Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
We jamaa unaongea ka unapumliwa kisogoni vile.. pathetic...Umekimbia Mwanza kwenye Kansa [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa unaongea ka unapumliwa kisogoni vile.. pathetic...Umekimbia Mwanza kwenye Kansa [emoji1787][emoji1787]
Jirani angu kumbe jna usiku yalitoka uku ilazo baada ya kma wiki kuwa kukavuShukrani kwa clarifications Mr. Emmanuel,
Me naomba tu kufahamu maeneo ya Ilazo huku mnaturudishia maji lini, Nina miezi sasa at least tulikuwa tunapata maji vyema tu, hata yakikata ilikuwa ni siku chache zinazovumilika..!!
Lakini haikuwahi kuwa mbaya hivi kama ya hii week yaani hamna kitu, tupo kama tunaishi jangwani..!!
Hiyo hali ni mikoa yoteMakao makuu yanajengwa tangu 1973, lakini suala la maji halikupewa kipaumbele. Ikulu inazinduliwa, lakini tatizo la maji halijatatuliwa. Hii ndio Tanzania ya minazi mirefu.
Bora kwenu hata yalitoka, huku kwetu ndugu yangu bado bilabila yaani..!!Jirani angu kumbe jna usiku yalitoka uku ilazo baada ya kma wiki kuwa kukavu
Duh poleni aiseeBora kwenu hata yalitoka, huku kwetu ndugu yangu bado bilabila yaani..!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo yanafikirisha sana🤔🤔Itawafaidishaa eeh sie tunaliona ziwaa kila siku lkn majumban hakuna maji
Itakua hao wanaopelekewa maji
Dodoma Ilazo extension hadi Swaswa hakuna maji wiki ya pili sasa. karibu na kule anakokaa mke mmojawapo wa waziri wako JUma aweso. kooote hakuna maji. jana nimepita swaswa mnarani watu wanauza maji ya kisima. na pamoja na kwamba maji hayatoki, bili bado huwa mnaleta.Mdau pole kwa changamoto hiyo
Mimi ni Mkurugenzi wa Usambazaji maji na Usafi wa Mazingira hapa DUWASA.
Kwanza ningependa kufahamu eneo uliloishi kwa muda huo wote ukakosa maji, pili nielewe kwa kifupi kuhusu hali ya maji jijini Dodoma.
Pamoja na kuhudumia Dodoma Mjini, DUWASA pia inahudumia miji ya Chamwino, Kongwa, Bahi na hivi karibuni tumeongezewa kibaigwa.
Ukiongelea Dodoma mjini, utakumbuka kuwa kati ya mwaka 2017/18 yalifanyika mabadiliko ya Serikali kuhamia Dodoma ambapo immediately kama taasisi tulitarajia ongezeko kubwa la mahitaji ya maji. Wakati huo tulikuwa tumekamilisha mradi wa maji hapa mjini ambao uliongeza uwezo wa uzalishaji na usambazaji maji kutoka lita 30 milioni hadi kufikia lita 61.5 milioni kwa siku. Mradi huu ulikamilika 2015, na miradi ya maji husanifiwa kwa kipindi cha kati ya miaka 20 mpaka 30.
Kutokana na hali hii ya ongezeko la mahitaji ukilinganisha na uwezo uliopo, hatua kadhaa zimechukuliwa na zinatekelezwa na DUWASA chini ya Wizara ya maji kutatua changamoto hii.
Mahitaji kwa sasa ni lita 133 milioni kwa siku wakati uwezo ni wastani wa lita 68 milioni kwa siku. Hii inatulazimu kutoa maji kwa mgao. Ndiyo maana nimeuliza eneo uliopo ili kujua nini kilitokea.
Tunaendelea na utatuzi wa changamoto hii katika hatua za Muda Mfupi (uchimbaji wa visima pembezoni Mfano Nzuguni), Muda wa kati (Ujenzi wa bwawa pa Farkwa), Muda Mrefu ( Kutoa maji ziwa Victoria)na Mpango wa Dharula (kutoa maji bwawa la mtera)
Yote hii ni kuhakikisha Dodoma inakuwa na huduma toshelevu ya majisafi.
yaani kama Makao makuu ya nchi kuna shida ya maji, vipi mikoani?Huu mkoa kweli hapana nimekaa miezi yote shida ya maji nilikuwa naisikia tu sahii naona ndiyo tunaishi nayo, inakera mno..
Mpaka hapa tulipofika kama nchi bado tuna struggle na vitu kama Maji kweli..?
basi wawe wanatoa mgao walau siku tatu tatu au wiki wiki. kuna maeneo DODOMA wanaweza wasipate maji wiki hata tatu.Unaweza kukuta huyo unayebishana naye, yuko Kakonko kwa shemeji yake. Hivyo jitahidi tu kumpuuza.
Huo mji una changamoto kubwa ya maji kitambo tu. Na sababu kubwa ni uwepo wa miundombinu ya maji isiyo endana na ongezeko kubwa la watu.
Ngoja udakwe ubinyweTofauti yetu...wenzetu wanatumia ubongo sisi tunatumia mdomo kujenga nchi...utasikia mama anaupiga mwingi