Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
makonda show-off yule sindo alikuwa anagombania gorofa na gsmKama MAKONDA, MPINA, MWABUKUSI..........NK!
Ina maana wewe ni mbinafsi kupitiliza?!mkuu mm sikufich nikipata ata teuzi nitaajikita kutokomeza umasikin wa kwetu
bora niwe mkweli mkuu familia yangu kila day inalia haina ajira so kipaumbel kitakuwa familia.yanguIna maana wewe ni mbinafsi kupitiliza?!
Nini kitakuzuia kutokomeza umaskini wa taifa kwa jumla?
natambua ila hao walio juu walitakiwa waonyeshe mfanoMkombozi wa nchi yako ni wewe mwenyewe kutegemea jirani yako akukomboe huo ni ujinga wa hali ya juu.
hapo mm kidogo paramagambaHakuna chama cha kuisaidia hii nchi zaidi ya uwezo WA mtu binafsi!
Nawakubali Makonda,Majaliwa &Paramagamba. Nchi yetu inataka kiongozi mbabe mbabe ndo mambo yanaenda!
Yaani Miaka 60 hakuna kinachoendelea ni ubabaishaji Tu, afadhali kubadili mfumo kuangalia upande mwingine .Kuamini CHADEMA itatukomboa inawezekana sio kweli, ila kuamini tukiacha CCM madarakani tutakombolewa huo ni UWENDAWAZIMU uliotukuka.
mfumo up unaona mzuriYaani Miaka 60 hakuna kinachoendelea ni ubabaishaji Tu, afadhali kubadili mfumo kuangalia upande mwingine .
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Sasa mtu Kama Lema ana integrity gani ya uzalendo umpe awe waziri wa mambo ya ndani ?!! π²π²π€£π€£kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Hao ndugu zangu kabila langu ?!!!π²π²Mwabukusi
πππUkombozi hauko ndani ya chama cha siasa bali NDANI YA KILA MWANANCHI/MTANZANIA MWENYEWE.
tuzidi kuomba tupate watu wazalendo na wenye uchungu ya nchi yao
Sema hata uzi ungesema hatua mini.kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
tuna viongozi ambao wapo kwaajili ya shibeSasa mtu Kama Lema ana integrity gani ya uzalendo umpe awe waziri wa mambo ya ndani ?!! π²π²π€£π€£
nikitekwa uanze kampeni ya kunililiaUmegeukiaa kwenye Siasa, kazii ipooo,
Wooiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunataka mfumo wa haki wa uchaguzi kuanzia ngazi ya kata mpaka urais.kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli