Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

Tatizo kubwa hasa nadhani ni financal capital.

2020 China ilijenga kiwanja cha ndege cha kimataifa kikubwa sana duniani juu ya bahari chenye square kilometers sawa na Jiji la Dar lote.

Huoni jinsi gani pesa imetumika hapo?

Huwa naangalia chaneli ya Discovery Science Startimes, walikuwa wanadai China ilikuwa na project ya kujenga reli ya umeme chini kwa chini ardhini kwa miaka 20 ambapo ingerahisisha kusafiri kwa treni ya kisasa toka China hadi USA kwa masaa mawili tu.

Changamoto ni Earth's axis (muhimili wa dunia unapojizungushia) pana jotoridi kali sana hata waweke AC ya kiwango gani bado hakuna kiumbe kitachosalia ikiwa treni itakatiza kwenye huo muhimili wa dunia.

Pesa ina nafasi kubwa sana kujenga vitu ambapo hapana hata vigezo/sifa sahihi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tofauti yetu...wenzetu wanatumia ubongo sisi tunatumia mdomo kujenga nchi...utasikia mama anaupiga mwingi
 
There are two sources for water in the UAE: Ground water and desalinated sea water. The ground water levels are not enough and only serves a little more than 1% of its need. Close to 99% of potable drinking water in Dubai now comes from its desalination plants.
Kutumia maji ya bahari bila shaka ni gharama sana.

Tanzania Yetu imejaa "Maziwa" kila sehemu na serikali imeshindwa kuyasambaza kwa watu wake
 
Kutumia maji ya bahari bila shaka ni gharama sana.

Tanzania Yetu imejaa "Maziwa" kila sehemu na serikali imeshindwa kuyasambaza kwa watu wake
Tuna tatizo la akili butu.
Mfano mdogo tu.
Ninapoishi mimi kuna vyanzo kibao vya maji.
Maji ardhini
Chemchemi toka mlimani
Mto usio kauka.
Ajabu maji yanatoka kwa mgawo japo yanatoka kila siku.
Kuna zamu ya usiku na mchana.

Akili ndio tatizo kubwa
 
Tofauti yetu...wenzetu wanatumia ubongo sisi tunatumia mdomo kujenga nchi...utasikia mama anaupiga mwingi
Mi huwa naamini kabisa nikiendelea kuishi kwenye hili bara hadi uzeeni basi nitakufa haraka mno kwa kifo cha ajabu.

Maadam Mungu yu hai ngoja niendelee kuwa mpole wa subira ili wakati uje uamue nitapoishi tofauti na Africa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
upo dodoma au wapi, dodoma hakuna maji wiki sasa. hadi natamani nirudi home.
Unaweza kukuta huyo unayebishana naye, yuko Kakonko kwa shemeji yake. Hivyo jitahidi tu kumpuuza.

Huo mji una changamoto kubwa ya maji kitambo tu. Na sababu kubwa ni uwepo wa miundombinu ya maji isiyo endana na ongezeko kubwa la watu.
 
Mi huwa naamini kabisa nikiendelea kuishi kwenye hili bara hadi uzeeni basi nitakufa haraka mno kwa kifo cha ajabu.

Maadam Mungu yu hai ngoja niendelee kuwa mpole wa subira ili wakati uje uamue nitapoishi tofauti na Africa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usikufe fanyika sehemu ya mabadiliko.
Mimi nikiwa na uchumi bora nitafanya mengi sana.
Nina uwezo wa kubadili maji machafu na ya chooni kutumika tena.

Nina uwezo kutengeneza umeme wa maji kwa kutegemea chanzo changu.

Kwa ujumla ni mtafiti mzuri kasoro mtaji
 
Aweso amejwaaaa na sifa sana kwasasa hakuna kazi anafanyaaa amenenepeana km guruwe

Nilipo mm kanda ya ziwa mnaweza kaa ht week maji hayajatokaaa inaboa na kukwazaa mnooo
 
Maeneo gani hayo...
Maana sisi wengine huku hatujawahi kuexperience shida ya maji...tuna matank juu so maji yanapishana tuu...
 
Tuna tatizo la akili butu.
Mfano mdogo tu.
Ninapoishi mimi kuna vyanzo kibao vya maji.
Maji ardhini
Chemchemi toka mlimani
Mto usio kauka.
Ajabu maji yanatoka kwa mgawo japo yanatoka kila siku.
Kuna zamu ya usiku na mchana.

Akili ndio tatizo kubwa
Nakubali
Viongozi wetu akili ni tatizo sana
Waone sasa kwenye majukwaa km wanaelewa vile wasemayo na wafanyayo
Sielewi ht kwann wanang'ang'ania hz nafas wkt uwezo wao ni mdogoo mno
 
Nakubali
Viongozi wetu akili ni tatizo sana
Waone sasa kwenye majukwaa km wanaelewa vile wasemayo na wafanyayo
Sielewi ht kwann wanang'ang'ania hz nafas wkt uwezo wao ni mdogoo mno
Uwezo mkuu wao ni kula kula kula tu
 
Hii ya ovyo sana, Mwanza mjini kuna maeneo Maji utoka kila siku, ila kuna maeneo Maji utoka mara moja kwa wiki na pe gine yasitoke kabisa mpaka wiki inayofata

Hamasa ya Mama Ipo kwenye bolu tu maeneo muhimu haipo
 
Kuna siku alikua saloon ina huduma ya massage mdada huko anaemfanyia ni vicheko mwanzo mwisho kutoka humo kumbe ni muheshimiwa alikua anahudumiwa...
Huyu Waziri nilikua nampenda sana enzi zilee,,sasa enzi hz hakuna anachokifanya na hakunaa wa kumkemeaa

Kwangu nina familia kubwaa na matank ya maji lkn inafika kpnd ht maji kwa matank yaishaa inatulazimu kuanza kusaka maji

Aisee huyu waziri huyuuu ningekua na namna haki ya Mungu sijui sijui
 
Back
Top Bottom