Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Uchunguzi uliojikita katika uthabiti wa kimantiki usiotetereshwa na mahamaniko ya kihisia yanayotokana na upotofu wa kifikra unaoogopa kuhoji kila kitu.Hivi kaka tutumie nyenzo gani au tupite njia gani ili tuupate huo ukweli ?
Kutoa faida ya maelezo na mifano kwa watu ambao hawaamini hivyo vitabuNaomba unipe faida hapo kidogo. Hivi wayahudi wanamuelezea vipi Mungu mpaka wewe ukawaona ni bora katika jambo hilo. Ukinipa na mifano utakuwa umenisadia sana mimi na wale mfano wangu.
Kwanza kabisa naomba unipe maana ya tamko "mahamaniko".Uchunguzi uliojikita katika uthabiti wa kimantiki usiotetereshwa na mahamaniko ya kihisia yanayotokana na upotofu wa kifikra unaoogopa kuhoji kila kitu.
Hoji kila kitu. Hoji dini. Hoji historia. Hoji utamaduni. Hoji mpaka kuhoji kwako.
Umesoma FALSAFA kaka ?Hapana, dhana ni fununu kuhusu maana, it's relative, but component and integral part of the absolute truth, Ama maana kuu, ingizo katika jumla kuu
Kaka swali langu liko wazi sana na ni swali la jumla. Sasa unafikiri kama sisi tusiojua yaliyopo katika vitabu vya mayahudi na wewe unajua,ni wajibu wako utupe maelezo ili tupate kujua.Kutoa faida ya maelezo na mifano kwa watu ambao hawaamini hivyo vitabu
Ni sawa na Bure
Mkanganyiko, ni kweliMimi siamini sana katika dini bali naamini katika MUNGU MMOJA TU MWENYE KUAMRISHA UPENDO, HAKI, WAJIBU NA HUKUMU. Ukiamini sana katika dini kunaleta utengano mkubwa sana maana waislam wanaabudu kivyao, wakristo kivyao na wayahudi kivyao lkn hizi dini tatu zina mzizi mmoja wa Ibarahim!!!
Ukiingia kwa wakristo nao wana madheheby chungu nzima, waislam pia sijui kwa wayahudi. Cha ajabu wao kwa wao utashangaa wanakufurishana mara huyu anakufuru mara yule anakufuru ili mradi kila mtu anataka kujitafutia wafuasi licha ya kuwa wote wana mzizi mmoja Ibrahim. Kwa mtu mwenye fikra huru ukisoma vitabu vyote vinavyotumiwa na dini hizo tatu utagundua Mwenyezi MUNGU hakuleta dini yoyote bali alileta mfumo wa maisha kwa ajili ya ustawi wa wanadamu duniani na baada ya mauti yao.
Kuhamanika ni kuwa na wasiwasi mkubwa juu ya jambo au kitu fulani, kuhangaika, kuhaha, kupatwa na mshawasha kwa kuona jambo ambalo hukutarajia au likuvutialo sana moyoni, kuhaha kutokana na kuzingwa na kazi nyingi.Kwanza kabisa naomba unipe maana ya tamko "mahamaniko".
Vipi naweza kuhoji kuhusu dini,kuhoji kuhusu historia,kuhoji kuhusu dini,na kuhoji kuhusu kuhoji kwangu... ?
Kadhalika naomba unipe ukweli wa jambo lolote ulioupata kutokana na maelezo yako.
Au unaweza kuniambia ukweli juu ya kwanini binadamu hatuijui kesho yetu ?
Msaada tafadhali.
Unajua madhara ya kusoma FALSAFA ?Mimi sio kaka, ni dadaako, nimesomea pamoja na mambo mengineyo comparative religion
Tuachane nazo tutafute za kwetu.tufanyeje sasa
Hii course ukisoma kubishana na watu wengi hapa kwa usomi ni kazi sana.Mimi sio kaka, ni dadaako, nimesomea pamoja na mambo mengineyo comparative religion
Asante kwa kunipa maana ya tamko nililo kuuliza.Kuhamanika ni kuwa na wasiwasi mkubwa juu ya jambo au kitu fulani, kuhangaika, kuhaha, kupatwa na mshawasha kwa kuona jambo ambalo hukutarajia au likuvutialo sana moyoni, kuhaha kutokana na kuzingwa na kazi nyingi.
Neno lina mzizi wa kiarabu.
Maana hiyo ya juu imetolewa katika Kamusi Kuu ya Kiswahili. Baraza la Kiswahili la Taifa iliyochapwa na Longhorn chapa ya mwaka 2015. Ukurasa wa 280.
Unaweza kuhoji kwa kuuliza maswali yanayotafuta uthabiti wa kimantiki.
Kwa kujielimisha kwa njia ya uthabiti wa kimantiki nimepata kujua kwamba huyu Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote tuliyepewa kumuamini, hayupi, ana mikanganyiko ya kidhana ambayo inamfanya asiwezekane kuwepo.
Unaposema hatujui kesho yetu unamaanisha nini? Mbina watu wanapanga miadi ya kesho kama hawajui kesho? Mbina kuna utabiri wa hali ya hewa? Mbina watu wanatabiri kupatwa kwa jua kutakakotokea mamia ya miaka ijayo, siyo kesho tu?
Be specific in your questions please.
Bujibuji punguza jazibaHiyo midoli yenu itawaueni nyie wenyewe, mizimu yote pumbavu zenu. Tena kuna matusi mengine nimeitukana hiyo mizimu yenu hayaandikiki hapa JF.
Mizimu yote ni mafala
Huwezi kuhoji mambo kwa uhalisia wake kama ukijifunza falsafa na ukaifanya kuwa nyenzo yako ya kupata ukweli.Hii course ukisoma kubishana na watu wengi hapa kwa usomi ni kazi sana.
Watu wanaandika kwa hisia za kutetea dini zao, zaidi ya kuandika kisomi.
Kwa iyo mungu Wa wazungu ananguvu sana.Ujue kila kitu kina mungu wake. Mimea,wanyama, wadudu nk. Labda miungu hiyo ikae pamoja na kumchagua bisi wa wote . Swala la binadamu huenda kila rangi ina mungu wake ndio maana IQ zinatofautiana. Na huenda kila mtu ana chanzo chake , basi heshimu hicho chanzo ndio ngao yako. Hizi dini ni kanyaga boya .
Nani kataja falsafa? Falsafa ni nini?Huwezi kuhoji mambo kwa uhalisia wake kama ukijifunza falsafa na ukaifanya kuwa nyenzo yako ya kupata ukweli.
Ndio maana wanafalsafa wote huwa ni wajinga na hawajui kuitumia akili yao vizuri.
[emoji23] [emoji23] [emoji777]Mimi sio kaka, ni dadaako, nimesomea pamoja na mambo mengineyo comparative religion
Wewe ndiyo kinara wa kuona watu hawana elimu kisa wanahoji,kwa maana kuhoji hayo mambo kwako wewe huona ni upungufu wa elimu.Uchunguzi uliojikita katika uthabiti wa kimantiki usiotetereshwa na mahamaniko ya kihisia yanayotokana na upotofu wa kifikra unaoogopa kuhoji kila kitu.
Hoji kila kitu. Hoji dini. Hoji historia. Hoji utamaduni. Hoji mpaka kuhoji kwako.
Watu hawaijui kesho kwa sababu ya entropy.Asa
Asante kwa kunipa maana ya tamko nililo kuuliza.
Nikisema siku ujue nazungumzia massa 24 kama ilivyo ada.
Je unaijua kasho yako ya masaa 24 ?
Halafu suala la kupanga miadi si kujua bali ni matarajio yaweza yakawa au yasiwe,halikadhalika ni hivyovyo hata katika upande wa tabiri na mfano wake.
Nikisema kuijua kesho yake simaanishi kubahatisha wala kudhania bali namaanisha hakika isiyo na shaka ndani yake.