Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Jf ni platform huru popote tu unashow love, si ndio maana ya where we dare to talk openly?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuondoke tunaharibu uzi wa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf ni platform huru popote tu unashow love, si ndio maana ya where we dare to talk openly?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuondoke tunaharibu uzi wa watu
Yupi tena? Huyo wa mpwapwa?Umenirushia ndege wangu umefurahi [emoji1787][emoji1787]
Kutaja tu block na nyumba namba ndege kasepa?
Huyo alikua hataki kuja[emoji23]
Sio tena bonyokwa? Namtafuta aliyekuambia acha utoto hii sio fb[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo yako ya uongo, me nakaa chanika [emoji1787][emoji1787]
Unataka wakupe mbinu ukajitongozeshe?Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Jf ni platform huru popote tu unashow love, si ndio maana ya where we dare to talk openly?
Yupi tena? Huyo wa mpwapwa?
Sio tena bonyokwa? Namtafuta aliyekuambia acha utoto hii sio fb[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm tena? Wala sihusiki[emoji23]Yaani wewe [emoji119]
Kila nikitaka kukutoa unatafuta sababu ya kubaki.
We ukinipotezea yule tajiri sitokuelewa kabisa ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakua hadi Leo anakumind sana, alijua ushajaa[emoji23][emoji23]Na sikutajii ng’o [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm tena? Wala sihusiki[emoji23]
Ngoja nitoke sasa huku[emoji23]
Itakua hadi Leo anakumind sana, alijua ushajaa[emoji23][emoji23]
Gari nitoe wapi mm, hata bodaboda sina. Ni mwendo wa miguu tu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajiri akikimbia nitauza gari lako nifidie
Gari nitoe wapi mm, hata bodaboda sina. Ni mwendo wa miguu tu[emoji23]
Kwa hiyo mwanzo alijiona mjinga?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamna ss hivi kawa swahiba angu anawacheka wengine
Miguu haina soko, njoo chukua figo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tutauza hiyo hiyo miguu
Dem akinipa kiss bila ridhaa yangu naenda kupiga mswaki masaa 6Muombe mtoke out friendly, Baada ya kunywa wine kidogo( usilewe sana just a bit tipsy) ,give hime a random deep kiss ila usimpe papuchi.
Hakikisha you look good and you smell good and act classy but a little bit sassy.
Baada ya hapo usimpe too much attention, make him want you.
Au muite kwako kama uko tayari kwa chochote yaani liwalo na liwe [emoji23][emoji23]..Make sure wewe na mazingira yako mnavutia,
Yaishe basi 🤣🤣🤣Kwa hiyo mwanzo alijiona mjinga?[emoji23][emoji23]