Hivi baadhi ya wake za watu wana shida gani?

Hivi baadhi ya wake za watu wana shida gani?

VINICIOUS JR

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
208
Reaction score
518
Kwema wakuu,

Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerudi sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakati mim ni jobless na yeye mme wake ni askari, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe.

Sasa hii jioni nimekutana naye ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambia unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna.

Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
 
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafir miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo pekeangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerud sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakat mim ni jobless na yeye mme wake ni askar, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe. Sasa hii jioni nimekutana nae ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambh unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna. Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
A few moment later......
 
K
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafir miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo pekeangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerud sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakat mim ni jobless na yeye mme wake ni askar, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe. Sasa hii jioni nimekutana nae ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambh unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna. Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
Kamsemee kwa mama yako anakufundisha matusi.
 
Back
Top Bottom