Msalato ilikua Haina shida ya Maji Huku mwisho imeanza juzi nimechukiaaaaa....yaani yanatoka Kwa timing na hayana nguvu.
Sehemu isiyo na shida ya Maji ni pale mjini center eneo la makole na bungeni,kutokea bible mpk idara ya Maji Huku hakuna shida ya Maji Kwa kua pale Kuna Bomba kubwaa ,Kisasa SIKU hizi Kuna shida ya Maji kwenye nyumba 300 balaaa...panakera afu vyoo vya kukaa,ukienda nkuhungu Sasa Maji yanatoka Kwa wiki mara mbili (Huku ndo nilikaaa kabisaa mbona nilihama)
Dodoma Kuna shida ya Maji kama Kuna maeneo zaidi ya hayo niliyotaja yanatoka Kila SIKU maji hongera zao..ila panaboa Sanaa ,SIKU za mvua Sasa ndo maji yanatoka almost every day km wachawi vile[emoji57][emoji57][emoji2955][emoji2955][emoji2955]