Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

Jirani angu kumbe jna usiku yalitoka uku ilazo baada ya kma wiki kuwa kukavu
 
Makao makuu yanajengwa tangu 1973, lakini suala la maji halikupewa kipaumbele. Ikulu inazinduliwa, lakini tatizo la maji halijatatuliwa. Hii ndio Tanzania ya minazi mirefu.
Hiyo hali ni mikoa yote
Hata dar kwenyewe maji ni changamoto
 
Suluhisho lakudumu Ni kutoka Maji ziwa Victoria mpaka Dodoma wangeomba hata itumike force Account kufanikisha hilo jambo.
 
Katika bara la Africa ni 2% ya watu hupata maji safi na salama,Refer to Contemporary Geography for Africa
 
Itawafaidishaa eeh sie tunaliona ziwaa kila siku lkn majumban hakuna maji
Itakua hao wanaopelekewa maji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo yanafikirisha sana🤔🤔
 
Dodoma Ilazo extension hadi Swaswa hakuna maji wiki ya pili sasa. karibu na kule anakokaa mke mmojawapo wa waziri wako JUma aweso. kooote hakuna maji. jana nimepita swaswa mnarani watu wanauza maji ya kisima. na pamoja na kwamba maji hayatoki, bili bado huwa mnaleta.
 
Huu mkoa kweli hapana nimekaa miezi yote shida ya maji nilikuwa naisikia tu sahii naona ndiyo tunaishi nayo, inakera mno..
Mpaka hapa tulipofika kama nchi bado tuna struggle na vitu kama Maji kweli..?
yaani kama Makao makuu ya nchi kuna shida ya maji, vipi mikoani?
 
Unaweza kukuta huyo unayebishana naye, yuko Kakonko kwa shemeji yake. Hivyo jitahidi tu kumpuuza.

Huo mji una changamoto kubwa ya maji kitambo tu. Na sababu kubwa ni uwepo wa miundombinu ya maji isiyo endana na ongezeko kubwa la watu.
basi wawe wanatoa mgao walau siku tatu tatu au wiki wiki. kuna maeneo DODOMA wanaweza wasipate maji wiki hata tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…