punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Umeandika tena kwa herufi kubwa kuwa '....na mwishoni hata MAHITAJI YA KAWAIDA YA VIONGOZI WA KANISA' halafu umemalizia kuwa '....wakati hayo yakiendelea *waislamu* ilikuwa mambo magumu sana kwao kimaisha'
Ukiwa mtu wa haki, mkweli, unayetetea ukweli na haki...utajitahidi kuweka mizani ya haki ktk mambo yako, kama juu utaweka VIONGOZI WA... na huku chini utaweka VIONGOZI WA... kama juu utaweka WAKRISTO au WABUDHA nk.. na huku chini utaweka WAISLAMU au WAPAGANI nk... siyo juu unaweka VIONGOZI WA KANISA, chini unaweka jumla tu 'waìslam' mtu atakuuliza na wakristo jee??? Au wakristo wote ni viongozi wa kanisa??!!
Ukiwa mtu wa haki, mkweli, unayetetea ukweli na haki...utajitahidi kuweka mizani ya haki ktk mambo yako, kama juu utaweka VIONGOZI WA... na huku chini utaweka VIONGOZI WA... kama juu utaweka WAKRISTO au WABUDHA nk.. na huku chini utaweka WAISLAMU au WAPAGANI nk... siyo juu unaweka VIONGOZI WA KANISA, chini unaweka jumla tu 'waìslam' mtu atakuuliza na wakristo jee??? Au wakristo wote ni viongozi wa kanisa??!!