Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

Tuna tatizo la akili butu.
Mfano mdogo tu.
Ninapoishi mimi kuna vyanzo kibao vya maji.
Maji ardhini
Chemchemi toka mlimani
Mto usio kauka.
Ajabu maji yanatoka kwa mgawo japo yanatoka kila siku.
Kuna zamu ya usiku na mchana.

Akili ndio tatizo kubwa
Shida sio akili kwamba hawajui vyanzo vya maji bali Pesa bil.47 imepangwa kulipwa posho.
 
Dodoma kuna tatizo la maji toka 2020 mwezi wa nane hadi leo hii tunakushangaa wakazi unaongea ongea tu.

Kuna maeneo yanapata maji kila siku kuna maeneo yanapata kila baada siku tatu, visima vya maji viko mayamaya na kuna mradi mkubwa wa maji ulianza kutekelezwa siku nyingi tu

Na katika hayo maeneo yanayopata maji kila baada ya siku tatu kuna laini zinatoa kila siku
Umekimbia Mwanza kwenye Kansa 🤣🤣
 
Kuna mdau wa duwasa hapo juu kasema moja ya suluhisho la maji ni mradi wa maji kutoka victoria , ndo maana mdau kaja na hoja itawezekana vipi maji ya victoria yasaidie dodoma ilhali hapo mwanza kwenyewe tu kuna mgao wa maji!
Unadhani itachukua miaka mingapi? So long as mitaa ya vigogo Maji yapo nyie mtasubiria Hadi 2040
 
Jana nilikuwa morogoro mitaa ya Tubuyu maji ni shida mno
Ni Kweli Maji Shida Sana Watu Wenye Tu Huchimba Visima Kwa Magari
Kuanzia Mwezi Wa Saba Mpaka Mwezi Wa Tatu Mvua Zitakaporudi Hali Mbaya
 
Msalato ilikua Haina shida ya Maji Huku mwisho imeanza juzi nimechukiaaaaa....yaani yanatoka Kwa timing na hayana nguvu.
Sehemu isiyo na shida ya Maji ni pale mjini center eneo la makole na bungeni,kutokea bible mpk idara ya Maji Huku hakuna shida ya Maji Kwa kua pale Kuna Bomba kubwaa ,Kisasa SIKU hizi Kuna shida ya Maji kwenye nyumba 300 balaaa...panakera afu vyoo vya kukaa,ukienda nkuhungu Sasa Maji yanatoka Kwa wiki mara mbili (Huku ndo nilikaaa kabisaa mbona nilihama)

Dodoma Kuna shida ya Maji kama Kuna maeneo zaidi ya hayo niliyotaja yanatoka Kila SIKU maji hongera zao..ila panaboa Sanaa ,SIKU za mvua Sasa ndo maji yanatoka almost every day km wachawi vile[emoji57][emoji57][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Pole Rey. Niko Nkuhungu Chama lakini naona fair tu maji yanatoka Jmosi, Jnne, Jtano nadhani na Ijumaa. Kwanu ninaona inavumilika.
 
Shida ya maji ni maeneo mengi, hata Dsm shida tu
 
Nimekaa hapa wiki moja nzima, mabomba hayatoi maji.

Nadhani serikali imeharakisha kuhamishia makao makuu hapa Dodoma kabla suala la maji halijatengemaa.

Awesu ndo yupo Italy anakula bata tu.

====

UFAFANUZI KUTOKA DUWASA

====
nendeni ikulu mkapange foleni maji yapo
 
Tangu lini vimiji vilivyolaaniwa tangu zamani vikawa vya maana , yaani utakuta eti mtu na akili zake timamu kabisa anafagilia kamji kama dodoma , taabu tupu vumbi magonjwa ya macho etc, wenyewe kila siku wako dar kwenda kuoga maji baridi na kufua nguo, yaani kimsingi hako kamji ni njaa njaa tu, mwenye akili timamu hawezi kuishi Dodoma PERIOD.
 
Pole Rey. Niko Nkuhungu Chama lakini naona fair tu maji yanatoka Jmosi, Jnne, Jtano nadhani na Ijumaa. Kwanu ninaona inavumilika.
Ahsante mi sijazoea shida ya Maji mmezoea Kila Siku maji yapo kwetu Dar,Huku Naona mateso tupu!!!na kuchimba kisima ni gharama sana Kwa Dodoma
 
Back
Top Bottom