Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

Oooh

Huyo moja ni wa chuo, nilikua namchelewesha kumpa majibu yake baada ya kuniambia hisia zake .So akawa kamind hivi so I asked him kama tunaweza onana basketball ground kule mabibo hostel, wakati tunaongea , ghafla nikampa kiss un expectedly( it was such a deep, sweet and random kiss) so from there tukawa wapenzi.

Wapili ni boss wangu kazini, we liked each other but hanitongozi, nikamuita sehemu for drinks from work( cha ajabu alienda home akaoga na kuchange clothes ) then akaja , tukapiga drinks then I started the romantic kiss then nikampuzia..But badae tukawa wapenzi


Inshort, i will grant my heart what it wants.
Wewe umeiva kwenye mitongozo
 
Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
IMG_1806.JPG.jpg
 
Hiyo ya kuitwa majina ya kimahaba ndio mbinu ya wengi

Ila mwenye kibunda chake anakualika mtoke outing. Hawa watamu sana kwenye kula hela zao

Wengine ni kila mara atakucheki iwe ni meseji au simu mpaka utaelewa tu huyu anakutaka. Mara akuulize umekula? Yaani mambo yanayoonyesha anakujali
 
Back
Top Bottom