Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada haijakamilika
Lakini ushahidi wa kuwepo Mungu tumeshatoa
Tatizo wanaobisha uwepo hawataki kujua bali kubisha tu
Ni kupoteza muda kujadiliana na mtu wa aina hiyo!
Jamaa yenu kasema ana prove, simply.
Ushahidi (ambao hamjatoa mpaka.sasa) ni kitu tofauti na proof (ambayo hata hamjaota kutoa).
Kwa nini haitumiki kwa mungu na inatumika kwingine? Huoni kwamba, kwa kuwa haitumiki kwa mungu hii kanuni si universal na inakosa universality wa kuifanya itumike popote? Na kama haitumiki popote kwa nini tuamini imetumika katika uumbaji wa binadamu?
Mnasema kanuni haitumiki kwa mungu wakati mungu mwenyewe hamumuelewi, mmeulizwa, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika, sijaona jibu.
Kama mungu mwenyewe hamumuelewi, mtajuaje kanuni gani inatumika kwa mungu na kanuni gani haitumiki?
Wapi umeliona hili? Naandika sana kuhusu logical and philosophical abstracts hapa, naalika dissenting views, je hayo nayo ni kutaka kumuona mungu kwa macho yangu?
Kuandika mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuumba dunia yenye uovu na shida kama hii ni nkutaka kumuona mungu kwa macho yangu?
Uislamu gani? Huu uliojaa contradictions kama methali za Kiswahili au mwingine?
Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Nitauchana uislamu katika context ya "knowledge system", si katika context ya "faith/ belief system" kwani, for the latter nilishasema kila kitu ni halali mradi kifuate sheria tu (ingawa versions nyingine za militant islam do not even make this cut)
Kama ni kusema tu, hata mimi naweza kusema "Mungu muumba mbingu na nchi ni Mchaga mwenye macho matatu aliyepo juu ya mlima Kilimanjaro" tena afadhali mimi nitakuwa namsema mungu wa nchini mwangu, si mungu wa kumfuata kuhiji Mecca.
Nikisema hivyo, je ni kweli mungu huyu wa macho matatu aliye juu ya mlima Kilimanjaro ndiye atakayekuwa kweli muumba wa mbingu na nchi?
Usiseme tu, thibitisha unachosema.
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu wa uislamu ndiye mungu wa kweli?
Na kwa kuthibitisha simaanishi kuniletea maandiko yaliyo empty, namaanisha thibitisha logically angalau usiwe na contardictions for starters.
Dini yako yenyewe inavyoanza kusema kuhusu mungu inaji contradict.
"la ilaha illa allah". Hakuna mungu ila mungu.
Kama hakuna mungu, hakuna ila.
Kama kuna ila, huwezi kusema hakuna mungu.
Inaonesha wazi kwamba walioandika hiki kitabu walikuwa na challenges za literacy, coherency na comprehension.
Na si kitabu cha mungu, ni cha binadamu tu. Tena ambao hata uandishi ulikuwa tabu kwao.
Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine
nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?
Najua namna mada ambavyo ina mapungufu
Sina hoja na hilo
Hebu niambie tofauti ya ushahidi na uthibitisho?
Shukran,nimekusoma Mkuu Remote,
Hua napitia humu kila mara nipatapo fursa...hua najifunza mangi mno!
Lakini lazim nikiri yakua wakti mwangine huwa nacheka kupita kiasi...yaani taabani! Teeh! Teeh! Teeh!
Mkuu Kiranga ni mkorofi mno,na yeye ndie hunichekesha jinsi anavyowaumiza wenzie vichwa!? Daah! Teeh! Teeh!
Khalaf huwa anashambuliwa na kutukanwa mno!...lakini naye yumo tu!? Duuh!ahahaaaaa!
Yaani ukorofi wa Kiranga humu,labda namfananiza kiduchu na Marehemu Christopher Hitchens na zile Debates zake...jinsi alivyokua akiwavuruga vichwa wale jamaa/Scholars wangine!...yaani mpaka huruma! Daah!
Nalisoma kile "God Is Not Great" by C. Hitchens...Daaah! Yaani yule jamaa alikua mshenzi na pia mwandishi mzuri saana! Teeh! Teeh! Teee!...mpaka anakufa walikua hata hawasemezani na yule nduguye right wing/"Believer"- Columnist Peter Hitchens! Duuh! Teeh! Teeeh! Teeeh!
Kwa hiyo nafikiri nasi humu-JF,huyu Bwana Kiranga ndo itakua Christopher Hitchens wetu,labda!?...nafikiri naye ataipenda compliment hii nilompa!?
Tuko pamoja Mkuu!
Ahsanta.
Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine
nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?
Kwa nini haitumiki kwa mungu na inatumika kwingine? Huoni kwamba, kwa kuwa haitumiki kwa mungu hii kanuni si universal na inakosa universality wa kuifanya itumike popote? Na kama haitumiki popote kwa nini tuamini imetumika katika uumbaji wa binadamu?
Mnasema kanuni haitumiki kwa mungu wakati mungu mwenyewe hamumuelewi, mmeulizwa, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika, sijaona jibu.
Kama mungu mwenyewe hamumuelewi, mtajuaje kanuni gani inatumika kwa mungu na kanuni gani haitumiki?
Wapi umeliona hili? Naandika sana kuhusu logical and philosophical abstracts hapa, naalika dissenting views, je hayo nayo ni kutaka kumuona mungu kwa macho yangu?
Kuandika mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuumba dunia yenye uovu na shida kama hii ni nkutaka kumuona mungu kwa macho yangu?
Uislamu gani? Huu uliojaa contradictions kama methali za Kiswahili au mwingine?
Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Nitauchana uislamu katika context ya "knowledge system", si katika context ya "faith/ belief system" kwani, for the latter nilishasema kila kitu ni halali mradi kifuate sheria tu (ingawa versions nyingine za militant islam do not even make this cut)
Kama ni kusema tu, hata mimi naweza kusema "Mungu muumba mbingu na nchi ni Mchaga mwenye macho matatu aliyepo juu ya mlima Kilimanjaro" tena afadhali mimi nitakuwa namsema mungu wa nchini mwangu, si mungu wa kumfuata kuhiji Mecca.
Nikisema hivyo, je ni kweli mungu huyu wa macho matatu aliye juu ya mlima Kilimanjaro ndiye atakayekuwa kweli muumba wa mbingu na nchi?
Usiseme tu, thibitisha unachosema.
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu wa uislamu ndiye mungu wa kweli?
Na kwa kuthibitisha simaanishi kuniletea maandiko yaliyo empty, namaanisha thibitisha logically angalau usiwe na contardictions for starters.
Dini yako yenyewe inavyoanza kusema kuhusu mungu inaji contradict.
"la ilaha illa allah". Hakuna mungu ila mungu.
Kama hakuna mungu, hakuna ila.
Kama kuna ila, huwezi kusema hakuna mungu.
Inaonesha wazi kwamba walioandika hiki kitabu walikuwa na challenges za literacy, coherency na comprehension.
Na si kitabu cha mungu, ni cha binadamu tu. Tena ambao hata uandishi ulikuwa tabu kwao.
Nimeona neno "prove" nikaona ngoja niangalie kuna ugunduzi gani mpya, naona madudu.
Unaelewa maana ya neno "prove"? Usha prove kwamba mungu yupo? Katika framework gani?
Kama unataka kufuatilia walichoamini watu wa kale, watu wa kale waliamini pia kwamba dunia si duara, ni bapa, na dunia haizunguki jua, bali jua linazunguka dunia.
Sasa utataka tuamini na hayo pia kwa sababu watu wa kale waliamini?
Umeanza kwa kutaja fact halafu unazama kwenye lindi la hearsay.
Kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele, na elimu inavyozidi kuongezeka, ndivyo wasioamini kuwepo kwa mungu wanavyozidi.
Jumapili nilienda kuangalia Super Bowl Boulevard na michezo theatres za Time Square hapo, mchana nikapata lunch, restaurant niliyoingia zamani ilikuwa kanisa. Watu wameibadilisha imekuwa Italian restaurant. Umekaa kwenye restaurant unaona michoro ya kanisa pamoja na stained glasses zile.
Nikaona duh, watu hawa wazungu waliotuletea hii dini wenyewe washaona makanisa hayana deal. Nikakumbuka another time napita Wall St, kwenye exchange pale, nakutana na mhubiri wa Ki Nigeria anawahubiria Wamarekani wanampita kama hana akili nzuri. Reverse evangelism flow, safari hii Waafrika ndio wanaenda kuhubiri Ulaya na Marekani!
Sisi mpaka leo tunang'ang'ania dini na mungu.
For starters, huwezi kukithibitisha kwa sababu hakipo, ili kuthibitishika inabidi kiwepo.
Niambie namna moja unayoweza kuthibitisha kwamba kile ambacho hakipo hakipo, au kipo.
Nikikwambia kwamba kuna taa ya Aladdin ya dhahabu inaelea sebuleni mwako, utawezaje kuthibitisha kwamba haipo?
Mungu ninayezungumzia Mimi nI Yule aliyeumba na wala hakuumbwa. Hiyo kanuni uliyoitaja kila aliyeumba na yeye kaumbwa haitumiki kwa mungu. Ninachokiona hapa ni kuwaunataka umuone mungu kwa macho yako, kwa hilo usahahu utaondoka kwenye dunia hii bila kumuona. Uislamu , dini usiyoitambua
ndio pekee inayoweza kundosha hizo complexities unazozieleza umemtaja mungu ni nani: uislamu unasema mungu ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hakuna anayefanana nae. Sasa hapo utazidi kushangaa!!. Nakwambia tena kamwe hutamuona mungu mpaka kufa kwako.hujajibu swali nani analitoa jua mashariki na kulipeleka magharibi?
Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine
nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?
Akili ya binadamu haiwezi kuhoji mawazo,mtazamo na fikra za aliyemuumba, Kwa sababu Mungu ni mkuu,kuna vitu amevificha machoni petu ,na huenda tusivijue ama kumfahamu mpaka yeye atakapo ona inafaa(majibu refer page ya 2).je kinyago anachokichonga binadamu,kinaweza hoji kwanini mtu huyo ameamua kukichonga kwa aina ile alivyokichonga!
kwenye paragraph za chini naungana na hoja yako kuhusiana na uthibitisho wa kwamba Mungu tajwa kwenye hicho kitabu si Mungu muumba(MUNGU wa miungu),pia nami nimeona changamoto za waandishi wa hicho kitabu(samahani wenye kamini hiyo dini).
Swali:naomba mapungufu ya kitabu cha biblia yanayoweza pelekea usiamini kwamba Mungu anayeongelewa humo inawezekana si Mungu Muumba wa dunia na viumbe vyake kwa sababu kuna muda naye anakuwa hafahamu mwisho wa anachokieleza(nikipata muda nitakuja na rejea)
swali:
Na kwanini uamini Mungu anaweza akawa amekufa! kwa nini uamini kama ana udhaifu wa kufa kama viumbe aliowaumba, je hauoni kwa uweza na ukuu wake anaweza kuamua aishi milele!
Note to all:
Lets agree to disagreed