History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Mada haijakamilika

Lakini ushahidi wa kuwepo Mungu tumeshatoa

Tatizo wanaobisha uwepo hawataki kujua bali kubisha tu

Ni kupoteza muda kujadiliana na mtu wa aina hiyo!
 
Mada haijakamilika

Lakini ushahidi wa kuwepo Mungu tumeshatoa

Tatizo wanaobisha uwepo hawataki kujua bali kubisha tu

Ni kupoteza muda kujadiliana na mtu wa aina hiyo!

Jamaa yenu kasema ana prove, simply.

Ushahidi (ambao hamjatoa mpaka.sasa) ni kitu tofauti na proof (ambayo hata hamjaota kutoa).
 
Jamaa yenu kasema ana prove, simply.

Ushahidi (ambao hamjatoa mpaka.sasa) ni kitu tofauti na proof (ambayo hata hamjaota kutoa).

Najua namna mada ambavyo ina mapungufu
Sina hoja na hilo

Hebu niambie tofauti ya ushahidi na uthibitisho?
 
mkuu Kiranga nipo nafyonza ilmu...


cc gombesugu mkuu wa karbu nawe nipate bayana zako


Shukran,nimekusoma Mkuu Remote,

Hua napitia humu kila mara nipatapo fursa...hua najifunza mangi mno!

Lakini lazim nikiri yakua wakti mwangine huwa nacheka kupita kiasi...yaani taabani! Teeh! Teeh! Teeh!

Mkuu Kiranga ni mkorofi mno,na yeye ndie hunichekesha jinsi anavyowaumiza wenzie vichwa!? Daah! Teeh! Teeh!

Khalaf huwa anashambuliwa na kutukanwa mno!...lakini naye yumo tu!? Duuh!ahahaaaaa!

Yaani ukorofi wa Kiranga humu,labda namfananiza kiduchu na Marehemu Christopher Hitchens na zile Debates zake...jinsi alivyokua akiwavuruga vichwa wale jamaa/Scholars wangine!...yaani mpaka huruma! Daah!

Nalisoma kile "God Is Not Great" by C. Hitchens...Daaah! Yaani yule jamaa alikua mshenzi na pia mwandishi mzuri saana! Teeh! Teeh! Teee!...mpaka anakufa walikua hata hawasemezani na yule nduguye right wing/"Believer"- Columnist Peter Hitchens! Duuh! Teeh! Teeeh! Teeeh!

Kwa hiyo nafikiri nasi humu-JF,huyu Bwana Kiranga ndo itakua Christopher Hitchens wetu,labda!?...nafikiri naye ataipenda compliment hii nilompa!?

Tuko pamoja Mkuu!

Ahsanta.
 
Kwa nini haitumiki kwa mungu na inatumika kwingine? Huoni kwamba, kwa kuwa haitumiki kwa mungu hii kanuni si universal na inakosa universality wa kuifanya itumike popote? Na kama haitumiki popote kwa nini tuamini imetumika katika uumbaji wa binadamu?

Mnasema kanuni haitumiki kwa mungu wakati mungu mwenyewe hamumuelewi, mmeulizwa, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika, sijaona jibu.

Kama mungu mwenyewe hamumuelewi, mtajuaje kanuni gani inatumika kwa mungu na kanuni gani haitumiki?



Wapi umeliona hili? Naandika sana kuhusu logical and philosophical abstracts hapa, naalika dissenting views, je hayo nayo ni kutaka kumuona mungu kwa macho yangu?

Kuandika mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuumba dunia yenye uovu na shida kama hii ni nkutaka kumuona mungu kwa macho yangu?



Uislamu gani? Huu uliojaa contradictions kama methali za Kiswahili au mwingine?



Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Nitauchana uislamu katika context ya "knowledge system", si katika context ya "faith/ belief system" kwani, for the latter nilishasema kila kitu ni halali mradi kifuate sheria tu (ingawa versions nyingine za militant islam do not even make this cut)

Kama ni kusema tu, hata mimi naweza kusema "Mungu muumba mbingu na nchi ni Mchaga mwenye macho matatu aliyepo juu ya mlima Kilimanjaro" tena afadhali mimi nitakuwa namsema mungu wa nchini mwangu, si mungu wa kumfuata kuhiji Mecca.

Nikisema hivyo, je ni kweli mungu huyu wa macho matatu aliye juu ya mlima Kilimanjaro ndiye atakayekuwa kweli muumba wa mbingu na nchi?

Usiseme tu, thibitisha unachosema.

Unaweza kuthibitisha kwamba mungu wa uislamu ndiye mungu wa kweli?

Na kwa kuthibitisha simaanishi kuniletea maandiko yaliyo empty, namaanisha thibitisha logically angalau usiwe na contardictions for starters.

Dini yako yenyewe inavyoanza kusema kuhusu mungu inaji contradict.

"la ilaha illa allah". Hakuna mungu ila mungu.

Kama hakuna mungu, hakuna ila.

Kama kuna ila, huwezi kusema hakuna mungu.

Inaonesha wazi kwamba walioandika hiki kitabu walikuwa na challenges za literacy, coherency na comprehension.

Na si kitabu cha mungu, ni cha binadamu tu. Tena ambao hata uandishi ulikuwa tabu kwao.

Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine

nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?
 
Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine

nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?

Nani kakwambia jua huwa linatoka mashariki kwenda magharibi? Mungu kawaongopea huwa analisafirisha jua?!!
 
Najua namna mada ambavyo ina mapungufu
Sina hoja na hilo

Hebu niambie tofauti ya ushahidi na uthibitisho?

Ushahidi unapingika, uthibitisho haupingiki, within the relevant framework.

This is why una ushahidi mwingine haukubaliki hata mahakamani, unaweza kuambiwa ni inadmissible, contaminated au circumstancial.
 
Shukran,nimekusoma Mkuu Remote,

Hua napitia humu kila mara nipatapo fursa...hua najifunza mangi mno!

Lakini lazim nikiri yakua wakti mwangine huwa nacheka kupita kiasi...yaani taabani! Teeh! Teeh! Teeh!

Mkuu Kiranga ni mkorofi mno,na yeye ndie hunichekesha jinsi anavyowaumiza wenzie vichwa!? Daah! Teeh! Teeh!

Khalaf huwa anashambuliwa na kutukanwa mno!...lakini naye yumo tu!? Duuh!ahahaaaaa!

Yaani ukorofi wa Kiranga humu,labda namfananiza kiduchu na Marehemu Christopher Hitchens na zile Debates zake...jinsi alivyokua akiwavuruga vichwa wale jamaa/Scholars wangine!...yaani mpaka huruma! Daah!

Nalisoma kile "God Is Not Great" by C. Hitchens...Daaah! Yaani yule jamaa alikua mshenzi na pia mwandishi mzuri saana! Teeh! Teeh! Teee!...mpaka anakufa walikua hata hawasemezani na yule nduguye right wing/"Believer"- Columnist Peter Hitchens! Duuh! Teeh! Teeeh! Teeeh!

Kwa hiyo nafikiri nasi humu-JF,huyu Bwana Kiranga ndo itakua Christopher Hitchens wetu,labda!?...nafikiri naye ataipenda compliment hii nilompa!?

Tuko pamoja Mkuu!

Ahsanta.

Hitchens ni kichwa ambacho inabidi kichunguzwe, watu wajue slipata wapi muda wa kusoma yote aliyosoma, kuandika yote aliyoandika na kujua aliyojua.

Maana kama ingekuwa kuandika tu tungesema anatayarishs msjibu, jamaa hata kwenye live interview ni hatari.
 
Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine

nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?

Thibitisha kwamba mungu yupo
 
Kwa nini haitumiki kwa mungu na inatumika kwingine? Huoni kwamba, kwa kuwa haitumiki kwa mungu hii kanuni si universal na inakosa universality wa kuifanya itumike popote? Na kama haitumiki popote kwa nini tuamini imetumika katika uumbaji wa binadamu?

Mnasema kanuni haitumiki kwa mungu wakati mungu mwenyewe hamumuelewi, mmeulizwa, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika, sijaona jibu.

Kama mungu mwenyewe hamumuelewi, mtajuaje kanuni gani inatumika kwa mungu na kanuni gani haitumiki?



Wapi umeliona hili? Naandika sana kuhusu logical and philosophical abstracts hapa, naalika dissenting views, je hayo nayo ni kutaka kumuona mungu kwa macho yangu?

Kuandika mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuumba dunia yenye uovu na shida kama hii ni nkutaka kumuona mungu kwa macho yangu?



Uislamu gani? Huu uliojaa contradictions kama methali za Kiswahili au mwingine?



Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Nitauchana uislamu katika context ya "knowledge system", si katika context ya "faith/ belief system" kwani, for the latter nilishasema kila kitu ni halali mradi kifuate sheria tu (ingawa versions nyingine za militant islam do not even make this cut)

Kama ni kusema tu, hata mimi naweza kusema "Mungu muumba mbingu na nchi ni Mchaga mwenye macho matatu aliyepo juu ya mlima Kilimanjaro" tena afadhali mimi nitakuwa namsema mungu wa nchini mwangu, si mungu wa kumfuata kuhiji Mecca.

Nikisema hivyo, je ni kweli mungu huyu wa macho matatu aliye juu ya mlima Kilimanjaro ndiye atakayekuwa kweli muumba wa mbingu na nchi?

Usiseme tu, thibitisha unachosema.

Unaweza kuthibitisha kwamba mungu wa uislamu ndiye mungu wa kweli?


Na kwa kuthibitisha simaanishi kuniletea maandiko yaliyo empty, namaanisha thibitisha logically angalau usiwe na contardictions for starters.

Dini yako yenyewe inavyoanza kusema kuhusu mungu inaji contradict.

"la ilaha illa allah". Hakuna mungu ila mungu.

Kama hakuna mungu, hakuna ila.

Kama kuna ila, huwezi kusema hakuna mungu.

Inaonesha wazi kwamba walioandika hiki kitabu walikuwa na challenges za literacy, coherency na comprehension
.

Na si kitabu cha mungu, ni cha binadamu tu. Tena ambao hata uandishi ulikuwa tabu kwao.

Akili ya binadamu haiwezi kuhoji mawazo,mtazamo na fikra za aliyemuumba, Kwa sababu Mungu ni mkuu,kuna vitu amevificha machoni petu ,na huenda tusivijue ama kumfahamu mpaka yeye atakapo ona inafaa(majibu refer page ya 2).je kinyago anachokichonga binadamu,kinaweza hoji kwanini mtu huyo ameamua kukichonga kwa aina ile alivyokichonga!

kwenye paragraph za chini naungana na hoja yako kuhusiana na uthibitisho wa kwamba Mungu tajwa kwenye hicho kitabu si Mungu muumba(MUNGU wa miungu),pia nami nimeona changamoto za waandishi wa hicho kitabu(samahani wenye kamini hiyo dini).

Swali:naomba mapungufu ya kitabu cha biblia yanayoweza pelekea usiamini kwamba Mungu anayeongelewa humo inawezekana si Mungu Muumba wa dunia na viumbe vyake kwa sababu kuna muda naye anakuwa hafahamu mwisho wa anachokieleza(nikipata muda nitakuja na rejea)
swali:
Na kwanini uamini Mungu anaweza akawa amekufa! kwa nini uamini kama ana udhaifu wa kufa kama viumbe aliowaumba, je hauoni kwa uweza na ukuu wake anaweza kuamua aishi milele!
 
Nimeona neno "prove" nikaona ngoja niangalie kuna ugunduzi gani mpya, naona madudu.

Unaelewa maana ya neno "prove"? Usha prove kwamba mungu yupo? Katika framework gani?

Kama unataka kufuatilia walichoamini watu wa kale, watu wa kale waliamini pia kwamba dunia si duara, ni bapa, na dunia haizunguki jua, bali jua linazunguka dunia.

Sasa utataka tuamini na hayo pia kwa sababu watu wa kale waliamini?

Umeanza kwa kutaja fact halafu unazama kwenye lindi la hearsay.

Kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele, na elimu inavyozidi kuongezeka, ndivyo wasioamini kuwepo kwa mungu wanavyozidi.

Jumapili nilienda kuangalia Super Bowl Boulevard na michezo theatres za Time Square hapo, mchana nikapata lunch, restaurant niliyoingia zamani ilikuwa kanisa. Watu wameibadilisha imekuwa Italian restaurant. Umekaa kwenye restaurant unaona michoro ya kanisa pamoja na stained glasses zile.

Nikaona duh, watu hawa wazungu waliotuletea hii dini wenyewe washaona makanisa hayana deal. Nikakumbuka another time napita Wall St, kwenye exchange pale, nakutana na mhubiri wa Ki Nigeria anawahubiria Wamarekani wanampita kama hana akili nzuri. Reverse evangelism flow, safari hii Waafrika ndio wanaenda kuhubiri Ulaya na Marekani!

Sisi mpaka leo tunang'ang'ania dini na mungu.

Hapo kwenye red; wapo watu wajinga enzi zile walioamini hivyo lakini Ayubu (wa Biblia) alifunuliwa na Mungu muda kitambo kirefu hata kabla ya Wanajimu kugundua hili kuwa dunia ni duara and it hangs on NOTHING (Ayubu 27:7)
 
For starters, huwezi kukithibitisha kwa sababu hakipo, ili kuthibitishika inabidi kiwepo.

Niambie namna moja unayoweza kuthibitisha kwamba kile ambacho hakipo hakipo, au kipo.

Nikikwambia kwamba kuna taa ya Aladdin ya dhahabu inaelea sebuleni mwako, utawezaje kuthibitisha kwamba haipo?

Nitaenda sebuleni mwangu pamoja na wewe kuhakiki/kuthibitisha kama taa ipo na hatimae hatutoikuta coz haikuwepo since b4.
Hence proved kua taa ambayo haikuwepo haipo!
There once again you are wrong with your statement kua "kisichokuwepo hakithibitishwi"
Go back to the topic and prove to the jf members that there is no God coz u can prove it!# kiranga
 
Mungu ninayezungumzia Mimi nI Yule aliyeumba na wala hakuumbwa. Hiyo kanuni uliyoitaja kila aliyeumba na yeye kaumbwa haitumiki kwa mungu. Ninachokiona hapa ni kuwaunataka umuone mungu kwa macho yako, kwa hilo usahahu utaondoka kwenye dunia hii bila kumuona. Uislamu , dini usiyoitambua
ndio pekee inayoweza kundosha hizo complexities unazozieleza umemtaja mungu ni nani: uislamu unasema mungu ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hakuna anayefanana nae. Sasa hapo utazidi kushangaa!!. Nakwambia tena kamwe hutamuona mungu mpaka kufa kwako.hujajibu swali nani analitoa jua mashariki na kulipeleka magharibi?

Hii link ni kwako wewe unae provoke kitabu cha dini ya watu.
http://www.answering-christianity.com/quran/ma_drowned.htm
 
Ma-Abujehl wapo wengi!!! Hii hatari! binaadamu anathubutu kusema hajui kama mungu yupo!! Hayo mambo mengine

nakuachia mwenyewe. Nijibu swali nililokuuliza nani analitoa jua mashariki na kulipeleka maghribi?

Nikikwambia sijui jibu la swali hili, kutojua kwangu kunathibitisha kwamba anayeendesha jua ni mungu?

Kunathibitishaje?

Ukiniuliza swali 4 + 2 =? . Nikakwambia sijui jibu, je hilo lina maana jibu ni 42? Bila maelezo yoyote? Kwa kuwa sijui jibu tu, basi jibu ni 42?

Thibitisha kwamba mungu yupo na ndiye anayelipelekesha jua.

Hujathibitisha bado.
 
Akili ya binadamu haiwezi kuhoji mawazo,mtazamo na fikra za aliyemuumba, Kwa sababu Mungu ni mkuu,kuna vitu amevificha machoni petu ,na huenda tusivijue ama kumfahamu mpaka yeye atakapo ona inafaa(majibu refer page ya 2).je kinyago anachokichonga binadamu,kinaweza hoji kwanini mtu huyo ameamua kukichonga kwa aina ile alivyokichonga!

kwenye paragraph za chini naungana na hoja yako kuhusiana na uthibitisho wa kwamba Mungu tajwa kwenye hicho kitabu si Mungu muumba(MUNGU wa miungu),pia nami nimeona changamoto za waandishi wa hicho kitabu(samahani wenye kamini hiyo dini).

Swali:naomba mapungufu ya kitabu cha biblia yanayoweza pelekea usiamini kwamba Mungu anayeongelewa humo inawezekana si Mungu Muumba wa dunia na viumbe vyake kwa sababu kuna muda naye anakuwa hafahamu mwisho wa anachokieleza(nikipata muda nitakuja na rejea)
swali:
Na kwanini uamini Mungu anaweza akawa amekufa! kwa nini uamini kama ana udhaifu wa kufa kama viumbe aliowaumba, je hauoni kwa uweza na ukuu wake anaweza kuamua aishi milele!

Kama akili ya binadamu haiwezi kuhoji na kumuelewa mungu, wewe umejuaje kwamba mungu kuna vitu kaficha?

Umetumia akili gani?

Halafu mungu gani huyu ana choyo anaficha mambo mazuri kw viumbe wake, halafu hapo hapo anawaambia wasiwe na choyo wawe na upendo?

Huyu mungu mbona kigeugeu?

Hujaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo.

Biblia inajichanganya kuanzia mwanzo mpaka ufunuo. Kama hujaona hilo hujaisoma au unaisoma kwa upofu wa imani ya dini.

Nishaweka inconsistencies lukuki hapa.

For starters ona hapa

http://infidels.org/library/modern/jim_meritt/bible-contradictions.html
 
Note to all:
Lets agree to disagreed

"Agree to disagree" is just an overdrawn way of saying "disagree".

Dis ussion need not end with agreement all the time, so if there is no agreement, asking to disagreement is uncalled for.

Nimeambiwa kuna proof rahisi kwmba mungu yupo.

Mpaka sasa sijaiona bado.
 
Proofs za bing bang zipo, google em and see for yoself
 
Back
Top Bottom