Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,uko vzr , hongeraOooh
Huyo moja ni wa chuo, nilikua namchelewesha kumpa majibu yake baada ya kuniambia hisia zake .So akawa kamind hivi so I asked him kama tunaweza onana basketball ground kule mabibo hostel, wakati tunaongea , ghafla nikampa kiss un expectedly( it was such a deep, sweet and random kiss) so from there tukawa wapenzi.
Wapili ni boss wangu kazini, we liked each other but hanitongozi, nikamuita sehemu for drinks from work( cha ajabu alienda home akaoga na kuchange clothes ) then akaja , tukapiga drinks then I started the romantic kiss then nikampuzia..But badae tukawa wapenzi
Inshort, i will grant my heart what it wants.
Ndege kama ndege kajaa mzima mzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kantri una nini lakini?
Acha kunirushia ndege wangu
Hahahahahaha hii imeishaaaMuombe mtoke out friendly, Baada ya kunywa wine kidogo( usilewe sana just a bit tipsy) ,give hime a random deep kiss ila usimpe papuchi.
Hakikisha you look good and you smell good and act classy but a little bit sassy.
Baada ya hapo usimpe too much attention, make him want you.
Au muite kwako kama uko tayari kwa chochote yaani liwalo na liwe [emoji23][emoji23]..Make sure wewe na mazingira yako mnavutia,
Mkae mbweni au ulongoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My king….. hii imeenda alooo!!
Hapo hata dada akigonga mlango wako wa chumbani lazima uogope, unajua umefikiwa kimya kimya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usintishe ebu uko
😂😂😂Wanataka kuokota dodo chini ya mnazi[emoji1787][emoji1787]
kwa mwanaume anayejielewa na mwenye akili iliyotulia mwanamke akiwa anakuhitaji utamjua tuu jinsi anavofanya interaction na wewe. Mfano nikijitolea mimi kipindi nipo mdogo nilikua nadhani ni utoto labda unakuta mdada anakuzoea au anakuchangamkia kwa namna fulani ambayo sio ya kikwaida. Na nikuambie siri hata mwanamke unayemtongoza ukiachilia mbali wenye vijitabia vya umalaya mwanamke ukiona kakukubalia jua kwamba asilimia karibia 90% alikua kesha kukubali hizi kumi za kukuangalia vitu vidogo vidogo ili ajione taswira yako ndani ya maisha yake.Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Una hakika kama hmu ndani JF kuna wanawake? Nliwahi ambiwa hmu utapata MASHANGAZI ....... hata hizo comment zao zipo 50/50Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Umemaliza kila kitu na hakika kwa mbinu hii me umetuwezeaMuombe mtoke out friendly, Baada ya kunywa wine kidogo( usilewe sana just a bit tipsy) ,give hime a random deep kiss ila usimpe papuchi.
Hakikisha you look good and you smell good and act classy but a little bit sassy.
Baada ya hapo usimpe too much attention, make him want you.
Au muite kwako kama uko tayari kwa chochote yaani liwalo na liwe [emoji23][emoji23]..Make sure wewe na mazingira yako mnavutia,
Wewe ni rahisi sana kutongozeka. Nikikuangalia tu kwisha habari yako
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Bas nitongozeWewe ni rahisi sana kutongozeka. Nikikuangalia tu kwisha habari yako
Sio mieSiku hizi hatutongazani tunaitana majina ya kimahaba biashara inaisha….. mtajikuta automatically mpo penzini 😂
We unaonekana unataka kabisa, hufai kutongozwa, tunataka wale wagumu wanaojifanya makatekista.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Bas nitongoze
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege kama ndege kajaa mzima mzima[emoji1787][emoji1787]
Mm nyumba namba nimeipata, mbweni teta karibu na kanisa la fpct block D nyumba namba 2...[emoji1787][emoji1787]
Mkae mbweni au ulongoni[emoji1787]
Hapo hata dada akigonga mlango wako wa chumbani lazima uogope, unajua umefikiwa kimya kimya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]