Hivi baadhi ya wake za watu wana shida gani?

Hivi baadhi ya wake za watu wana shida gani?

Kwema wakuu,

Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerudi sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakati mim ni jobless na yeye mme wake ni askari, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe.

Sasa hii jioni nimekutana naye ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambia unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna.

Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
Kuna watu waliumbwa wanaume kwa bahati mbaya.
 
IMG-20240528-WA0521.jpg
 
Kwema wakuu,

Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerudi sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakati mim ni jobless na yeye mme wake ni askari, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe.

Sasa hii jioni nimekutana naye ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambia unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna.

Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
Hakutakii mema huyo Mwanamke anataka uje uwekewe filimbi mkunduni uipulize kwa nguvu za kujamba
 
Kwema wakuu,

Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerudi sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakati mim ni jobless na yeye mme wake ni askari, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe.

Sasa hii jioni nimekutana naye ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambia unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna.

Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
umemjibu vema...Kaa mbali na Mke wa mtu
 
Hawa viumbe wana ujasiri sana imagine black mamba anachitiwa anaweza letewa mpaka mtoto na akaleta hajui ,


Lakini cha ajabu eti huwa wanaogopa mende kuliko kawaida
 
Kwema wakuu,

Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerudi sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakati mim ni jobless na yeye mme wake ni askari, nikienda kuoga anakuja niambia twende nikakuogeshe.

Sasa hii jioni nimekutana naye ananiambia, nambie rafki angu me nikamwambia sina urafiki na wewe, akanikazia macho na kunambia unanikataa nikamjibu ndio basi kaondoka huku kanuna.

Karibuni kwa maone hivi hawa wanawake wanashida gani hasa?
Amekuvunjia barafu mwambie mume Wake ili upate ufumbuzi wa kudumu ukimwambia mume Wake imeisha hiyo
 
NDUGU NAKUKUMBUSHA KATIKA TOURAT TUKUFU KATIKA ZILE AMRI KUMI ZA MOLA MLEZI, MMOJA WAPO NI USITAMANI MKE WA JIRANI YAKO.
MKE WA JIRANI NI SUMU KAA NAE MBALI.
 
Back
Top Bottom