyo ina 'timu za makabila 120' na si rahisi kuchezesha timu za 'simba na yanga'. Hapo ndipo anapohusisha Nyerere na dini yake

4. Ikifika hapo neno kanisa limeshaingia na linalofuata ni mfumo kristo n.k.

5. Ili kupata uhalali ndipo tunapata hoja zake za mitihani,MoU, chuo kikuu cha IOC, idadi ya wabunge, viongozi serikalini n.k.
Hata kama hakuna ukweli inarudiwa mara nyingi na inaonekana ina ukweli kwasababu tayari keshajenga mazingira 1-4 hapo juu.

Mtafiti Mohamed hajaonyesha wapi udhaifu wa jamii yake ulipo, akituaminisha kuwa jamii hiyo ni kamilifu.
Haelezi taasisi lukuki za waislam zinafanya nini na kwa manufaa ya nani, anachokifanya ni kuunganisha BAKWATA, Nyerere, EAMWS, Roman Catholic ili apate jibu analotaraji.
Huo si utafiti labda kama kuna 'new methodology'. Utafiti siku zote hufuata kanuni kaMa hypothesi, analysis, conclusion.

Bahati mbaya tafiti za Mohamed zinaanza na conclusion halafu vitu vingine vinafuata. Ufumbuzi wa matatizo anayoorodhesha Mohamed haupo katika historia, upo katika ukweli kwa kuangalia historia na kujiuliza wapi watu wamejikwaa na sio wapi wameangukia.

Jamii yetu inahitaji maendeleo kila sekta,vikundi mbali mbali , jamii na taifa kwa ujumla. Hatuwezi kufanikiwa kwa kuligawa taifa kwa misingi ya udini au ukabila, ndio maana naomba sote tusimame pamoja na kumwambia Mohamed, NO! Usivuruge taifa.

Nguruvi3,

Natanguliza samahani kwako ikiwa ile namna yangu ya kuzungumza
umeioana kama tusi.

Niwie radhi sana.

Mimi ni mtu wa pwani na sina "vernecular" isipokuwa Kiswahili na sisi
Waswahili tuna namna yetu ya kusema ambayo mtu mwingine akahisi
kavunjiwa heshima anapotia neno lile lile katika lugha yake ya kikabila.

Nisamehe sana ndugu yangu pamoja na hizo nyuzi nyingine ambazo
nimewashukuru watu ambao umehisi wametoa lugha isiyo ya kiungwana.

Mohamed
 
sasa kumbe kuvaa kaptula haikuwa tatizo enzi hizo? Au kuvaa kaptula ilikuwa ni jambo la fedhedha? Je unajua hao wazee wengine wanaotajwa nao walikuwa wanavaa kaptula hizo hizo, watumishi wa umma wengine walivaa kaptula na watu walikuwa wanashinda na kaptula iliyopigwa pasi vizuri tu? Au unaamini kabisa kuwa Nyerere halikuwa hajui kuvaa suruali hadi alipooneshwa na "wazee wa Dar" kana kwamba alipokuwa anasoma huko Ulaya alikuwa anavaa kaptula!

Ndivyo nnavyo amini, kuwa alikuja hajui kuvaa suruali na hao wazee wa Dar. ndio waliomfunda. Lakini Mohamed Said kishasema tuyaache haya tuchukuwe hii fursa adhim kujuwa ukweli uko wapi na porojo ziko wapi.
 
Naam Shekhe! Maana tunaambiwa mara nyingi tu kuwa Nyerere alikuwa "anavaa kaptula" na kuwa ati wakati wa Dar ndio walimfundisha "kuvaa suruali". Sasa hawa wanaosema sijui wanazungumzia Dar ya wapi maana kaptula enzi hizo haikuwa jambo la fedheha kwa watu wasomi na hata kwenye ajira mbalimbali (ninazo picha za madaktari wakiwa wamevaa kaptula). Maana kama Nyerere kuvaa kaptula ilikuwa ni aibu na fedheha na hao wazee wetu wengine kwao ilikuwa nini?

Nashukuru kwa kuweka hili suala maana hoja hii imefika wakati ife.

Mwanakijiji,

Maneno ya kumkashifu Nyerere yalikuja baadae sana na yalitokana
na watu waliompokea Dar es Salaam wakawanae baga kwa bega
hadi akafika alipofika.

Baada ya hapo ikawa sasa Nyerere kasahau hisani aliyotendewa.
Akawa anasikika akisema yeye kaikuta TAA imekufa akaifufua,
Dossa alikuwa akimwendesha, TAA kilikuwa chama cha starehe.

Nyerere mwaka 1963 akalivunja Baraza la Wazee wa TANU chini ya
uenyekiti wa Iddi Tulio. Nyerere akawakamata masheikh wengine
hata hawakuwa katika siasa kama Maalim Matar (rafiki kipenzi wa
Abdulwahid) akawatia kizuizini kwa kosa la "kuchanganya dini na siasa."

Nyerere akavunja jumuia za Kiislam kama EAMWS, Al Jamiatul Ismaiyya na
nyinginezo.

Wazee wakapigwa marufuku hata kufika TANU office kama wenyewe
walivyopenda kuita.

Nyerere akajiweka mbali na wale wazee na watu wengine aliokuwanao
katika harakati.

Iddi Tulio kagongwa na gari kafa. Nyerere hakuhudhura maziko yake.
Mshume Kiyate kaugua hadi kafa hakwenda hospitali wala hakuhudhuria
mazishi yake, Sheikh Mohamed`Ramia, Jumbe Tambaza...

Wazee wetu hawakupendezwa na mambo haya.

Chuki ikajengeka dhidi yake.

"Huyu si huyu Nyerere aliyeletwa kwetu na Abdu Sykes kavaa kaptula?

Wazee wakawa wakikutana pembeni wanazungumza lugha hizo.

Ndiyo hadi leo tumefika hapa.

Ni mengi tutaelezana taratibu.

Kila jambo lina sababu yake.

Mohamed
 
Kuna mtu kanitukana na kwa kuwa mimi si mtu wa matusi bali hoja
nimeamua kujiweka pembeni.

Sheikh wangu Maalim Haruna (Mungu amrehemu)akitueleza katika madras
wakati anatufunza adab za mnakasha (majadiliano) kuwa dalili ya kwanza
ya mtu kushindwa ni ukali na lugha zisizokuwa kiungwana.

Dalili ya pili ni kukutukana kabisa.

Sheikh akaendelea kusema kuwa akitoka hapo katika matusi atakutoa ngeu.

Akashauri kuwa unaejadiliananae akifika daraja ya kukutukana basi jiondoe.

Hii ni salama kwake yeye na kwako mtu kuepusha shari ndiyo ustaarabu.

Waungwana wasomi hawakejeliani katika mnakasha wala hawatukanani.


Mohamed

Swadakta mzee Said,huna haja ya kutukanana na mtu.tunasoma na kuelimika mwisho wa siku tunafanya maamuzi na si kutokana na maandishi yako tu bali na vitabu/mijadala mingine n.k.Umefanya ulichojaaliwa na kwa mtu aliyezaliwa kabla ya 1953 kutoa lugha chafu kama zake haishangazi kuona mjukuu wake akimtukana mamaye kwani like grandpa like grandson!Twende taratibu tutafika!
 
Unanchekesha, huko Scotland hujui wanachovaa?
nyerere_1954.jpg


Ubishi mwingine hata hauna maana yoyote, kama kitu hukijui lazima uchangie?

Inafahamika mavazi rasmi ya wanaume waislamu ni kanzu. Sasa watamfundishaje mwalimu kuvaa vazi ambalo hata wao wenyewe hawalivai? Nyerere kuvaa kaptula unashangaa nini wakati ndiyo ilikuwa sare ya wafanyakazi wa serikali enzi za mkoloni.

Soma vizuri historia utaona kwamba kaptula ndio yalikuwa mavazi rasmi ya kiofisi enzi hizo, sio unabisha ilimradi uonekane unajua kumbe huelewi kitu!
 
Huyo shehe wako kakudanganya, mimi ninavyo wajua waisilamu hawana mchezo wakidai hoja yao hatakama haina msingi, wako tayari hatakufa kusimamia anochokiamini hata kama ni ushenzi, yuko teyari kukuua ili usimsumbue, kama huyo shehe wako angekuwa hai nadhani kwa sasa angeshakuwa chriatian tena born again.

Usilolijua ni kama usiku wa kiza! Muda ukijiri Utajuzwa!
 
sasa kumbe kuvaa kaptula haikuwa tatizo enzi hizo? Au kuvaa kaptula ilikuwa ni jambo la fedhedha? Je unajua hao wazee wengine wanaotajwa nao walikuwa wanavaa kaptula hizo hizo, watumishi wa umma wengine walivaa kaptula na watu walikuwa wanashinda na kaptula iliyopigwa pasi vizuri tu? Au unaamini kabisa kuwa Nyerere halikuwa hajui kuvaa suruali hadi alipooneshwa na "wazee wa Dar" kana kwamba alipokuwa anasoma huko Ulaya alikuwa anavaa kaptula!


Vazi la watu wa pwani likijulikana na unalijuwa, kuvaa kaptura haikuwa fashion kama unavyotaka ieleweke au ni maendeleo, hapana. Ilikuwa ni vazi la wafanyakazi kwa wazungu uwe msomi au si msomi. Kumbuka kufanya kazi kwa mzungu wakati huo ilikuwa tayari "brain washed" kuwa ni sifa, na utajitofautisha vipi kuwa wewe ni mfanyakazi wa Mzungu> uvae kaptura. Wazee wangu ni watu wa Dar na sijawaonapo wakivaa kaptura makazini mwao. Na hao wazee wa Dar. walikuwa wakitoka tu makazini huzivuwa hizo kaptura, wataendaje msikitini na kaptura?

Naomba turudi kwenye mada, lakini hili la kaptura nna uhakika nalo lilikuwa ni umanamba na "identity" ya ufanya kazi kwa wazungu. Sio Fashion.
 
Mkuu Muhamed Said,
Utapata shida sana katika ukumbi huu.waachie waamini hicho wanachoamini kwamba ni ukweli,nilikutahadhalisha wakati fulani (2008)pale Karikoo kwenye duka la vitabu,kuhusu sehemu hii wanapo endelea kupotosha Historia ya nchi,pale Kariakoo ulipo nitilia sign kitabu changu(ingawa huwezi kunikumbuka).
 
Back
Top Bottom