steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
How?Tunamtongoza on behalf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Tunamtongoza on behalf
Da kweli weekend imeanzaWe unaonekana unataka kabisa, hufai kutongozwa, tunataka wale wagumu wanaojifanya makatekista.
Kuna mademu leo PM zenu Patajaa mitongozo wewe ukiwemo.Of course, I did this to my 2 ex boyfriends..Napenda kutoa random kiss.
To yeye tunahitaji neno moja kutoka kwakoNasubiri To yeye aseme jambo nadhani ndio utakuwa muongozo wao.
[emoji1751][emoji1751][emoji1732][emoji1732][emoji1732]We unaonekana unataka kabisa, hufai kutongozwa, tunataka wale wagumu wanaojifanya makatekista.
Wewe umeiva kwenye mitongozoOooh
Huyo moja ni wa chuo, nilikua namchelewesha kumpa majibu yake baada ya kuniambia hisia zake .So akawa kamind hivi so I asked him kama tunaweza onana basketball ground kule mabibo hostel, wakati tunaongea , ghafla nikampa kiss un expectedly( it was such a deep, sweet and random kiss) so from there tukawa wapenzi.
Wapili ni boss wangu kazini, we liked each other but hanitongozi, nikamuita sehemu for drinks from work( cha ajabu alienda home akaoga na kuchange clothes ) then akaja , tukapiga drinks then I started the romantic kiss then nikampuzia..But badae tukawa wapenzi
Inshort, i will grant my heart what it wants.
Weekend bila umeme, so boringDa kweli weekend imeanza
Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Mm nasaidia tu nyumba namba[emoji23][emoji23][emoji23], maana nahisi nimewahi kukuona unaingia mbweni nyumba flani hivi[emoji12]
Kantri acha kuniharibia basi
haya majina umeyakariri sana, huwa unajibu kulingana na mtu alivyouliza[emoji1787][emoji1787]Bonyokwa [emoji1787][emoji1787]
Nikikupenda nakutongoza.....ni hivo tu.To yeye, @kalp, Bantu Lady, shemela Evelyn Salt , mamdogo Amehlo et el kuna swali lenu huku, ningependa kuyasikia majibu yenu
haya majina umeyakariri sana, huwa unajibu kulingana na mtu alivyouliza[emoji1787][emoji1787]
Kuna siku ulisema unakaa mpwapwa[emoji23]
Sema utaishi miaka mingi sana[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Wewe ebu usintishe niwacheeeee
Mm nasaidia tu nyumba namba[emoji23][emoji23][emoji23], maana nahisi nimewahi kukuona unaingia mbweni nyumba flani hivi
Alafu akawa anakubali, Ila jf kuna mazuzu wengi sana[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema utaishi miaka mingi sana[emoji23][emoji23]
Alafu akawa anakubali, Ila jf kuna mazuzu wengi sana[emoji23]
Kutaja tu block na nyumba namba ndege kasepa?Umefanya mpk ndege wangu kakimbia [emoji1787][emoji1787]